Profesa kijana apewa Ubalozi

Profesa kijana apewa Ubalozi

Dah , unamkosea heshima profesa kijana
hawa watoto sijui nani aliwapa hata hii app ya kuja jf.
miaka 14 lasaba

19 form four
21 form six

25 umemaliza chuo, tena hapo huna supp, dirgirr,

master 28

32 masters.
 
hawa watoto sijui nani aliwapa hata hii app ya kuja jf.
miaka 14 lasaba

19 form four
21 form six

25 umemaliza chuo, tena hapo huna supp, dirgirr,

master 28

32 masters.
Unatakiwa kuondolewa ujaji na urudishwe mahakama ya mwanzo USHETU. Usinichezee mie Profesa at 14.
 
Unatakiwa kuondolewa ujaji na urudishwe mahakama ya mwanzo USHETU. Usinichezee mie Profesa at 14.
Rais hana mamlaka ya kunivua ujaji, hapa nasubiri kupanda mahakama ya rufaa basi, by the way majaji wanawake tupo wachache, nia yangu niwe jaji mkuu, nimuondoe PROF IBrahim juma
 
Rais hana mamlaka ya kunivua ujaji, hapa nasubiri kupanda mahakama ya rufaa basi, by the way majaji wanawake tupo wachache, nia yangu niwe jaji mkuu, nimuondoe PROF IBrahim juma
Huyu Profesa kazi yake kuhudhuria HAFLA za Serikali na kuvuta FEGI
 
Huyu Profesa kazi yake kuhudhuria HAFLA za Serikali na kuvuta FEGI
Alafu anakuwa mnyonge as if he is not chief justice, sijui inakuwaje, ama kwakuwa aliwekwa probation kwa karibu mwaka mzima?

Jiwe kaja kuharibu sana utamaduninwa nchi za jumuia za madola, eti kaimu jaji mkuu, WTF
 
Kuna dogo mmoja wa Francis Mponjoli Kifukwe alichukua Ph.D akiwa na miaka 26 kama sijakosea.

Sasa kama miaka 43 ni mtoto, huyo wa 26 aitwe vipi?
yapasa aitwe "mimba" yatunukiwa u professor

nimesoma kote natafuta mwaka wa huyo prof

mwisho ndio nakutana kazaliwa 76 nikasema basi tena

hata mimi bado kumbe umri wangu mbichi kbsa
 
Alafu anakuwa mnyonge as if he is not chief justice, sijui inakuwaje, ama kwakuwa aliwekwa probation kwa karibu mwaka mzima?

Jiwe kaja kuharibu sana utamaduninwa nchi za jumuia za madola, eti kaimu jaji mkuu, WTF
yaani Judiciary imekuwa kichekesho kwa kiwango cha SGR
 
Sijajua utoto wake,PhD yangu nili-defend nikiwa nina miaka 32,nadhani kwasababu kizazi chetu hakikuwa cha mitandao kama leo
Mkuu si uniunganishe na mimi nisome PhD mapema kabisa
 
yapasa aitwe "mimba" yatunukiwa u professor

nimesoma kote natafuta mwaka wa huyo prof

mwisho ndio nakutana kazaliwa 76 nikasema basi tena

hata mimi bado kumbe umri wangu mbichi kbsa
 
Kwa hiyo kigezo cha kuwa Profesa Tanzania ni kipi?

Kwa sasa sijui.

Pia, kwa vile siku hizi vyuo vimeongezeka, huenda labda kila chuo kina utaratibu wake.

Zamani chuo kikuu kilikuwa kimoja. Baadaye kikaongezeka cha Sokoine.

Ila kwa UDSM, nakumbuka ilikuwa ni lazima kuchapisha maandiko [vitabu, majarida, nk.]. Halafu mkuu wa idara anapendekeza jina lako kwenye seneti ya chuo. Huko kwenye seneti sijui kulikuwa na kamati maalumu ya kuyapitia hayo maandiko.

Kamati ikiridhia, unapandishwa cheo.

Kwa hiyo, kwa kipindi hicho, PhD ilikuwa si lazima kwa sababu walikuwepo ambao hawakuwa nazo na walikuwa na cheo cha uprofesa.

Ila labda kulikuwa na ‘condition’ ya kwamba ni lazima uwe unaifanyia kazi shahada yako ya PhD endapo ukipewa uprofesa huku bado hujaipata.

Tukizipata prospectus za miaka ya 80 na 90 utaona walikuwepo ambao hawakuwa na PhD lakini walikuwa maprofesa tayari.
 
Ukiwafuatilia kwa karibubutagundua watu wapenda hizi kombati na silaha silaha kichwani kuna kitu sio sawa! Wakuhurumiwa tu huyu mleta post!
 
Niliwahi kufanya kazi na Jamaa mmoja kutoka Austria anasema, unaweza ukapata uprofesa kabla ya kupata PHD, inategemea tu na namna ulivyoandika au kugundua kitu fulani chenye impact katika jamii. Hata yeye alipata Uprofesa wakati ana Msc
Kwa sasa sijui.

Pia, kwa vile siku hizi vyuo vimeongezeka, huenda labda kila chuo kina utaratibu wake.

Zamani chuo kikuu kilikuwa kimoja. Baadaye kikaongezeka cha Sokoine.

Ila kwa UDSM, nakumbuka ilikuwa ni lazima kuchapisha maandiko [vitabu, majarida, nk.]. Halafu mkuu wa idara anapendekeza jina lako kwenye seneti ya chuo. Huko kwenye seneti sijui kulikuwa na kamati maalumu ya kuyapitia hayo maandiko.

Kamati ikiridhia, unapandishwa cheo.

Kwa hiyo, kwa kipindi hicho, PhD ilikuwa si lazima kwa sababu walikuwepo ambao hawakuwa nazo na walikuwa na cheo cha uprofesa.

Ila labda kulikuwa na ‘condition’ ya kwamba ni lazima uwe unaifanyia kazi shahada yako ya PhD endapo ukipewa uprofesa huku bado hujaipata.

Tukizipata prospectus za miaka ya 80 na 90 utaona walikuwepo ambao hawakuwa na PhD lakini walikuwa maprofesa tayari.
 
Back
Top Bottom