jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Nimemuona ni mtu mnafiki sana, na pia ni muongo mkubwa! Ebu cheki kauli zake hizo hapo chini achilia mbali uongo wake kuwa hakuwahi kuzipokea hizo pesa tena akiziita kuwa ni za mboga!Kipindi kile alisema ilikuwa ni hela ya mboga tu., asitake kutuchafua tena Rugemalila kesi yake tunajua ilivyokuwa inaendeshwa.,
Wakati wa Maghufuli alipozirudisha alisema hivi…
“Msamaha wa Rais unapotoka ni fursa adimu, sasa fursa ukiichezea utabaki kujuta mwenyewe, kwa upande wangu na shule, sisi tunashughulika na ule mchango tulioupokea tunaurudisha mezani” amesema profesa Tibaijuka.
Sasa hivi wakati wa Hangaya anasema hivi…
Prof Anna Tibaijuka amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumuachia huru mfanyabiashara James Rugemalila.