Profesa Asiye na Makuu

Profesa Asiye na Makuu

kwi kwi kwi kiw kwi kwi kwi kwi nimecheka sana hawa jamaa kwa kupenda wali balaa naona jamaa anamuagiza mshkaji kuwa amesahau pilipili na ndizi zake kwenye gali akamletee ha ha ha ha ha ah
Jamani umenichekesha! Nimecheka mpaka machozi!
 
angalia usije kuangusha MENO
We acha tu! Unajua niliwahi kubishana sana na jamaa zangu suala la baadhi ya watu kwenda kwenye shughuli (msiba/sherehe) wakiwa na pilipili au ndizi mfukoni. Mie bado siamini kama mtu mzima anaweza kufanya hivyo. Sasa niliposoma hiyo comment nikakumbuka kuhusu huo ubishi.
 
:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2:
kafuta chote kudadadeki
Cheza na Mnyamwezi wewe, kwetu wali tunaita mboga. Ukileta wali njemba hali ukimuuliza atakwambia bado nasubiria chakula, mboga tayari.
 
We acha tu! Unajua niliwahi kubishana sana na jamaa zangu suala la baadhi ya watu kwenda kwenye shughuli (msiba/sherehe) wakiwa na pilipili au ndizi mfukoni. Mie bado siamini kama mtu mzima anaweza kufanya hivyo. Sasa niliposoma hiyo comment nikakumbuka kuhusu huo ubishi.
na wapo wengine huenda na mifuko ya LAMBO kwa ajilinya kujibebea..................hili nimelishuhudia mwenyewe pale Yanga
 
na wapo wengine huenda na mifuko ya LAMBO kwa ajilinya kujibebea..................hili nimelishuhudia mwenyewe pale Yanga
Ni kweli mkuu hao watu wana njaa mpaka imepitiliza, nilishuhudia hivi karibuni.
 
Ni kweli mkuu hao watu wana njaa mpaka imepitiliza, nilishuhudia hivi karibuni.

unajua wapenzi wengi wa Yanga wanatokea kwenye ile mitaa yetu ile........ndio maana ukienda mkutano wao utajua..............that tells a lot............
 
Nimeshindwa kujibu kwasababu sijafahamu maana ya hayo maneno.

Dah, hata Vanessa Mdee alipoambiwa kuhusu shule za Kanumba akasema "Kanumba ni wapi?

kwani unaishi wapi MwaJ?
 
Dah, hata Vanessa Mdee alipoambiwa kuhusu shule za Kanumba akasema "Kanumba ni wapi?

kwani unaishi wapi MwaJ?
Unashangaa hilo la V. Mdee huku Mbezi B, kuna toto limeanzia chekechea, Primary, O-Level mpaka A-Level ST. MARY ya Mbezi Beach na kipindi chote hicho lilikuwa likipelekwa shule na gari ya familia.

Kuna siku toto likaulizwa unaijua eneo linaloitwa Mwenge-DSM. Hapo ndipo alipoacha watu midomo wazi aliposema, "ndiyo ipo wapi hiyo, na unapitia njia gani?"
 
Dah, hata Vanessa Mdee alipoambiwa kuhusu shule za Kanumba akasema "Kanumba ni wapi?

kwani unaishi wapi MwaJ?
Kwani kuishi mahali flani kuna determine kujua maana ya maneno flani?
 
Tehe tehe tehe
unashangaa hilo la v. Mdee huku mbezi b, kuna toto limeanzia chekechea, primary, o-level mpaka a-level st. Mary ya mbezi beach na kipindi chote hicho lilikuwa likipelekwa shule na gari ya familia.

Kuna siku toto likaulizwa unaijua eneo linaloitwa mwenge-dsm. Hapo ndipo alipoacha watu midomo wazi aliposema, "ndiyo ipo wapi hiyo, na unapitia njia gani?"
 
Hakuna nilichoshabikia zaidi ya kucheka kuhusu huyo aliyeambiwa kuwa anaagiza ndizi na pilipili alizosahau kwenye gari.
anamaanisha umekuwaje shabiki wa Yeboyebo/Kandambili na huijui vizuri? au ndio wewe wa kupelekwa na gari St Mary?
 
Back
Top Bottom