Profesa Asiye na Makuu

Profesa Asiye na Makuu

20130710_192048_resized.jpg
na huyu naye wa KUIGA
 
Mpenda watu na hana makuu, gonga LIKE ikiwa umependa anavyojichanganya............Hebu fikiria ingalikua Mkulu au Obama.............(hadi kugonga menyu)
View attachment 101042
nilimchukia sana baada ya kumsikia alichosema pale Msikiti wa Idrissa huyu jamaa ni kwasabb ni Tz lakin nch za wenzetu angekuwa ameshakamatwa hafai hata kuwa mwenyekit wa kijiji
 
nilimchukia sana baada ya kumsikia alichosema pale Msikiti wa Idrissa huyu jamaa ni kwasabb ni Tz lakin nch za wenzetu angekuwa ameshakamatwa hafai hata kuwa mwenyekit wa kijiji
tuchokoze kidogo alichosema maana hatukuwepo wengine
 
MwaJ tafadhali nitake radhi, si unauona kabisa mguu wa .........huuuuu?
Unataka kusema huo ni mguu wa nini? Wa bia? Haiwezekani! Wa bia hauvaliwi hiyo kitu labda kama ni kwa ajili ya mazoezi.
 
Unataka kusema huo ni mguu wa nini? Wa bia? Haiwezekani! Wa bia hauvaliwi hiyo kitu labda kama ni kwa ajili ya mazoezi.
wangu uko kama huu mwaJ, nitakutumia kwa What's Up, lakini nasisitiza huu ni mguu wa fulani.........ndiye kamanda wa Green Guard
 
wangu uko kama huu mwaJ, nitakutumia kwa What's Up, lakini nasisitiza huu ni mguu wa fulani.........ndiye kamanda wa Green Guard
Ukianza kuwataja hao Green Guard utaniharibia siku. Wao kuwa na Green ... wanaona sawa wenzao wakitaka kuwa an Red ... kelele na vitisho vinaanza! Aaaaaaa, ushaharibu story yetu ya ndala/yeboyebo na ubwabwa!
 
Ukianza kuwataja hao Green Guard utaniharibia siku. Wao kuwa na Green ... wanaona sawa wenzao wakitaka kuwa an Red ... kelele na vitisho vinaanza! Aaaaaaa, ushaharibu story yetu ya ndala/yeboyebo na ubwabwa!
ebo kumbe waijua Yeboyebo weye? .........................basi thiwataji tena hao Green Guard (oooops mara ya mwisho)
 
Ha ha haaaaaaaaa! Wewe ni chiboko! Nilikuwa sijawahi kuona zilizofikia kiwango hicho! Mpaka vidoleni! Lol!
Watoto wa Kota na Masaki mtazijuaje hizi? Wakati sisi tunachezea vifuu ninyi mlikuwa mnachezea kompyuta, wakati sisi tunacheza baba na mama ninyi mlikuwa mnaangalia CD zenyewe zenyewe laivu bila chenga, tutawaweza wapi...
 
Watoto wa Kota ma Masaki mtazijuaje hizi? Wakati sisi tunachezea vifuu ninyi mlikwa mnachezea kompyuta, wakati sisi tunacheza baba na mama ninyi mlikuwa mnaangalia CD zenyewe zenyewe laivu bila chenga, tutawaweza wapi...
Mkuu mie ni BBC kwa hiyo nimechezea sana tu hivyo vifuu.
 
Watoto wa Kota ma Masaki mtazijuaje hizi? Wakati sisi tunachezea vifuu ninyi mlikwa mnachezea kompyuta, wakati sisi tunacheza baba na mama ninyi mlikuwa mnaangalia CD zenyewe zenyewe laivu bila chenga, tutawaweza wapi...
alaaa, kumbe ....anaonekana aiseeeeeee
 
Back
Top Bottom