Nipe link nikasome mkuu au kama una titles za vitabu vyake,nahitaji alichoandika kuliko kumfahamu yeye!!!!!!
OleSaidimu.
Usiwe mvivu Google tu ujionee ana pages ngapi
Nipe link nikasome mkuu au kama una titles za vitabu vyake,nahitaji alichoandika kuliko kumfahamu yeye!!!!!!
Hebu tulia kidogo mkuu!!!!
Mwanachama wa chadema akawe mwenyekiti wa ccm!!!!????
Hapa umeandika bila kutafakari mkuu!!!!
tulia acha kutokwa na povu msumari uwaingie taratibu ni mara ngapi mwiguru ametishia hiyo degree yake ya chupi kuanzia bungeni mpaka jimboni ukupayuka kiasi hiki?wewe ni prof mchumia tumbo ambaye unaweweseka tu, huna jipya.
ulichofanya hapa ni kujisifu na kuelezea elimu yako, kwani unadhani umesoma peke yako? poor you. utafia kwenye ubeba mabox huko utumwani.
Wee kenge hapo nilikuwa napakia mizigo ya misaada kwa ajili ya ndugu zako waliopatwa na mafuriko halafu leo unanicheka. Ngoja mvua zianze kunyesha tena..View attachment 122943 View attachment 122944
Pole sana ndugu ndio unatekeleza ile kauli ya nafuu kuwa mfungwa Uingereza kuliko kuishi Tanzania
Hii imetokea baada ya Mwigulu kuanza kupinga mabadiliko yaliyofanywa na CDM kwenye blog yake akisema" KUVULIWA VYEO ZITTO NI AKILI NDOGO INATAWALA AKILI KUBWA
Soma aliyoandika Mwigulu ambacho kinaonyesha kumkere sana Prof.
MWIGULU NCHEMBA BLOG: KUVULIWA VYEO ZITTO KABWE"NDANI YA CHADEMA AKILI NDOGO INATWALA AKILI KUBWA"
Joseph MbeleMwigulu NchembaKwanza kabisa, zingatia kuwa maamuzi hayo yamefanywa kidemokrasia. Hakuna mtu katika chama makini ambaye yupo juu ya utaratibu huu
Chama kina wanachama maelfu, hao ndio CHADEMA; sio mtu fulani au mtu fulani. Ungekuwa na akili kubwa ungetambua hilo.
Yawezekana umesoma shule, lakini hujaelimika. Uwezo wako wa kuchambua mambo ni mdogo. Unadhani kuwa na vyet na digirii ndio sifa sana.
Ngoja nikueleze. Mimi ninayeandika hapa ni profesa Mtanzania hapa Marekani. Nilihitimu B.A (First Class, UDSM, 1973), M.A. 1978, UDSM) nikiwa nimepata "A" katika masomo yote, Nikahitimu M.A. (1982) na PhD (1986) katika Chuo Kikuu cha Wisconsin-Madison, Marekani, tena niliibuka na tuzo ya mwanafunzi bora.
Nasikitika kueleza yote haya, na sijawahi, isipokuwa kwa sababaau ya maringo unayoleta hapa, kuwadharau watu waliomaliza high school, imebidi nikupe vidonge.
Pamoja na shahada zangu zote, nawaheshimu watu wote, wakiwemo wazee kule kijini, ambao walinilea na wanaendelea kunilea kwa busara zao. Mtu aliyemaliza hiyo high school anaweza akawa kiongozi mzuri na mwenye busara kuliko yule mwenya Masters au PhD.
Kama kweli unaheshimu shahada za vyuoni anza utafiti huko huko CCM uone wenzako ambao wanaringia shahada ambazo zina utata. Kwa mfano Mary Nagu hakusoma chuo na kupata shahada yake katika chuo kinachotambuliwa na taasisi yoyote ya kitaaluma inayotathmini na kuidhinishaa shughuli za vyuo. Hapa Marekani tunaita "accreditation agencies."
Anza kwanza kuisafisha CCM, ambayo ina watu wanaodai wana PhD kumbe hazijatoka kwenye vyuo vyenye sifa.
Unacholeta hapa ni kile kinachoitwa "intellectual arrogance," ambayo kwa mtazamo wangu ni dalili ya kutoelimika.
Mtu aliyeelimika anapaswa kufahamu kuwa elimu haiko vitabuni au shuleni tu. Inapatikana pia kwa wazee vijijini.
Halafu nashangaa mambo ya CHADEMA yanakuhusu nini. Mimi sio mwachama wa chama chochote cha siasa, ila nimeona nirekebishe dosari katika kauli yako.
Kelele tu wote hao!!!!!
Angetuwekea machapisho ya njia za kuinua vijana wa Kitanzania kutokana na shughuli za kiuchumi za hapa!!!!!!
CCM ni sawa na band ya taarab, Mwigulu, Nape na Kinana ndio waimbaji jukwaani, ni mambingwa wa mipasha hao jamaa. Useless
KUVULIWA VYEO ZITTO KABWE"NDANI YA CHADEMA AKILI NDOGO INATWALA AKILI KUBWA"
Kuvuliwa vyeo kwa Zitto Zuberi Kabwe na Dr Kitila Mkumbo kutakuwa na visingio vingi, ukweli ni kwamba "NDANI YA CHADEMA AKILI NDOGO INATAWALA AKILI KUBWA" It is natural kwamba akili ndogo ikitawala akili kubwa,
1) Yatatumika mabavu na nguvu nyingi kuizuia akili kubwa kupanda juu,
2) Zitatafutwa sababu nyingi na visingizio uchwara kuhalalisha kuizima akili kubwa tofauti na vigezo vya hoja kwakuwa akili ndogo haiwezi kuizidi akili kubwa kwa hoja,
3) Hutumika vitisho vingi kuzuia akili kubwa kuchukua hadhi yake
4) Akili ndogo ni rafiki wa akili ndogo mwenzake, hivyo akili ndogo huzungukwa na akili ndogo kwakuwa ushauri wa akili kubwa akili ndogo hushindwa kutumia ama kushindwa kuonesha umiliki mbele za watu.
Kwenye chadema wenye akili wote wako nje ya uzio wa chemichemi ya mawazo. Pale bungeni watu wanaoweza kufundisha na waliokuwa wakifundisha hata unaibu waziri kivuli hawapati kwakuwa wanatumia akili zaidi badala ya nguvu.
Lakini walioishia kidato cha kwanza, pili, tatu na zero ndio think tanks na ndio majembe ya chadema kwakuwa wanatumia mabavu na manguvu zaidi kuliko akili sawasawa na matakwa mahitaji ya akili ndogo inayoongoza akili kubwa.
Vijana wahitimu wa vyuo wanaopenda siasa waliandikiwa barua kuwazuia kuhutubia mkutano wowote wa hadhara sawasawa na matakwa ya akili ndogo inapotawala akili kubwa. Zito, Kitila, Christowaja, Matiko, Opulukwa, Baregu, Leticia, Selasini, Arfi, Akunay, Naste wengi wao MA holders kwa chadema ni rejects. Ukiwa mwanafamilia au ukoo au kazi au wito maalum wa viongozi ndio utakwepo kwenye list.
I know Zitto tangu tukiwa chuoni, he is a brilliant and consistent politician, namjua Dr Kitila tangu chuoni, he is resourceful. Hivi kosa walilofanya ni kubwa kuliko mchango wao waliofanya kwenye kuwajenga watanzania kuwaamini vijana kwenye siasa? Je kosa lao ni kubwa kuliko mchango wao unavyohitajika? Vijana tuko kazini na wakati huohuo tuko mafunzoni.
Sio adhabu nzuri ya kuwafukuza ama kuwaondoa kwenye fursa ya kujifunza zaidi
Wee kenge hapo nilikuwa napakia mizigo ya misaada kwa ajili ya ndugu zako waliopatwa na mafuriko halafu leo unanicheka. Ngoja mvua zianze kunyesha tena..
nani kakuambia prof ni mchaga? Naona buku 7 imeshaingiaMaprofesa Wakichagga bana hata wakielimika bado Wanaendekeza Ubaguzi,kila mtu ana haki ya kutoa maoni!!nakumbuka kwenye utafiti wao UD walisema TZ imeshika juu kabisa,wananchi wao kukata tamaa,hata nchi hizi wametuzidi,SOMALIA MISIRI SUDAN, AFRIKA YAKAT.YAN WAMEKAA KICHADEMACHADEMA TU.
Majibu marahisi kwa maswali magumu. wakati mwingine watu wenye akili zao wakiwa wanachangia bora ukae kimya. Unajidhalilisha sana. Bora ukae kimya tuu. Au na wwe ni mzee wa buku 7 pale Lumumba. manake jioni kabla ya kupokea buku 7 lazima waangalie ume comment mara ngapiKwani Dj alifika hata hiyo high school?
Au kupiga disco nako ni high school
Wee kenge hapo nilikuwa napakia mizigo ya misaada kwa ajili ya ndugu zako waliopatwa na mafuriko halafu leo unanicheka. Ngoja mvua zianze kunyesha tena..
mtu mwenyewe anaitwa mbele halafu ashindane na mwigulu kwa kipi huyo ni miongoni mwa maprofesa wachovu ambao hawajitambui.
Raha ya taarab lazima apatikane mkata viuno pia! Kati ya hao yupi anafaa?
nani kakuambia prof ni mchaga? Naona buku 7 imeshaingia
acha ukabila wewe, unafikiri kila anaeipinga ccm ni mchaga..
Mfumuko wa bei ya umeme!Ipi hiyo kiongozi???