SAYANSI ni pana sana kuna sayansi ya lugha, sayansi ya jamii, sayansi ya siasa, sayansi ya sanaa, sayansi ya tiba, sayansi ya sanaa za maonesho, sayansi ya urais wa Tanzania, n.k., kila mtu angependa aitwe scientist.
Mkuu umenikumbusha mbali mambo yetu sie mascientist "Schrondingers equation" mambo ya quantum physics na enzi hizo tulikuwa hatujui kienglish tulikua tunaderive maequation tu