Profesa Kamuzora alikuwaje hadi akawa Katibu Tawala Kagera?

Kiutawala RAS ni sawa na katibu mkuu maana hata mishahara iko ngazi moja ama daraja moja.

Katibu mkuu anasimamia wizara yake nchi nzima lakini RAS anasimamia mkoa wake, sehemu kubwa ya RAS ni watumishi walioko serikali kuu na serikali za mitaa kama waalimu, watu wa idara ya afya na wengine.

Sema ukiwa RAS inabidi uwe mtu wa majungu sana si unajua waalimu walivyo na majungu, sasa hao ndio unashughulika nao kila siku.
Ahahahahaha nimecheka sana ulipo nasibisha walimu na Majungu!
 
Kiutawala RAS ni sawa na katibu mkuu maana hata mishahara iko ngazi moja ama daraja moja.

Katibu mkuu anasimamia wizara yake nchi nzima lakini RAS anasimamia mkoa wake, sehemu kubwa ya RAS ni watumishi walioko serikali kuu na serikali za mitaa kama waalimu, watu wa idara ya afya na wengine.

Sema ukiwa RAS inabidi uwe mtu wa majungu sana si unajua waalimu walivyo na majungu, sasa hao ndio unashughulika nao kila siku.

Mkuu makatibu wakuu na maRAS wanalipwa shingapi?
 
Bado kuwa tu lecture ni pesa na kumbuka wana kazi nyingi sana tafiti za kufa mtu

Nani anayeona kipi ni fursa?
Yeye aliyeacha lecturing na kwenda mwenye siasa au sisi tulioko pembeni?

Una ufahamu wowote juu ya kinachoelendelea ukiwa na kazi au kipato zaidi ya kimoja ukiwa mtumishi wa uma kwa enzi hizi? Kesi za kutakatisha pesa unazijua?

Kwa hali ya sasa politics ndio kimbilio la watu as wako assured “security” ya mambo yao!
 
RAS ni katibu wa kamati ya ulinzi na usalama.


Masilahi ya ras hakuna profesa anayeshika mark pen chuoni.
 
Utakutana na katibu tawala Darasa la saba, katibu tawala Form 4, katibu tawala Form six leaver, katibu tawala mwenye certficate ya kuunga uunga, katibu tawala mwenye Diploma.

Unaweza kututajia Katibu Tawala mwenye hiyo elimu?
 
Aisee nimeshangaa sana huyu ticha wangu, Pia nashindwa kujua pia kwa nini kuna mchanyato sana? Utakutana na katibu tawala Darasa la saba, katibu tawala Form 4, katibu tawala Form six leaver, katibu tawala mwenye certficate ya kuunga uunga, katibu tawala mwenye Diploma, katibu tawala mwenye Degree, mwenye Masters, na mwenye Phd kama Prof Kamzora.

Prof Kamzora wakati naondoka Mzumbe alikuwa nje anachukua Phd yake.

Sasa nashangaa sana kwamba kwa sasa ni katibu tawala Kagera yaani Elimu yake kwisha kazi make kuwa katibu tawala hakuna tena ku upply elimu alio soma bali ni Bosi kasema nini, pia uwe mnafiki, mfitini na mpika majungu.

Hii ni demotion kubwa sana na mbali na Demotion pia muda alio tumia kusoma umepotea bure na Je hizi teuzi za mkuu lazima ukubali? Hakuna kusema Mheshimiwa asante sana kwa sasa ngoja niibue watalaamu?

Hata pesa nina uhakika kwa levo yake angekuwa anavuta pesa ya kueleweka na bado anakuwa kazi nyingi sana kama Research na kadhalika. Sasa kuwa katibu tawala hatakiwi kubanduka Offisini.

Maajabu sana
Kwahiyo Condoleezza Rice "Condi" alipoacha uprofesa chuo kikuu na kuwa Secretary of the State huko Marekani ulikuwa ni "Ujinga"? Au hiyo ni kwa Tanzania tu? Vipi kuhusu Robert McNamara?
 
Aisee nimeshangaa sana huyu ticha wangu, Pia nashindwa kujua pia kwa nini kuna mchanyato sana? Utakutana na katibu tawala Darasa la saba, katibu tawala Form 4, katibu tawala Form six leaver, katibu tawala mwenye certficate ya kuunga uunga, katibu tawala mwenye Diploma, katibu tawala mwenye Degree, mwenye Masters, na mwenye Phd kama Prof Kamzora.

Prof Kamzora wakati naondoka Mzumbe alikuwa nje anachukua Phd yake.

Sasa nashangaa sana kwamba kwa sasa ni katibu tawala Kagera yaani Elimu yake kwisha kazi make kuwa katibu tawala hakuna tena ku upply elimu alio soma bali ni Bosi kasema nini, pia uwe mnafiki, mfitini na mpika majungu.

Hii ni demotion kubwa sana na mbali na Demotion pia muda alio tumia kusoma umepotea bure na Je hizi teuzi za mkuu lazima ukubali? Hakuna kusema Mheshimiwa asante sana kwa sasa ngoja niibue watalaamu?

Hata pesa nina uhakika kwa levo yake angekuwa anavuta pesa ya kueleweka na bado anakuwa kazi nyingi sana kama Research na kadhalika. Sasa kuwa katibu tawala hatakiwi kubanduka Offisini.

Maajabu sana
Wewe nawe unajua kufikili kweli yaan unadhan kuna ras darasa la saba kweli wewe ni hamnazo ras ni mtu mkubwa sana ndugu yangu ni msimamizi wa watumishi wote wa serikali mkoa mzima na kiongozi wa shuguli zote za serikali katika mkoa na ndo anamshauri mkuu wa mkoa katika shuguli zake zote za kila siku pia ras sio mtendaji wa kisiasa.kwa hivo kwa shuguli yake ras anatakiwa kuwa na elimu kubwa sana na kuwa na masters au phd au profesor kwa kazi ya ras naona ni sawa tu maana ni kiongozi wa wasomi wenye elimu hizo.
 
Kiutawala RAS ni sawa na katibu mkuu maana hata mishahara iko ngazi moja ama daraja moja.

Katibu mkuu anasimamia wizara yake nchi nzima lakini RAS anasimamia mkoa wake, sehemu kubwa ya RAS ni watumishi walioko serikali kuu na serikali za mitaa kama waalimu, watu wa idara ya afya na wengine.

Sema ukiwa RAS inabidi uwe mtu wa majungu sana si unajua waalimu walivyo na majungu, sasa hao ndio unashughulika nao kila siku.
Yaan RAS ni sawa na katibu mkuu?
 
Hahaha umenikumbusha Dkt.Mahela wa NEC wakat ni DED arusha aliwahi kushambuliwa na DC wa arumeru nika shangaa yaannPHD holder mzima ana pepelekeshwa na MA holder
Huwezi kumpa mtu mwenye elimu Level ya uprofesa vyeo sijui DC, DED, RAS, DAS, hivyo vyeo ni vidogo sana
 
Back
Top Bottom