Mkuu mimi ofisi ni popote pale penye boksiWeka wazi, mafuriko yaliyotokea wapi? Tangu lini bongo tukatoa misaada ya mafuriko kwenda Illinois au Phillipines? Hiyo ndo kazi inakuweka mjini na kuweza kupiga picha mbele ya Vogue la weñyenazo. Kama hiyo syo kazi yako tuambie sasa kazi yako ni ipi na ofisi ziko wapi?
Kwa hiyo ulimkosoa kishabiki kabla ya kumsoma? Heri ungenyamaza tuuNipe link nikasome mkuu au kama una titles za vitabu vyake,nahitaji alichoandika kuliko kumfahamu yeye!!!!!!
mtu mwenyewe anaitwa mbele halafu ashindane na mwigulu kwa kipi huyo ni miongoni mwa maprofesa wachovu ambao hawajitambui.
Maprofesa Wakichagga bana hata wakielimika bado Wanaendekeza Ubaguzi,kila mtu ana haki ya kutoa maoni!!nakumbuka kwenye utafiti wao UD walisema TZ imeshika juu kabisa,wananchi wao kukata tamaa,hata nchi hizi wametuzidi,SOMALIA MISIRI SUDAN, AFRIKA YAKAT.YAN WAMEKAA KICHADEMACHADEMA TU.
​Duh! Walewale! Sasa hii katika CCM ndio Akili Kubwa? ​Kweli haya majanga."KUVULIWA
VYEO ZITTO NI AKILI NDOGO INATAWALA AKILI KUBWA"
Sijaona sehemu imeandikwa vyeti hapo, ni akili. Ni kama prof ndiye anaamini akili ni vyeti, ndiyo maana akalazimika kutaja wasifu wake.
Huu ni ushahidi kwa vitendo kuwa vyeti si akili, pamoja na mavyeti mengi yenye A A prof kashindwa kuielewa sentesi hiyo fupi!!
Prof "hana chama" lakini amepaniki, anashangaa yanamhusuje Mwigulu huku akijua Mwigulu ni mwanasiasa lakini zaidi ni mtanzania, au kauli ya Mwigulu inamhusuje prof huko marekani?
Wee kenge hapo nilikuwa napakia mizigo ya misaada kwa ajili ya ndugu zako waliopatwa na mafuriko halafu leo unanicheka. Ngoja mvua zianze kunyesha tena..
mwigulu amewapiga jiwe kisogoni
Mkuu mimi ofisi ni popote pale penye boksi
Wee kenge hapo nilikuwa napakia mizigo ya misaada kwa ajili ya ndugu zako waliopatwa na mafuriko halafu leo unanicheka. Ngoja mvua zianze kunyesha tena..
ndo shida ya kusoma masomo ambayo hayana hesabu
Nimechekaje kujifanya unaakiri kubwa halafu ukakutana na kubwa lao,matokeo yake lazima udate.Pole mwigulu utajibeba brazaProf yapaswa tukufahamishe kuwa huyu mwenezi wa ccm ni punguani,maneno yasiingie akilini kwako!ndiye ndondocha la chama
Mwigulu ni mchumi daraja la I sio kwamba alipata first class hili lifahamike hivyo. Hajafikia level ya Senior Economist kuelekea Principal Economist hadi Chief Economist (Kama kina Prof. LIPUMBA). So anawachanganya watu wafikiri alipata first class. Katika level ya wachumi huyu ni mtu mdogo sana hawezi pewa kazi ya kuandika mradi ama kusimamia kwenye mashirika ya kimataifa coz hajafikia level zinazotakiwa .Profesa kasema kweli. Hivi ukimchukua Mwigulu mwenye Masters first class ukamuweka na JJ Mnyika form 6 halafu ukawaambia watu waangalie jinsi wanavyojenga hoja zao mbalimbali au jinsi wanavyo behave nani ataonekana msomi zaidi?
Ni jibu zuri sana ila bado unajishusha kumjibu mtu arrogant asiye na madhara