Profesa kijana apewa Ubalozi

Profesa kijana apewa Ubalozi

Kuna dogo wa kuitwa Majid Hamidu Nullo,ni Dr hapo hapo UDSM ila kwa sasa yupo Asia,kazaliwa kama sikosei 1982-1983,huyu Allah akipenda atakuwa prof kijana zaidi hapo UDSM,ni MT wa IT
mambo ya "alla" umeribu uzi.

who knows kama kweli "allah" yupo, ? kama hajafa na kusubiri hukumu kwa "Mungu"? yani Mungu wa Abraham, isaac na jacob?
Mungu wa Israel?
 
mambo ya "alla" umeribu uzi.

who knows kama kweli "allah" yupo, ? kama hajafa na kusubiri hukumu kwa "Mungu"? yani Mungu wa Abraham, isaac na jacob?
Mungu wa Israel?

Doh!!

Wagagagigikoko mna nongwa sana aisee!!!
 
Unang'ang'ana kuonekana una akili lakini wewe ni MBUMBUMBU tu na utaendelea kuwa MBUMBUMBU siku zote.

Akili zako zimeachana ndio maana huwezi kuandika sentensi zilizonyooka na zinazoeleweka!

Haujui tu ni namna gani inachefua kumuona mbumbumbu anajitahidi kuonekana mwerevu!

Go take a nap please!
andika kiswahili ili kiongozi wa wanyonge akuelewe, usipende ubeberu na mambo ya allah, huyu ni mungu wa waarabu
 
36

Prof Kighoma Malima at 34 Nchini Marekan akitokea Minaki Secondary

Dr Dau alipata Phd akiwa na 28 Nchini Newzeland 1992

Dr Gharib alipata phd ya Nuclear akiwa na 31 Nchini Marekan

Dr Mahiga the same

Nimeangalia orodha na kugundua waliofanikiwa ni waliochukulia vyuo vya nje; humu ndani ni uozo mtupu, utasumbuliwa hadi utamani kurudi kulima!
 
36

Prof Kighoma Malima at 34 Nchini Marekan akitokea Minaki Secondary

Dr Dau alipata Phd akiwa na 28 Nchini Newzeland 1992

Dr Gharib alipata phd ya Nuclear akiwa na 31 Nchini Marekan

Dr Mahiga the same
ukisomea Tanzania, kwenye shule za "wanyonge" u profesa utapata at age of 45, tena hapo usiwe na sapu hata moja.
dr Masumbuko lamwai ana miaka 57 na bado hajapata u prof hata kuwa associates, though najua jiwe atapewa soon, kisiasa lakini
 
36

Prof Kighoma Malima at 34 Nchini Marekan akitokea Minaki Secondary

Dr Dau alipata Phd akiwa na 28 Nchini Newzeland 1992

Dr Gharib alipata phd ya Nuclear akiwa na 31 Nchini Marekan

Dr Mahiga the same
Hao walipata PhD. Huyu ni Professor. Kuwa na PhD sio professor
 
Kuna dogo mmoja wa Francis Mponjoli Kifukwe alichukua Ph.D akiwa na miaka 26 kama sijakosea.

Sasa kama miaka 43 ni mtoto, huyo wa 26 aitwe vipi?
Haitwi Francis kifukwe anaitwa Gwamaka kifukwe

Francis kifukwe alikuwa Rais wa Yanga
 
Hao walipata PhD. Huyu ni Professor. Kuwa na PhD sio professor
watanzania hawajui kingereza, kiswahili hawajui, sasa bora tu mbunge msukuma apeleke mswada kisukuma kiwe lugha ya taifa,
 
Hatimaye Chuo chetu cha UDSM kimepata kuwa na professor mtoto kuliko wote, amepata ubalozi.
huyu professor ni kijana mdogo sana na ana akili za ziada.

Magufuli anajua kutafuta vichwa, pongezi raisi wetu MAGUFULI

View attachment 1212578
View attachment 1212579
Mbona unaandika ujinga? Yaani unakuwa kama mtu kipindi cha uchaguzi! Hata Kikwete tuliambiwa ni kijana. Mtu ana zaidi ya miaka 40 wewe unasema ni kijana! Rubbish brain! Au ulitaka tuone CV yake. Angalia CV ya Issa Shivji akiwa na umri kama wake alikuwa wapi kitaaluma. Wewe unatueletea sifa za kuwa mjumbe na bhla.bhala!
 
Mnasema flani aliichukua jameni PHD huchukui chukui tu kasheshe yake si mchezo
 
Prof Kennedy
LLB 2003 @ 27yrs
Phd 2007 @ 31yrs

Prof Justinian Rweyemamu
Bsc - 1965 @ 23yrs
Phd - 1971 @ 29yrs

Prof ibrahim Lipumba
BA 1976 @24yrs
Phd 1983 @ 31yrs

Sio mbaya japo sio record breaking pia!
With an incredible knowledge of mathematics, 14-year-old Yasha Asley is the world’s youngest professor. Known as the human calculator
 
Kupata PhD mapema hakumfanyi mtu kuwa special. Ni uamzi tu wa mtu kuamua lini aende akasome PhD. Kunaweza kuwa na vitu vingine kama vile bahati ya kupata udhamini... Wengine wanaamua kutafuta pesa kwanza na kusoma baadae. Haina maana kuwa ni wajinga.
36

Prof Kighoma Malima at 34 Nchini Marekan akitokea Minaki Secondary

Dr Dau alipata Phd akiwa na 28 Nchini Newzeland 1992

Dr Gharib alipata phd ya Nuclear akiwa na 31 Nchini Marekan

Dr Mahiga the same
 
36

Prof Kighoma Malima at 34 Nchini Marekan akitokea Minaki Secondary

Dr Dau alipata Phd akiwa na 28 Nchini Newzeland 1992

Dr Gharib alipata phd ya Nuclear akiwa na 31 Nchini Marekan

Dr Mahiga the same
Phd na huyu ni Prof: kuweni wapole sana.
 
Back
Top Bottom