SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Wewe ndio mkurugenzi mkuu wa hospitali ya Muhimbili utajipaje ufanyakazi bora na kujipa zawadi ya milioni 7??? Ni nani anayekagua utendaji wako?
Hebu fikiria mshahara wako kwa mwezi ni zaidi ya milioni 25, posho na safari kibao za ndani na nje ya nchi bado tu unakaba hadi penati?
Kuna manesi wengi hapo wanashinda wodini kukamua vidonda na usaha wa wagonjwa kwanini wasipewe ufanyakazi bora?
Kuna vijana hapo Mochwari kila siku wanashinda kupanga na kuosha maiti ila mmeshindwa kutambua mchango wao.
Wakurugenzi acheni ubinafsi.
Hebu fikiria mshahara wako kwa mwezi ni zaidi ya milioni 25, posho na safari kibao za ndani na nje ya nchi bado tu unakaba hadi penati?
Kuna manesi wengi hapo wanashinda wodini kukamua vidonda na usaha wa wagonjwa kwanini wasipewe ufanyakazi bora?
Kuna vijana hapo Mochwari kila siku wanashinda kupanga na kuosha maiti ila mmeshindwa kutambua mchango wao.
Wakurugenzi acheni ubinafsi.