Mtwara Smart JF-Expert Member Jun 6, 2019 666 1,480 Jul 30, 2022 #81 Katenguliwa Tayar, Huyu Mzee Na Prof Mkude Wote Ni TISS
Stroke JF-Expert Member Feb 17, 2012 34,696 40,962 Jul 30, 2022 #82 Ma prof wetu huwa hawana mchango zaidi ya kututishia na Titles zao tu. Yaani hata kugundua mashine ya kukata kachumbari wameshindwa.
Ma prof wetu huwa hawana mchango zaidi ya kututishia na Titles zao tu. Yaani hata kugundua mashine ya kukata kachumbari wameshindwa.