Prof UDSM hoi kwa "kidhungu"

Prof UDSM hoi kwa "kidhungu"

Nimetizama repeat mchana huu, without a shadow of a doubt spoken english inatupa tabu kweli.
 
Namfahamu vizuri prof Mpangala, amenifundisha UDSM na tena kipindi nimekiangalia. Sijaona kuchapia kokote zaidi ya UZUSHI huu!.. Mzee huyu ni smart. Hata darasani ananondo nzuri za kueleweka kuhusu population issues ambazo hufundisha kwa kizungu bila chenga.

Tatizo letu watz tunahesabu mtu anajua kithungu mpaka a-pronounce kama mthungu mwenyewe wakati ukweli ni kwamba unachotakiwa ni ku-pronounce kutokana na mother tongue yako kikubwa meaning ibaki vile vile na ndio sababu hasa inayotufanya watz wengi hii lugha tusiimudu kwa kuwa tunatumia nguvu nyingi kujifunza namna ya kutamka maneno kama wazungu pamoja na namna ya kuielewa lugha (vitu viwili kwa pamoja) matokeo yake tunashindwa kuvielewa kwa pamoja. Ni rahisi kumgundua Mganda, Mkenya, Mnijeria wanapoongea lugha ya English lakini kwa Mtz ni ngumu kwa kuwa tunapenda sana kukalili kuongea kama mzungu na ndio maana hata mleta uzi amemwona prof kama maamuma wa lugha lakini ukute anatema ngeli kikamilifu ila ana pronounce based on lugha yake ya asili na ndio maana hata sie wa huku Itabagumba tukiongea Kiswahili tunavuta kama vile tunavyoongea lugha yetu ya nyumbani
 
Mungu wangu naangalia kipindi cha this Week in Perspective namsikia Prof.Gaudence mpangala hoi kwa kuchapia nå kuwa nå Löw confidence akificha weaknesses zake Kwa cheko.dah,huyu ni prof au nn.UDSM pro? Ooooh my gosh!!!

Mkuu Mjita 60% ilianza siku nyingi sana tofauti na 60% ya zamani na leo ni kwamba ile ya zamani wale wa zamani walisoma bure kabisa nauli ya serikali, ada ya serikali na kadhalika!!!
 
huo ni ulimbukeni wako mkuu, mbona hao wadhungu unaowahusudu nao wanachapia kiswahili? Hicho kidhungu siyo lugha yetu......hivyo prof. Akichapia sioni cha ajabu nini......acha chuki binafsi banaaaaa!!!
viva tanzania. ukiwa kihiyo as long unafundisha udsm lazima utapata back up. WATANZANIA badilikeni msaidieni alipo kosea au penye upungufu akarekebishe.Tanzania upande wa elimu in the next 30 years !! mashaka
 
Mungu wangu naangalia kipindi cha this Week in Perspective namsikia Prof.Gaudence mpangala hoi kwa kuchapia nå kuwa nå Löw confidence akificha weaknesses zake Kwa cheko.dah,huyu ni prof au nn.UDSM pro? Ooooh my gosh!!!

Nyie ndio wale malimbukeni mnaodhani kizungu ni maarifa (knowledge) wakati it's ONLY a language kama ilivyo kisukuma au lugha ya kwenu yoyote!! English is just a language and not knowledge!! Wewe wa chuo cha kata nini?!

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Kuna jamaa katoka hapo anafanya Ph.D akiongea english ni aibu acha na wa UDOM wanaofanya Masters ndiyo balaa..mda
 
Mbona wapo maprof wengi wa Kijapan, kikorea, kichina na nchi nyingi za ulaya kiingereza ni kibovu tu?
 
mbona hata ukisikiliza kizungu cha msomi mpenda kuuza sura ktk media;azaveli lwaitama unagundua hakiko sawa.issue hapa ni zile point ambazo mtu ana deliver ktk mjadala.mengine ni mbwembwe.
 
Back
Top Bottom