Mungu muweza wa yote ashukuriwe sana, nadhani anapaswa kukutana na mwenzake Chameleon wa Uganda watoe kibao cha pamoja tena safari hii wakiumshukuru Mungu kwa kuwaponya wote wawili katika tundu ya sindano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.