takashi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 905
- 189
Tamaa itawapeleka pabaya...Ukubwa wa ardhi na rasilimali zote za Tanganyika bado mnataka eneo la Zanzibar! lakini kamwe kwa hilo hatutakubali...Kama Muunagano na ufe ,lakini hatuta kaa kimya kuendelea kukandamizwa haki zetu.Mwanamayu, hawa Wazanzibari ni kama mtoto mchoyo ambaye yeye anaamini kuwa sahani ya wali iliyotengwa ili wale yeye na wenzake ni kwake peke yake. Mtoto huyu yuko tayari kuificha hiyo sahani uvunguni ili wenzake wasile kabisa wakati huo akitimua mbio kwenda kwa mama yake kudai chakula kingine!!!!
Dawa ya mtoto mchoyo ni kiboko na kuamrisha chakula kiliwe chote na wenzake ili siku nyingine ajifunze kuwa uchoyo ni tabia mbaya isiyoweza kuvumiliwa.