Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
Kama ni Mchaga hapana aisee kuwa RaisYupo vizuri sana. Ila hana Kiki ndio maana sio maarufu. Jamaa anafaa sana kuwa Rais wa Tanzania. Changamoto hana Kiki.
Kama ni Mchaga hapana aisee kuwa RaisYupo vizuri sana. Ila hana Kiki ndio maana sio maarufu. Jamaa anafaa sana kuwa Rais wa Tanzania. Changamoto hana Kiki.
Tunataka kiongozi mwenye kuleta matokeo chanya kwa wananchi sio hizi sifa zisizotusaidia sisi wananchiNi mnyenyekevu
Msomi
Hajikwezi
Mchapakazi.
Anayebisha asikilize kipindi cha dk.45 ITV na radio one leo hii.
Kitendo cha kupanda bei ya mafuta ya magari na mitambo kinasababisha bidhaa zingine zipande tu.Tunataka kiongozi mwenye kuleta matokeo chanya kwa wananchi sio hizi sifa zisizotusaidia sisi wananchi
Bei ya pembejeo imepaa kweli kwelikweli afu unasifia upuuzi
1. Iwapo tuna hitaji kufanikiwa kiuchumi ni kumteuwa Adolf Mkenda kuwa waziri wa fedha. Hili likifanyika hatutajuta.Kama ni Mchaga hapana aisee kuwa Rais
Pembejeo zimekuwa za moto huo ubora uko kwenye kuongea au kutatua changamoto? Hopless kabisa hakuna kitu pale mbolea 80000 50kg gunia la mpunga 5000tsh mahindi 25000tshKaachivu Jambo gani ambalo limeleta matokeo chanya katika kilimo,maana Nasikia pembejeo za kilimo zimepanda Bei Sana.Naomba mnisaidie maana Tanzania akitokea mwanasiasa akawa anajua Sana kujieleza basi anakua bora,naomba ufafanuzi
Namkubali sana huyu prof.Ni mnyenyekevu
Msomi
Hajikwezi
Mchapakazi.
Anayebisha asikilize kipindi cha dk.45 ITV na radio one leo hii.
Wewe utakuwa hufuatilii mambo ya kilimo. Ungekuwa unafuatilia usingekuwa na mtizamo huo.Kaachivu Jambo gani ambalo limeleta matokeo chanya katika kilimo,maana Nasikia pembejeo za kilimo zimepanda Bei Sana.Naomba mnisaidie maana Tanzania akitokea mwanasiasa akawa anajua Sana kujieleza basi anakua bora,naomba ufafanuzi
Hamzidi jiwe kwa akili banaNamkubali sana huyu prof.
Anavyowasilisha hoja zake unaona kabisa ile intellect yake. Yuko vizuri, halafu ana exposure kubwa sana.
Halafu,ni mtu wa decision and action. Mawaziri wote wangekuwa hivi,tungesonga mbele kwa kasi kubwa sana!
Karne hii wewe umepanda meri ya ukabila? Pole sana Ta Kamugisha. Hayo mambo ya ukabila yalishapitwa na wakati. Au mwenzetu unataka kutambika?Kama ni Mchaga hapana aisee kuwa Rais
Nilifikiri ni mimi peke yangu niliyemuona jamaa ni mahiri. Kila anapoongea ni madini matupuNi mnyenyekevu
Msomi
Hajikwezi
Mchapakazi.
Anayebisha asikilize kipindi cha dk.45 ITV na radio one leo hii.
hivi kwa nn wachaga huwa hawaaminiki ktk jamii hata awe na elimu kiasi gani lkn ukisikia tu ni mchaga unashituka?!! aise kazi kwelikweli!!!Kama ni Mchaga hapana aisee kuwa Rais
Ni mnyenyekevu
Msomi
Hajikwezi
Mchapakazi.
Anayebisha asikilize kipindi cha dk.45 ITV na radio one leo hii.
Unajua nyinyi ndio mnasababisha watu wamsemeseme mwendazake bila sababu badala ya kumuacha apumzike.Hamzidi jiwe kwa akili bana
jiwe alikuwa anajua idadi ya samaki na mayai yake kwenye kila ziwa. Anajenga gorofa lenye floor nne pale UD kwa 50m. Huyo Propesa atawezaaa
Bado hatujaona mageuzi kwenye kilimo zaidi ya maneno tu.
wakulima na watanzania wanataka kona mabadiliko sio weledi wa kuzungumza!!
wamepita kila aina ya mawaziri ktk wizara hiyo lkn hakuna mabadiliko.
taasisi za utafiti wa kilimo kama NALIENDELE n.k zipozipo tu hazina tija yoyote kwenye maendeleo ya kilimo.
mambo mengi sana ktk kilimo bado yanaenda kimazoea.
Mkenda anazunguka sana sehemu mbalimbali lkn hakuna tija wala mabadiliko kwenye kilimo
Tatizo sio kuongeza bajeti ya fedha, miaka mingi fedha zinatolewa lkn hakuna cha maana zaidi ya kula fedha za umma...Mkenda kasema anakwenda kuongeza bajeti ya utafiti ktk vituo vyote vya kilimo hapa nchini.
..mkakati wake ni kuongeza uzalishaji wa mbegu bora hapa nchini.
..pia ameweka lengo la kuboresha huduma za maafisa ugani ili waweze kutoa elimu bora kwa wakulima.
..kipaumbele chake ni kuongeza uzalishaji per hectare kwa wakulima wetu.
..Napendekeza Mkenda na Bashe wapewe miaka 3 ya kutekeleza VISION yao ya kuinua uchumi. Wakishindwa waondolewe.