"Rais alisema ataunda tume jambo jema kabisa na mimi nikaona kwa uzoefu wangu tuunde tume ya kijaji, ukienda Kwenye account ya X utaona kwamba nilipendekeza i iundwe tume ya kijaji.
Sasa kama ilivyo mambo mengi labda haikueleweka tangu Tanzania iundwe haijawai kuunda na tume ya kijaji tunakuwa na hizi Presidential commission za inquiry za uchunguzi wa ndani wa kiserikali.
Kwa nini nilipendekeza tume ya kijaji? Tume ya kijaji inaitwa Judicial inquiry sasa hivi tuna tume ambayo ni Presidential commision ambayo inaongozwa na mtu ambaye hana shaka lolote kabisa, lakini ile haiwi tume ya Kijaji kwa sababu pale kuna muheshimiwa Osman" - Alisema hayo Prof. Anna Tibaijuka akiwa katika mahojiano na Crown Media