TANZIA Profesa James Lwelamira wa Chuo cha Mipango-Dodoma afariki dunia hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma

Kwahio imeongezeka, pungua au ipo kama kawaida ? Huenda mwezangu una data za kutosha kwahio kabla sijakushangaa naomba unifahamishe...., sababu mimi kwa akili ya haraka haraka hii miezi naona kama ni above average...
Ipo kawaida sema asaiv kila msiba wa mtaani unafunguliwa Uzi wa tanzia ndomaana unaona kama takwimu zimepanda!!
 
sijaona tanzia ya ajari mkuu kuwa mkweli mambo si mambo alafu inapiga wanazuoni sana sijajua shida nini
mkuu misiba ya wanazuoni ya huko nyuma ilikuwa haifunguliwi nyuzi za tanzia, ila asaiv kwa vile kuna attention ya hivi vijimafua, kila msiba unafunguliwa tanzia ili kuzua taharuki
 
Ipo kawaida sema asaiv kila msiba wa mtaani unafunguliwa Uzi wa tanzia ndomaana unaona kama takwimu zimepanda!!
Na hii inatokana na research uliyofanya au ? na hata mitaani kuna mtandao ?

Ngoja nikupe research moja ndogo ambayo unaweza ukafanya hata ukiwa kwenye kiti chako.., ulizia mwanasheria yoyote akupe data ya graph ya wenzao kwenye Tasnia (sababu wana database) ni wangapi wameondoka katika hii miaka mitano na hivyo vifo vyote uangalie kama ni average kwa miaka yote hiyo au kwa kipindi hiki imezidi...

Hapo utakuwa umechukua sample kidogo kwa data ambazo zipo available... Hivyo ndivyo wanasayansi au wachunguzi wa mambo wanavyofanya kazi....
 
Uza ubongo huo ubongo huo dogo, acha kuendekeza siasa za kishamba.
Wasomi wabongo bana sijui bongo zenu zimeingiwa na kamasi la mnyama gani? Yaani hivi vijimafua vimewapanikishi mpaka hamjui nini cha kufanya, kama hivi vijimafua mnaviona ni hatari kwanini mnasubiri mpaka muulekezwe na serikali? Nyie si mna akili sana fanyeni mnachoona ni sahihi, make wengine tukisema misimamo yetu mnaiita siasa!!
 
Back
Top Bottom