Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 3,119
- 1,428
Wazo zuri sana,shida yetu utekelezaji, tukisema no reforms tunsonekana wasaliti!Prof Sospeter Muhongo: LEO BUNGENI DODOMA (Mipango, Uwekezaji na Bajeti 2025/2026)
Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo amechangia mengi yakiwemo:
*Uwekezaji uongezeke kwenye Elimu na Taasisi zake (2-3% ya Pato la Taifa, GDP)
*Uwekezaji uongezeke kwenye Utafiti na Ubunifu, R&D&I (1-2% ya GDP)
*Uchumi ukue kwa kasi ya zaidi ya 8-10% kwenye sekta mbalimbali zilizowekwa kwenye mafungu (sectors: primary 55% GDP, secondary 30% GDP & tertiary 10%GDP)
Tafadhali msikilize Prof Muhongo kutoka kwenye CLIP/VIDEO iliyoambatanishwa hapa.
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz
P. O. Box 6
Musoma
Tarehe:
Jumatatu, 16 June 2025