Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,212
- 4,735
Idara ya TISS ina link sana na RAS aisee kacheo ka u RAS sio haba kana chenji zenye ujazo kiaina japo naona ni kama Demotion fulani ivi akifanya kazi nzuri kwa utii kwa wakubwa atarudi kwenye nafasi zake.
Nimewahi kumsikia BIMA au PSSSF au ni nshomire mwingine sie huyu kamuzora. Anachukuzwa na waalim kustaafu wakifikisha miaka 55 aisee bongo nyoso
Nimewahi kumsikia BIMA au PSSSF au ni nshomire mwingine sie huyu kamuzora. Anachukuzwa na waalim kustaafu wakifikisha miaka 55 aisee bongo nyoso