anna tibaijuka

Anna Kajumulo Tibaijuka (; born 12 October 1950) is a Tanzanian politician and United Nations official. She was a Chama Cha Mapinduzi (CCM) Member of the National Assembly for Muleba South constituency during 2010 to 2020 and served as the Minister of Lands, Housing and Human Settlement Developments from 2010 to 2014.
Tibaijuka is also a former Under-Secretary-General of the United Nations and executive director of the United Nations Human Settlements Programme (UN-HABITAT). She was the second highest ranking African woman in the UN system, after Deputy Secretary-General Asha-Rose Migiro, until her resignation in 2010 to run for political office in Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    JamiiForums Tanzania Wasira: Nilimwambia Tibaijuka nchi lazima iendeshwe kwa mujibu wa sheria, Tundu Lissu yuko kwenye mhimili wa Mahakama

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesisitiza umuhimu wa kuheshimu misingi ya katiba na uhuru wa mihimili ya dola, akibainisha kuwa mahakama ni mhimili huru unaopaswa kuachwa utekeleze majukumu yake bila kuingiliwa au kujadiliwa kisheria. Akizungumza...
  2. M

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Anna Tibaijuka: Kilichotokea Oktoba 29, 2025 ilikuwa ni mshituko, “rapture,” uliotokana na hasira za Wananchi dhidi ya utawala wa mabavu

    Profesa Anna Tibaijuka anasema kwamba kusema matukio ya Oktoba 29, 2025 ni ya kupangwa, kama serikali inavyodai, siyo sahihi. kwa mujibu wake, kilichotokea ilikuwa ni mshituko, “rapture,” uliotokana na hasira za wananchi dhidi ya utawala wa mabavu Pia soma: Prof. Tibaijuka: Huwezi kuwazuia...
  3. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Prof. Anna Tibaijuka amshauri Rais Samia amwachie huru Tundu Lissu

    Waziri wa zamani, Profesa Anna Tibaijuka amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan amwachilie huru Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu aliyeko rumande katika Gereza Kuu la Ukonga kwa Zaidi mwaka mmoja akiendelea na kesi ya uhaini inayomkabili. Profesa Tibaijuka ameandika ujumbe katika mtandao wa X...
  4. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Prof Anna Tibaijuka kwenye muswada wa Fedha 69 wa 2026

    Anna Tibaijuka, aliyekuwa Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi, UN-Habitat-Nairobi na Waziri wa Tanzania, anachambua marekebisho ya Sheria ya Fedha 2026 kwenye kifungu cha 69 cha Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania. Marekebisho hayo yanaruhusu serikali kupata mapato ya muda kutoka kwa...
  5. Yoda

    JamiiForums Tanzania Profesa Anna Tibaijuka amekosea kuifananisha serikali mbili na anguko la USSR

    Katika mahojiano yake na mwandishi Khalifa wa The Chanzo, Prof Tibaijuka alitetea serikali mbili akirejea kuvunjika kwa muungano wa USSR baada kuanzishwa serikali ya Urusi na kudai ilidhoofisha muungano wa USSR. Huu sio kweli, serikali ya Urusi iliyoundwa mwaka mmoja 1990 kabla ya USSR...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Watu waliopotea ni doa kubwa kwa taifa hili, Polisi wana wajibu wa kuwatafuta

    Waziri mstaafu na Mchumi, Profesa Anna Tibaijuka, ameeleza kusikitishwa kwake na wimbi la watu kupotea nchini na kulani vitendo hivyo akivitaja kama doa kubwa kwa taifa. "Kazi ya kwanza ya serikali—na mimi nazungumza kama profesa wa uchumi hapa—kazi ya kwanza ya serikali wala sio kuleta...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Deni la Taifa sioni kama 'Himilivu', kiwango cha chini cha IMF ni 18% sisi tuko 31%

    Mwanasiasa mkongwe Anna Tibaijuka, akizungumza kupitia The Chanzo, amesema deni la taifa linaonyesha dalili za kutokuwa himilivu kulingana na takwimu za bajeti ya hivi karibuni, akisisitiza kuwa maoni yake yanatokana na uchambuzi wa kitaalamu na si msimamo wa kisiasa. Prof. Tibaijuka amesema...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Huwezi kuwazuia Vijana kuandamana kama wamekasirika

    Mwanazuoni na Waziri wa zamani, Profesa Anna Tibaijuka, amesema haiwezekani kuwazuia vijana kuandamana wanapokuwa na hasira zinazotokana na kero mbalimbali zinazowakabili katika jamii. Akizungumzia matukio ya Oktoba 29, Prof. Tibaijuka alisema yaliyotokea yalikuwa janga kubwa, huku akihoji...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Polisi wapewe elimu ya kutafsiri kauli za umma; ukosoaji unaweza kuwa elimu ya umma, si uchochezi

    Profesa Anna Tibaijuka amesema polisi wana haki ya kuhoji kauli au jambo lisiloeleweka wanapohisi linaweza kuwa na viashiria vya uchochezi au kusababisha vurugu. "Polisi akisikia jambo halieleweki, hata kauli haieleweki, ana haki ya kuuliza kwamba wewe hapo ulikuwa unamaanisha nini, kama yeye...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibajuka: Kesi ya Lissu inaendeshwa polepole, haifurahishi, namshauri Rais hii haina maslahi kwetu

    Profesa Anna Tibaijuka amesema haridhishwi na mwenendo wa kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, akieleza kuwa mchakato wake unaonekana kwenda polepole kuliko matarajio ya wengi. "Tundu Lissu kwanza alikamatwa, yaani alishtakiwa, yuko polisi, tunamwona. Wakati mwingine kesi yake tunamwona...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Prof. Anna Tibaijuka hana Legitimacy ya kuwakosoa mafisadi wenzake

    Anajifanya kuwa very critic juu ya uongozi mbovu wa rais Samia na serikali inayosadikiwa ya kifisadi. Lakini yeye huko nyuma alikuwa mnufaika wa ufisadi wa CCM akapokea bil mbili akaita ni pesa za mboga. Kisa tu wengine walipata mgao mkubwa wa kifisadi. Mbaya zaidi ufisadi ulifanyanyika kwa...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi wa Anna Tibaijuka Secondary School amepotea, alipewa barua kupeleka kwa Wazazi haijulikani alipoelekea

    UJUMBE KUTOKA KWA MDAU: Nina mdogo wangu amepotea tangu Aprili 22, 2026, alipewa barua shuleni ya kumleta mzazi na baada ya kuondoka shule hakufika nyumbani wala hakurudi shuleni mpaka sasa. Ametafutwa bila mafanikio, wasifu wake huu hapa:- Jina: Ezbon Mgisha Sadock Umri: Miaka 15 Shule...
  13. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Professor Anna Tibaijuka hana Moral Authority kuisema Serikali

    Naheshimu na Uwezo na Carrier ya Professor Anna Tibaijuka ni Msomi mzuri aliyekulia ndani ya Chama Cha Mapinduzi CCM upande wake mwingine anafahamika kuhusika na kashfa ya Escrow Account Bibi huyu kwa sasa mfumo umemkataa ndiyo maana anabwabwaja kila siku kuinanga Serikali ya awamu ya 6 lakin...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Nilipendekeza iundwe Tume ya Kijaji, ingepunguza kelele za ICC kuliko tume ya Rais matukio ya Oktoba 29, 2025

    "Rais alisema ataunda tume jambo jema kabisa na mimi nikaona kwa uzoefu wangu tuunde tume ya kijaji, ukienda Kwenye account ya X utaona kwamba nilipendekeza i iundwe tume ya kijaji. Sasa kama ilivyo mambo mengi labda haikueleweka tangu Tanzania iundwe haijawai kuunda na tume ya kijaji...
  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Prof. Anna Tibaijuka: Mikataba kutopelekwa Bungeni ni madhambi

    Wakati akihojiwa na Crown Tv Prof. Anna Tibaijuka amesema Mikataba yote inahusu Rasilimli za Taifa inapaswa kupelekwa Bungeni lakini isipopelekwa ni madhambi” Soma Pia: Prof. Tibaijuka: Huwezi kulileta taifa pamoja na kiongozi wa upinzani yuko gerezani
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Huwezi kulileta Taifa pamoja na Kiongozi wa Upinzani yuko Gerezani

    Mwanasiasa mkongwe Prof. Anna Tibaijuka, akizungumza na Salim Kikeke kwenye Kikao Na Kikeke, anaeleza kuwa ni ngumu kulileta pamoja taifa wakati kiongozi wa upinzani akiwa gerezani.
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Anna Tibaijuka: Tusimpe Shetani nafasi ya kutugawa kupitia propaganda za Udini kwa kuwatuma vijana kushambulia viongozi wa dini

    Mbunge wa zamani wa Muleba Kusini na waziri wa Ardhi katika serikali ya awamu nne Prof. Anna Tibaijuka kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) Anaandika; "Wakati tunasubiri Tume ya Uchunguzi kutupa taarifa na majibu ya kina kuhusu mauaji ya 29 Oktoba, uwajibikaji stahiki na mbinu za kuliponya taifa...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Anna Tibaijuka: Utekaji bila kukomeshwa utazaa ugaidi. Mtu akikosea apelekwe Polisi na Mahakamani

    Kiuhalisia Tanzania imeendelea kuwa ngumu sana! Vitisho na hofu kwa wananchi zimekuwa kubwa sana Unaogopa kusema kitu kwa hofu ya kutekwa Mungu atusaidie sana tuondoke huku. Mama Tibaijuka naye kasema ukweli mtupu maana matukio ya namna hii ni lazima tu yatazalisha ugaidi mkubwa sana na hata...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania KUMBUKIZI | Prof. Anna Tibaijuka: Mtu ukiwa mwadilifu, ku-survive ni ngumu sana, mizengwe itatafutwa tu

    Profesa Anna Tibaijuka akizungumza kupitia Wasafi TV, Januari 24, 2025 alisema, "Tumefikia mahali ambapo Mtu ukiwa mwadilifu, ku-survive ni ngumu ni ngumu sana, mizengwe itatafuta tu"
  20. britanicca

    JamiiForums Tanzania Anna Tibaijuka: Ndugai aliniambia kwamba suala la Lissu ni “Maelekezo”

    Spika Ndugai. Tunaokufahamu tunakulilia kwa WEMA WAKO. RIP. Familia. Poleni. Suala la Lissu kufukuzwa Bungeni liliniuma sana. Jioni nikamfuata Spika Ndugai nyumbani kwake Kisasa kumuuliza kulikoni? Mwenzetu wote tunajua yaliyompata?. Utasemaje hujui alipo?Spika akanieleza kwa utulivu...
Back
Top Bottom