Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,325
- Thread starter
- #401
Ajiuzulu Seif Sharif Hamad kwa kuendesha harakati za kuvunja muungano huu na kuendeleza ubaguzi wa kuwabagua Watanzania kwa maeneo wanakotoka. Nalaani fikra za kibaguzi kwani mipaka hii haiongezi umri wenu bali kuzima fursa za kizazi kijacho kunufaika na Fursa za Muungano. Nawachukia wale wote wabinafsi na wasiopenda umoja kwa manufaa yetu sote
Ni vizuri uongeze wigo wa kufikiri badala ya kujikita zaidi katika Box. Fikiri sasa nje ya Box.
Chukia zaidi fisadi na yule anayedhulmu mali za umma na anayetumia madaraka yake kwa manufaa binafsi.
Tunamlaumu Tibaijuka kwa kuongeza wigo wa dhulma dhidi ya Znz na waZnz.
Tunamlaani kwa hilo la ghilba na dhulma wa rasilimali za znz na waznz.