kambiko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 354
- 304
Kwani hiyo condom inajivisha yenyewe.yaani unatetea ujinga.eti umeongea na kiingerezaVirus vya corona ili viweze kuleta madhara lazima vipitie kwenye njia ya hewa kuyafikia mapafu. Ukiviweka kwenye condom havitaweza kuyafikia mapafu yako kupitia kwenye urethra au rectum yako. Natumaini umeelewa.