Profesa kijana apewa Ubalozi

Profesa kijana apewa Ubalozi

Kuna dogo mmoja wa Francis Mponjoli Kifukwe alichukua Ph.D akiwa na miaka 26 kama sijakosea.

Sasa kama miaka 43 ni mtoto, huyo wa 26 aitwe vipi?

Kweli kuna huyo kijana wa Mponjoli Kifukwe anaitwa GWAMAKA kama sijakosea ni kichwa sana , mara ya kwanza kumsikia alikuwa hapo UONGOZI INSTITUTE akiminterview Kaguta Museveni;sasa sijui kama bado yupo hapo au amehama!!! Ni vijana wenye vision kama huyu ndio watakaoikomboa Tanzania.
 
Hatimaye Chuo chetu cha UDSM kimepata kuwa na professor mtoto kuliko wote, amepata ubalozi.
huyu professor ni kijana mdogo sana na ana akili za ziada.
Magufuli anajua kutafuta vichwa, pongezi raisi wetu MAGUFULI
Kila LA heri kwake
 
Umemsahau na yule wa bukoba kaula mzee wa kuropoka naona kakumbukwa
Hatimaye Chuo chetu cha UDSM kimepata kuwa na professor mtoto kuliko wote, amepata ubalozi.
huyu professor ni kijana mdogo sana na ana akili za ziada.
Magufuli anajua kutafuta vichwa, pongezi raisi wetu MAGUFULI
 
well said,,ubalozini ni kupeleka wazee waliojichokea sio vijana wenye nguvu
What a waste!!

Unamtoa intelligent, young, and energetic individual from a higher learning institution na kumpeleka ubalozini!!?
 
36

Prof Kighoma Malima at 34 Nchini Marekan akitokea Minaki Secondary

Dr Dau alipata Phd akiwa na 28 Nchini Newzeland 1992

Dr Gharib alipata phd ya Nuclear akiwa na 31 Nchini Marekan

Dr Mahiga the same

Profesa Chachage sasa marehemu asisahaulike pia
 
Kuna dogo mmoja wa Francis Mponjoli Kifukwe alichukua Ph.D akiwa na miaka 26 kama sijakosea.

Sasa kama miaka 43 ni mtoto, huyo wa 26 aitwe vipi?
Prof Kennedy
LLB 2003 @ 27yrs
Phd 2007 @ 31yrs

Prof Justinian Rweyemamu
Bsc - 1965 @ 23yrs
Phd - 1971 @ 29yrs

Prof ibrahim Lipumba
BA 1976 @24yrs
Phd 1983 @ 31yrs

Sio mbaya japo sio record breaking pia!
 
Hongera zake, ila hiyo miaka 43 si kusema mdogo maana hata katika ujana ameshatoka eti
 
U Professor hutunukiwa waalimu wa vyoo vikuu baada ya kukamilisha andiko Fulani.
U Professor hausomewi darasani.
Unaweza kuwa na PH.D na ukawa si professor.
Kama huyu Professor kwenda kuwa balozi kutailetea Inchi manufaa zaidi kuliko kubaki kutengeneza Ph.d holders wengine ni vyema.
Ni Watanzania wachache sana wanaweza kuwa na sifa kama za DR. Bana na kufundisha Chuo kikuu. Lakini ni Watanzania wengi sana wanaweza kuwa na sifa za kuwa Balozi tena mzuri kuliko Dr. Bana ambaye pengine hana sifa ya Mwanadiplomasia na mkomavu kisiasa.
Kwa tathimini ya ki lay man hii ni Poor human resource management kumteua kuwa Balozi. Hii ni kwa sababu hatuji lengo na madhumuni ya uongozi wa Inchi kumtunukia cheo hicho.
Huenda alikuwa na mpango wa kuikimbia Inchi na kwenda kufundisha nje ya Inchi ili apate kipato zaidi. Njia ya kumkamata ni kumpa Ubalozi.
Hapa nilikuwa nachapia tu na sina shaka na nia njema ya Inchi kumpa ubalozi Dr. Bana na naamini Siku ya2 ataapa kukubali uteuzi huo.
Namtakia kazi njema iliyotukuka na tunategemea karama na elimu aliyompa Mwenyezi Mungu haitaishia kuwa Balozi tu bali tunamtegea siku za usoni arudi nyumbani ili ashike majukumu makubwa zaidi ya Kitaifa kwa manufaa mapana ya Watanzania wote
 
Kweli kuna huyo kijana wa Mponjoli Kifukwe anaitwa GWAMAKA kama sijakosea ni kichwa sana , mara ya kwanza kumsikia alikuwa hapo UONGOZI INSTITUTE akiminterview Kaguta Museveni;sasa sijui kama bado yupo hapo au amehama!!! Ni vijana wenye vision kama huyu ndio watakaoikomboa Tanzania.
Mfumo unaoendeshwa kwa "amri kutoka juu" hata ukiwa na wenye vision wangapi kukombolewa ni vigumu sana.
 
Kuna dogo mmoja wa Francis Mponjoli Kifukwe alichukua Ph.D akiwa na miaka 26 kama sijakosea.

Sasa kama miaka 43 ni mtoto, huyo wa 26 aitwe vipi?

Sasa wew hapa anatajwa kama young Prof. Sio DR . PHD kapata na 31. Kumbuka elimu ya kwetu huko. Huku ujerumani sawa. PHD 25, 26,28 na wanachukua uprof mapema sana. Mana hawa jamaa wanaandika sio mchezo. wanajua wanachofanya.
 
Back
Top Bottom