Prof Tibaijuka lazima ajiuzulu

Prof Tibaijuka lazima ajiuzulu

Kuongezeka kwa eneo la bahari ni kwa manufaa ya wote Tanzania bara na Tanzania visiwani hakuna swala la Zanzibar na Tanganyika sababu ukileta maswala ya kufaidika? masai wa njiro anafaidika vipi na hilo swala kama unataka faida ya moja kwa moaja! Nyerere alisema ukianza kula nyama ya mtu hutoacha kamwe ndio kitu kinachowasumbua ndugu zetu wa zanzibar. Na siku ile alikuwa anawalenga wazanzibar moja kwa moja.

Unachosema ni sahihi kabisa. Lakin kitendo cha upande mmoja wa muungano kujichukulia madaraka ya kuusemea upande mwingine wa muungano pasi na kuwajuza na kuwashirikisha hilo ni kosa lisilo sameheka hata kidogo iwe kibinadam au hata kisheria.

Wanachohoji hapo Znz ni kutoshirikishwa katika mchakato mzima hususan BLW kwa jambo kubwa kama hilo la kuomba eneo la bahari la kuongeza.

sasa BLW linauliza Je Znz wanapata kiasi gani katika hilo ongezeko? nini maslah ya Znz hapo katika hilo ongezeko?.

 
This is very clear, zaidi ya hapo ni ubishi tu. No more.

Soma mada nzima wala usikurupuke.
Jua kinacho ongelewa ni nini kisha leta hoja. Au hayo ndio msimamo wenu Chadema.

Je unajuwa kuwa katiba ya Muungano inamtambua Rais wa Znz na Serikali yake? Je unajuwa kuwa Katiba ya Muungano inalitambua Baraza la wawakilishi.

Sasa Katiba ya Znz inasema hivi
Katiba ya Zanzibari ya Mwaka 1984 kama ilivyorekebishwa mwaka 2009:
ibara ya 3 na 4
1. "Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa
vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari
yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar"

 
Unachosema ni sahihi kabisa. Lakin kitendo cha upande mmoja wa muungano kujichukulia madaraka ya kuusemea upande mwingine wa muungano pasi na kuwajuza na kuwashirikisha hilo ni kosa lisilo sameheka hata kidogo iwe kibinadam au hata kisheria.

Wanachohoji hapo Znz ni kutoshirikishwa katika mchakato mzima hususan BLW kwa jambo kubwa kama hilo la kuomba eneo la bahari la kuongeza.

sasa BLW linauliza Je Znz wanapata kiasi gani katika hilo ongezeko? nini maslah ya Znz hapo katika hilo ongezeko?.

BUNGE la JMT limeshirikishwa? Haya mbona ni mambo ya kiserikali tu? Naona umesahau kuwa Bunge la JMT ndilo kubwa kuliko BLW. Umesahau kuwa ndani ya Bunge la JMT wamo Wabunge wa Zanzibar na BLW lina wawakilishi watano mle. Mtamkumbuka sana JMK kwa malezi anayowapa Wazanzibar nje KATIBA.
 
Unachosema ni sahihi kabisa. Lakin kitendo cha upande mmoja wa muungano kujichukulia madaraka ya kuusemea upande mwingine wa muungano pasi na kuwajuza na kuwashirikisha hilo ni kosa lisilo sameheka hata kidogo iwe kibinadam au hata kisheria.

Wanachohoji hapo Znz ni kutoshirikishwa katika mchakato mzima hususan BLW kwa jambo kubwa kama hilo la kuomba eneo la bahari la kuongeza.

sasa BLW linauliza Je Znz wanapata kiasi gani katika hilo ongezeko? nini maslah ya Znz hapo katika hilo ongezeko?.

Ubinafsi, uchoyo na umimi ndo sera za huko visiwani.
Watu wana fikiria maslahi ya wazanzibari tu, maslahi ya wasukuma hapo yako wapi vile vile.
Mnatutia aibu kwa kuwa na fikra finyu na zenye upeo mdogo.
 
BUNGE la JMT limeshirikishwa? Haya mbona ni mambo ya kiserikali tu? Naona umesahau kuwa Bunge la JMT ndilo kubwa kuliko BLW. Umesahau kuwa ndani ya Bunge la JMT wamo Wabunge wa Zanzibar na BLW lina wawakilishi watano mle. Mtamkumbuka sana JMK kwa malezi anayowapa Wazanzibar nje KATIBA.

Bunge la Muungano limeshirikishwa na kuwakilishwa na Mbunge wa Mafia.

Kama nilivyokubainishia hapo awali kuwa Suala la Ardhi na makaazi sio suala la muungano. Kwa sababu hiyo iliwapasa kama waliweza kupitisha katika Bunge la Muungano ni lazima vile vile BLW walitakiwa walijadili kwa kina pia na kupata muafaka wake. Kwani waziri wa Ardhi na Makaazi wa Znz ilitakiwa kuwasilisha barzani kama ingepata muswada huo toka Tanganyika.

Kwa kutowashirikisha Znz na BLW ni kosa kubwa sana hususan kwa jambo hilo lisilokuwamo katika mkataba wa muungano wa Tz.

Suala dogo tu, Nini maslahi ya Znz katika hilo.
Je Znz itapata eneo gani katika hili waliloliomba.

Kumbuka kuwa Muungano ni kama Koti, likikuchosha unalivua na kuliacha.. Haya ni maneno ya Rais wa kwanza wa Znz Karume 1

 
Tafadhali bonyeza hapa uskilize redio kati ya Mh Salum na Redio Dw.
672ACAC5_2



Waziri wa Maji, Makaazi, Nishati na Ardhi, Ali Juma Shamhuna yupo katika shindikizo kubwa la wajumbe wa baraza la wawakilishi wakimtaka aachie ngazi kutokana na kuchukua uamuzi wake binafsi juu ya suala la ombi la ongezo la bahari kuu kuwasilishwa huko Umoja wa Mataifa (UN)
Jana katika baraza la wawakilishi la Visiwani Zanzibar kulikuweko majadiliano makali kuhusu hoja iliowasilishwa na mwakilishi wa eneo la Mji Mkonge wa Zanzibar, Ismail Jussa Ladhu, Hii imetokana na ombi la serikali ya Muungano wa Tanzania kwa Umoja wa Mataifa kuomba nyongeza ya mpaka katika Bahari ya Hindi ni kuipokonya Zanzibar haki yake. Yeye alitaka kuwepo mazungumzo ya kuamua nani anamiliki eneo hilo kati ya Tanzania na Zanzibar. Othman Miraji alimpigia simu Salim Said Salim, mwandishi wa habari mkongwe Visiwani humo, kutaka kujuwa nini kilichozunguka katika hoja hiyo ya Mwakilishi Jussa hata Wazanzibari kuwa na hamu na mjadala huo.
chanzo zanzibar yetu
 
Suala la mafuta na gas asilia limeshaondolewa kwenye mkataba wa Muungano.

Labda nikuulize.

Anapokuja makamo wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif shariff Hamad au Makamo wa Pili wa Rais wa Znz Balozi Idi huko Tanganyika kwanini wanapewa ulinzi mzito ikiwa pamoja na vingora vya polisi wanapotembea?

Je unajuwa kwanini?

nasubiri jibu hapa. kabla kuendelea.


Heshima yako niitanguliza kabisa.Nitaomba wakati unasubiri majibu kwa huyo uliyemuuliza swali, nami nikurushie langu dogo kama ifuatavyo:

Inakuwaje unavalia njuga sana maswala ya Zanzibar na hata kutumia jina "Tanganyika" unapoigusia Tanzania bara.Kama wewe ni raia wa Oman, huoni unawatendea visivyo wenye nchi yao kwa kuwagawa na kuwatenga ilhali wewe ulishajiondoa? Unapata wapi uhalali ku aggitate against the Union?
Samahani sina nia mbaya ya kukukwaza.Nataka nikuelewe dhima uliyo nayo ilhali wewe siyo Mtanzania.
 
Bunge la Muungano limeshirikishwa na kuwakilishwa na Mbunge wa Mafia.

Kama nilivyokubainishia hapo awali kuwa Suala la Ardhi na makaazi sio suala la muungano. Kwa sababu hiyo iliwapasa kama waliweza kupitisha katika Bunge la Muungano ni lazima vile vile BLW walitakiwa walijadili kwa kina pia na kupata muafaka wake. Kwani waziri wa Ardhi na Makaazi wa Znz ilitakiwa kuwasilisha barzani kama ingepata muswada huo toka Tanganyika.

Kwa kutowashirikisha Znz na BLW ni kosa kubwa sana hususan kwa jambo hilo lisilokuwamo katika mkataba wa muungano wa Tz.

Suala dogo tu, Nini maslahi ya Znz katika hilo.
Je Znz itapata eneo gani katika hili waliloliomba.

Kumbuka kuwa Muungano ni kama Koti, likikuchosha unalivua na kuliacha.. Haya ni maneno ya Rais wa kwanza wa Znz Karume 1

Una uhakika Mbunge wa Mafia alikwenda huko kuliwakilisha Bunge la JMT? Kama ni hivyo tatizo liko wapi sasa au haujui kuwa Bunge la JMT lina Wabunge toka pande zote za Muungano likiwemo BLW?
Muungano upo kisheria. Kama ni koti livueni kisheria. Vinginevyo endeleeni na hizi hoja zenu mchecheto ili kulichangamsha BLW.
 
Heshima yako niitanguliza kabisa.Nitaomba wakati unasubiri majibu kwa huyo uliyemuuliza swali, nami nikurushie langu dogo kama ifuatavyo:

Inakuwaje unavalia njuga sana maswala ya Zanzibar na hata kutumia jina "Tanganyika" unapoigusia Tanzania bara.Kama wewe ni raia wa Oman, huoni unawatendea visivyo wenye nchi yao kwa kuwagawa na kuwatenga ilhali wewe ulishajiondoa? Unapata wapi uhalali ku aggitate against the Union?
Samahani sina nia mbaya ya kukukwaza.Nataka nikuelewe dhima uliyo nayo ilhali wewe siyo Mtanzania.

Nakushukuru sana kwa masuala yako. Na naomba nikujibu kama ifuatavyo.

Kwanza kuita Tanganyika mimi sioni kama ni kosa. Ni jina la tanzania Bara kabla muungano. Vile vile Kuita Zanzibar sio kosa kwani jina lao Tanzania visiwani kabla muungano.

Kwa mujibu wa Katiba ya Muungano. Tanganyika imeitwa kama Tanzania Bara. Na Zanzibar imeitwa kama Tanzania visiwani (Tanzania Zanzibar).

Vile vile kumbuka kuwa JF ni open forum kwa kila mtu kuweza kujiunga bila kutazama uraia, dini, kabila au jinsia kwa mujibu wa rules za JF. Na mimi ukinisoma kiumakini sana nasimamia sheria zenu wenyewe na katiba zenu za Muungano na ile ya Zanzibar.

sasa mimi sina jipya zaidi ya kusaidia kulinda sheria zenu mlizojitungia wenyewe. Na nasimama kwa hilo na kama unaniona natoka nje ya katiba zenu iwe ya Muungano au ile ya Znz au rules za Jf niko tayari kabisa kuhukumiwa.

Lakin kubwa nafurahi sana kuchat na kusoma habari mbalimbali za Kiswahili ,lugha ambayo imekuwa hadimu sana kwangu kuitumia nikiwa huku Home.

Sijui kama nitakuwa nimekidhi suala lako. lakin kama una ziada Bismillah

 
Tafadhali bonyeza hapa uskilize redio kati ya Mh Salum na Redio Dw.
672ACAC5_2



Waziri wa Maji, Makaazi, Nishati na Ardhi, Ali Juma Shamhuna yupo katika shindikizo kubwa la wajumbe wa baraza la wawakilishi wakimtaka aachie ngazi kutokana na kuchukua uamuzi wake binafsi juu ya suala la ombi la ongezo la bahari kuu kuwasilishwa huko Umoja wa Mataifa (UN)
Jana katika baraza la wawakilishi la Visiwani Zanzibar kulikuweko majadiliano makali kuhusu hoja iliowasilishwa na mwakilishi wa eneo la Mji Mkonge wa Zanzibar, Ismail Jussa Ladhu, Hii imetokana na ombi la serikali ya Muungano wa Tanzania kwa Umoja wa Mataifa kuomba nyongeza ya mpaka katika Bahari ya Hindi ni kuipokonya Zanzibar haki yake. Yeye alitaka kuwepo mazungumzo ya kuamua nani anamiliki eneo hilo kati ya Tanzania na Zanzibar. Othman Miraji alimpigia simu Salim Said Salim, mwandishi wa habari mkongwe Visiwani humo, kutaka kujuwa nini kilichozunguka katika hoja hiyo ya Mwakilishi Jussa hata Wazanzibari kuwa na hamu na mjadala huo.
chanzo zanzibar yetu

Nafikiri maamuzi ya busara ni "nchi ya zanzibar" kwenda UN kupinga hoja hiyo waziri acheni kumuandama. Leo hii ningelikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kungalikuwa na option mbili.... Kila mmoja afungashe virago toka kwa mwenzake au Unguja na Pemba zinafuatia kuwa mikoa baada ya Njombe nk.... Kina baru brau kwenda kutafuna tende na halua muache kutanua huku bara na kuuwa utaifa wetu Tanganyika.
 
Nafikiri maamuzi ya busara ni "nchi ya zanzibar" kwenda UN kupinga hoja hiyo waziri acheni kumuandama. Leo hii ningelikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kungalikuwa na option mbili.... Kila mmoja afungashe virago toka kwa mwenzake au Unguja na Pemba zinafuatia kuwa mikoa baada ya Njombe nk.... Kina baru brau kwenda kutafuna tende na halua muache kutanua huku bara na kuuwa utaifa wetu Tanganyika.

Je wajua kuwa Rais wa Kwanza wa Znz na makamo wa kwanza wa rais wa Muungano , Amani Karume (Karume 1) taarih 16th Feb 1971 alisema alipohojiwa na waandishi wa habari uwanja wa ndege wa Znz akitokea Dar kuhusu Muungano alisema
" Muungano huu ni kama Koti, Likikuchosha unalitoa na kulivua "

 
Je wajua kuwa Rais wa Kwanza wa Znz na makamo wa kwanza wa rais wa Muungano , Amani Karume (Karume 1) taarih 16th Feb 1971 alisema alipohojiwa na waandishi wa habari uwanja wa ndege wa Znz akitokea Dar kuhusu Muungano alisema
" Muungano huu ni kama Koti, Likikuchosha unalitoa na kulivua "

Mwaka mmoja baadae mkamtundika risasi. Ninyi nao watu basi? Sasa hivi mnaonekana wamoja kwa sababu ya huu Muungano tu. Nje ya Muungano hata wewe utarudi tena kuwa Mzanzibari. Hebu tusimulie kidogo jinsi ulivyojifanya Mtanzania. Ukasoma kwa kodi zetu. Kisha ukahamia Oman na sasa unaendesha mapambano ya kurudi kwa remote Jusssa & Co.
 
Mwaka mmoja baadae mkamtundika risasi. Ninyi nao watu basi? Sasa hivi mnaonekana wamoja kwa sababu ya huu Muungano tu. Nje ya Muungano hata wewe utarudi tena kuwa Mzanzibari. Hebu tusimulie kidogo jinsi ulivyojifanya Mtanzania. Ukasoma kwa kodi zetu. Kisha ukahamia Oman na sasa unaendesha mapambano ya kurudi kwa remote Jusssa & Co.

Kumbuka pia nje ya muungano hakuna Tanzania bali kuna Tanganyika na Zanzibar. Sasa itawasibu wale wanaojinasibu kama watanzania na kuchukia jina lao la asli Tanganyika. Nikuulize hivi unajisiaje nikikuita mtanganyika?

Mbona nikimuita mtu Mzanzibari anajisikia faraja. Na Katiba ya Muungano haitumii neno Zanzibar wala Tanganika bali kuna Tanzania Bara hii kama Tanganyika na Tanzania visiwani kama Zanzibar. sasa iweje uchukie nikikuita mtanganyika.

Kumbuka mchukia asli yake ni mtumwa.

Sikusoma Tz kwa kodi zenu bali nimesomeshwa na kodi walizokuwa wanalipa wazee wangu. Kumbuka kuwa hakuna bure duniyani, kama mchumi nafikiri utanielewa kwa hilo.

Siwezi ondoka peponi na kukimbilia motoni kwani hiyo ni sawa na kutema asali na kutamani pilipili. Labda mkubali dual citizenship naweza kufikiria.


Bora kifo cha Risasi kuliko kifo cha gonjwa la JKN.
 
Hili ndio tatizo lakuolewa kihuni na ccm, hivi huyu Jussa si akamuulize Maalim Seif kulikoni?? mbona wametuma mpaka mawaziri wa smz

kama vipi ombeni talaka tatu sasa! vyama vingine bwana...
 
Kumbuka pia nje ya muungano hakuna Tanzania bali kuna Tanganyika na Zanzibar. Sasa itawasibu wale wanaojinasibu kama watanzania na kuchukia jina lao la asli Tanganyika. Nikuulize hivi unajisiaje nikikuita mtanganyika?

Mbona nikimuita mtu Mzanzibari anajisikia faraja. Na Katiba ya Muungano haitumii neno Zanzibar wala Tanganika bali kuna Tanzania Bara hii kama Tanganyika na Tanzania visiwani kama Zanzibar. sasa iweje uchukie nikikuita mtanganyika.

Kumbuka mchukia asli yake ni mtumwa.

Sikusoma Tz kwa kodi zenu bali nimesomeshwa na kodi walizokuwa wanalipa wazee wangu. Kumbuka kuwa hakuna bure duniyani, kama mchumi nafikiri utanielewa kwa hilo.

Siwezi ondoka peponi na kukimbilia motoni kwani hiyo ni sawa na kutema asali na kutamani pilipili. Labda mkubali dual citizenship naweza kufikiria.


Bora kifo cha Risasi kuliko kifo cha gonjwa la JKN.
Wazee wako walikuwa wakilipa kodi peke yao tena kwa ajili ya elimu yako hadi Chuo kikuu! Unakufuru. Mchumi gani anayedhani kodi ya wazee wake tu ilimfikisha hadi chuo kikuu? Mshukuru sana Mwalimu JKN kwa sera yake nzuri mno ya elimu na hasa mliojifanya WATANZANIA kumbe sio.
Karume alipigwa risasi kwa nini?
 
hii kitu ingekuwa mathematics tena quadratic to factorize by SPLITTING THE MIDDLE TERM NAJUA IT IS NOT PERFECT SQUARE SO LAZIMA UTAPATA FACTOR zisizofanana tu maana hii kitu ze called MUUNGANO kwangu ni headache aisee hivi hata NDOA tena kuna dini zina option ya talaka tatu si bora tupeane talaka kwa muda kwa kweli HIZI ZINAZOITWA KERO ZA MUUNGANO ZINATIA KINYAA HALAFU KILA SIKU WANZIBARI WANAONEKANA WANAONEWA HEBU WAPENI NCHI YAO WANAYOITAKA KILA SIKU WASITUMBUE AISEE CANT WE LIVE BILA WAO AGGGGGGGGGGGGGRRRRRRRRRRRHHH
SAY NO TO MUUNGANO ..TANGANYIKA OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Wazee wako walikuwa wakilipa kodi peke yao tena kwa ajili ya elimu yako hadi Chuo kikuu! Unakufuru. Mchumi gani anayedhani kodi ya wazee wake tu ilimfikisha hadi chuo kikuu? Mshukuru sana Mwalimu JKN kwa sera yake nzuri mno ya elimu na hasa mliojifanya WATANZANIA kumbe sio.
Karume alipigwa risasi kwa nini?

Kumbuka kuwa kwa biashara alizokuwa wanafanya wazee wangu basi kodi yake ingetosha kusomesha watoto zaidi ya wanane hadi Chuo kikuu lakin sie tumesoma watatu tu. Na watano wengine tumechangia kwa jamii nyingine kama wewe wenye dhana ya kuwa kuna cha bure duniyani.

Turejee kwenye Mada.

Je Znz itanufaikaje na hicho kilichooombwa na Prof Tibaijuka?

Kama hakuna namna kwanini BLW wasihusike katika kadhia hii nzima?

 
Ina maana CUF ni ya Wanzibari tu au? Kwanini CUF ndo wapinge? Je CUF bara nao wakekubali hilo? Hapo ndo ile dhana ya kuwa CUF ni chama cha kidini inapoonekana wazi maana wakazi wa Zanzibar asilimia 99.9 ni wa dini moja.
 
Ina maana CUF ni ya Wanzibari tu au? Kwanini CUF ndo wapinge? Je CUF bara nao wakekubali hilo? Hapo ndo ile dhana ya kuwa CUF ni chama cha kidini inapoonekana wazi maana wakazi wa Zanzibar asilimia 99.9 ni wa dini moja.

kama ilivyo Chadema inavyoongozwa na Padre wa Kikatoliki.
 
Back
Top Bottom