Prof. Anna Tibaijuka amekuwa akinyanyasika peke yake bila kusaidiwa kutetewa na wanawake wenzake. Ametolea mfano wa sakata la ESCROW ambalo anadai kuwa ameonewa tu!
Chanzo: Wapo Radio fm, habari kwa ufupi magazetini.
Huyu Anna Tibaijuka ana dhihaka sana,hivi wakiitwa wananwake wanaonyanyasika na yeye atatoka?mwanamke anayenunua mboga kwa milioni 10 anadhihaki wenziwe kwa kuwaambia kuwa ananyanyasika?
Aisee akutukanaye hakuchagulii tusi.
Pesa Aliwagawia?. Sababu wakati yeye anasema ananunua mboga za sh milioni kumi. Kuna mwanamke kule Mapelele Mbeya vijijini anashindia mboga yake ya Ngunyani,Parachichi moja na fungu moja la viazi kwa siku,yeye na watoto wake wawili ambao baba yao aliwakataa. Vyote vikiwa na thamani ya sh 500/=. Na hiyo ndio pesa kubwa anayoweza pata kwa siku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.