yaani hujauona muktadha?
Huyu ni Profesa fulani
View attachment 101064
si kila mvaa koti jeupe daktari wengine wauza nyama
hahahhahahahahahahahahahha mbona profesa wa wali ooops wa Lipuuuuumbaaa anakula wali ka anameza dawa chungu??? halafu huyu shekhe wa mbele kushoto alievaa kama brown mpauko mbona anaficha maji ya kunya kwenye makalio????
hapo lazima GESI ITOKE
Fidelo naona wewe ndio una ajenda ya kumdhihaki Prof, ww soma kichwa kwanza cha somo......
Na maharage juu! Bora muandaaji angewaonea huruma walaji wake kwa kuepusha kimojawapo, hasa mayai....hayo yangesubiri chai siku inayofuata.
Usanii wa kisiasa nao....kuna mtu alikuwa anakalia mkeka anapigwa picha anatudanganya ni motto wa mfuga ng'ombe....siku hizi tutapiga tuuu
mpenda watu na hana makuu, gonga like ikiwa umependa anavyojichanganya............hebu fikiria ingalikua mkulu au obama.............(hadi kugonga menyu)
View attachment 101042