Profesa Asiye na Makuu

Profesa Asiye na Makuu

AMA KWELI UMETOKEA Babaya wewe mwana

Anapenda sana kula huyo, hata huyo mwenye kofia kama mpandafarasi wa kiajentina, huyo naye keshakuwa mswahili. We angalia hiyo picha vizuri utaona majicho ya profesa yapo kwenye sahani ya mtu mwingine. Pale anawaza ''huyu jamaa kapewa nyama mimi nimepewa kidogo, mfumo Kristo huu''
 
Profesa ameifuta hotpot kwa speed ya ajabu! huyu wa kwenye kona ya kushoto alikuwa amaficha kichupa cha maji kwenye kanzu! Lol!
 
Back
Top Bottom