Prof UDSM hoi kwa "kidhungu"

Prof UDSM hoi kwa "kidhungu"

Unamfahamu vizuri Prof. Mpangala? Unajuwa amefundisha muda gani? Kipya kipi kimpe 'low confidence'? Au dalili za kigugumizi cha mbali ndiyo unaita 'low confidence'? Hebu mpe heshima yake..
 
Mungu wangu naangalia kipindi cha this Week in Perspective namsikia Prof.Gaudence mpangala hoi kwa kuchapia nå kuwa nå Löw confidence akificha weaknesses zake Kwa cheko.dah,huyu ni prof au nn.UDSM pro? Ooooh my gosh!!!
Prof. Mpangala ni wa ukweli pale Institute of Development Studies. Ukitaka kumjua angalia research zake hasa katika "conflict resolution". Kisha tafuta timu ya wataalamu iliyokuwa chini ya Mwal Nyerere katika kusuruhisha mgogoro wa Burundi miaka hiyo uone mchango wa Prof. Mpangala. Masuala ya kingereza hayana tija sana hebu tuangalie content za kazi zake.
 
Kutokujua kuongea kizungu haimaanishi kuwa wewe sio msomi! Kizungu ni lugha kama ilivyo kiswahili. Mbona wachina hawajui kizungu na bado taifa lao linasonga mbele kwa kasi kuliko hao wazungu?
 
Mungu wangu naangalia kipindi cha this Week in Perspective namsikia Prof.Gaudence mpangala hoi kwa kuchapia nå kuwa nå Löw confidence akificha weaknesses zake Kwa cheko.dah,huyu ni prof au nn.UDSM pro? Ooooh my gosh!!!

Ina maana kuwa professor ni lazima ujue kizungu?
 
Mungu wangu naangalia kipindi cha this Week in Perspective namsikia Prof.Gaudence mpangala hoi kwa kuchapia nå kuwa nå Löw confidence akificha weaknesses zake Kwa cheko.dah,huyu ni prof au nn.UDSM pro? Ooooh my gosh!!!

U-profesa haumaanishi kujua kizungu,kuna maprofesa wangapi China,Korea na Japan na hawajui kizungu!! Kizungu na elimu/ujuzi ni vitu viwili tofauti.
 
uprofesa ni zaidi ya kiingereza mkuu jitaidi akili zako ziendane na uelewa wako
 
U-profesa haumaanishi kujua kizungu,kuna maprofesa wangapi China,Korea na Japan na hawajui kizungu!! Kizungu na elimu/ujuzi ni vitu viwili tofauti.


mwambie ajue make ana akili za kimasaburi
 
Kutokujua kuongea kizungu haimaanishi kuwa wewe sio msomi! Kizungu ni lugha kama ilivyo kiswahili. Mbona wachina hawajui kizungu na bado taifa lao linasonga mbele kwa kasi kuliko hao wazungu?

Namshangaa mleta mada.....japan,china,urusi na nchi nyingi wameendelea kwa kutumia lugha zao....elimu na lugha ni vitu vwili tofauti...ni wangapi mtaani wanaongea kiingereza fasaha na hawajasoma elimu rasmi?ndio maana hapa tanzania mtoto akijua kuongea kiingereza utasikia mtoto wangu ana akili sana......huu ukoloni wa lugha utaisha lini?
 
Prof. Mpangala ni wa ukweli pale Institute of Development Studies. Ukitaka kumjua angalia research zake hasa katika "conflict resolution". Kisha tafuta timu ya wataalamu iliyokuwa chini ya Mwal Nyerere katika kusuruhisha mgogoro wa Burundi miaka hiyo uone mchango wa Prof. Mpangala. Masuala ya kingereza hayana tija sana hebu tuangalie content za kazi zake.


ni kweli mkuu prof hawezi kupimwa kwa kiingereza cha dakika tano
 
bila kusahau slips of the tongue ni kawaida. You dont have to judge every little thing!!
 
Hii ni hatari kumpima,kumkosoa mwalimu aliye fanya tafiti nyingi, ushauri na kufundisha Chuo kikuu (UDSM) kwa zaidi ya miaka 20. labda mwenzetu Una ushahidi wa kutosha,nakushauri ufunge huu mjadala.
 
Kwa hiyo wataalam wote wasioweza kuongea kiingereza fluently kama Tony Blair wanyang'anywe vyeti!! teh, teh, teh.
 
Mungu wangu naangalia kipindi cha this Week in Perspective namsikia Prof.Gaudence mpangala hoi kwa kuchapia nå kuwa nå Löw confidence akificha weaknesses zake Kwa cheko.dah,huyu ni prof au nn.UDSM pro? Ooooh my gosh!!!

Sasa Uprof. wa UDSM na kiingereza kuna uhusiano gani!!. We kiswahili unakijua!!, Siku hizi hata wabeba mizigo pale Tandale wanajua kiingereza, kwahiyo wao nao tuwaite maProf au!!.
 
Haya jamaniii wanaounga hoja waseme ndiyoooo!! Na wanaopinga hoja waseme siyooooo!!! Ok wanaopinga hoja wameshindaa!! Kwa hiyo muheshimiwa Majita hoja yako haijapita kajipange upya.
 
mbona anaongea vizuri tu. hizi chuki za vyuo vya kata kwa UDSM

Alinifundisha na kiingereza chake ni kizuri sana tu. ni baadhi ya watanzania wachache wanaoweza kuongea kiingereza fluently. Walimpiga fitna IDS mpaka course yake ya mambo ya development of political thought ikafutwa eti wanadai ni ya zamani imepitwa na wakati. sasa mmekuja na huku kumchafua mzee wa watu
 
Mungu wangu naangalia kipindi cha this Week in Perspective namsikia Prof.Gaudence mpangala hoi kwa kuchapia nå kuwa nå Löw confidence akificha weaknesses zake Kwa cheko.dah,huyu ni prof au nn.UDSM pro? Ooooh my gosh!!!

Umeshushuliwaje sasa, umebaki kumbwela tu
 
Mi kanikera kweli...eti kiingereza kwake ndio elimu!!

Asingenifundisha ningesema, kuna waalimu pale akiingia lecture anasoma notice mwanzo mwisho kwa kushindwa kuziunga sentensi zao na kukosa confidence. Ila huyu babu wa watu kwanza anakijua anachokifundisha, ana confidence, na kiingereza chake wala si cha kukata na uma yani kitu yai kinateleza tu....akwende zake huko na chuki binafsi zake.
 
Back
Top Bottom