Prof. Mbele amtolea Uvivu Mwigulu Nchemba

Prof. Mbele amtolea Uvivu Mwigulu Nchemba

Hii imetokea baada ya Mwigulu kuanza kupinga mabadiliko yaliyofanywa na CDM kwenye blog yake akisema" KUVULIWA VYEO ZITTO NI AKILI NDOGO INATAWALA AKILI KUBWA
Soma aliyoandika Mwigulu ambacho kinaonyesha kumkere sana Prof.
MWIGULU NCHEMBA BLOG: KUVULIWA VYEO ZITTO KABWE"NDANI YA CHADEMA AKILI NDOGO INATWALA AKILI KUBWA"


Joseph Mbele Mwigulu NchembaKwanza kabisa, zingatia kuwa maamuzi hayo yamefanywa kidemokrasia. Hakuna mtu katika chama makini ambaye yupo juu ya utaratibu huu

Chama kina wanachama maelfu, hao ndio CHADEMA; sio mtu fulani au mtu fulani. Ungekuwa na akili kubwa ungetambua hilo.

Yawezekana umesoma shule, lakini hujaelimika. Uwezo wako wa kuchambua mambo ni mdogo. Unadhani kuwa na vyet na digirii ndio sifa sana.

Ngoja nikueleze. Mimi ninayeandika hapa ni profesa Mtanzania hapa Marekani. Nilihitimu B.A (First Class, UDSM, 1973), M.A. 1978, UDSM) nikiwa nimepata "A" katika masomo yote, Nikahitimu M.A. (1982) na PhD (1986) katika Chuo Kikuu cha Wisconsin-Madison, Marekani, tena niliibuka na tuzo ya mwanafunzi bora.

Nasikitika kueleza yote haya, na sijawahi, isipokuwa kwa sababaau ya maringo unayoleta hapa, kuwadharau watu waliomaliza high school, imebidi nikupe vidonge.

Pamoja na shahada zangu zote, nawaheshimu watu wote, wakiwemo wazee kule kijini, ambao walinilea na wanaendelea kunilea kwa busara zao. Mtu aliyemaliza hiyo high school anaweza akawa kiongozi mzuri na mwenye busara kuliko yule mwenya Masters au PhD.

Kama kweli unaheshimu shahada za vyuoni anza utafiti huko huko CCM uone wenzako ambao wanaringia shahada ambazo zina utata. Kwa mfano Mary Nagu hakusoma chuo na kupata shahada yake katika chuo kinachotambuliwa na taasisi yoyote ya kitaaluma inayotathmini na kuidhinishaa shughuli za vyuo. Hapa Marekani tunaita "accreditation agencies."

Anza kwanza kuisafisha CCM, ambayo ina watu wanaodai wana PhD kumbe hazijatoka kwenye vyuo vyenye sifa.

Unacholeta hapa ni kile kinachoitwa "intellectual arrogance," ambayo kwa mtazamo wangu ni dalili ya kutoelimika.

Mtu aliyeelimika anapaswa kufahamu kuwa elimu haiko vitabuni au shuleni tu. Inapatikana pia kwa wazee vijijini.

Halafu nashangaa mambo ya CHADEMA yanakuhusu nini. Mimi sio mwachama wa chama chochote cha siasa, ila nimeona nirekebishe dosari katika kauli yako.

ndo shida ya kusoma masomo ambayo hayana hesabu
 
"KUVULIWA
VYEO ZITTO NI AKILI NDOGO INATAWALA AKILI KUBWA"

Sijaona sehemu imeandikwa vyeti hapo, ni akili. Ni kama prof ndiye anaamini akili ni vyeti, ndiyo maana akalazimika kutaja wasifu wake.
Huu ni ushahidi kwa vitendo kuwa vyeti si akili, pamoja na mavyeti mengi yenye A A prof kashindwa kuielewa sentesi hiyo fupi!!
Prof "hana chama" lakini amepaniki, anashangaa yanamhusuje Mwigulu huku akijua Mwigulu ni mwanasiasa lakini zaidi ni mtanzania, au kauli ya Mwigulu inamhusuje prof huko marekani?

Hivi hujui mwigulu hujisifu kuwa ni mchumi daraja la kwanza?Na hujui ni kwa nini mwigulu ameandika maneno hayo?any ways wewe ungekuwa mwanaume ungedhalilisha jinsi,ila kwa vile ni mdada,tunakusamehe tu kwa vile muda mwingi unatumia kusoma riwaya za Shigongo kwa hiyo hujui mambo mengi.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
kwani maamuzi ya kuwavua uongozi yamefanywa na mbowe na slaa tu.Hapana kamati kuu ina watu makini na wasomi zaidi ya mwigulu,nani mwenye akili ndogo kama sio wewe unayesikitika badala ya kufurahia na kuwakaribisha lumumba.Dili lenu limebuma
 
Tangu lini Mwigulu akawa na uchungu na Zitto? Mwigulu alishawahi KUITUPA CHINI BAJETI KIVULI iliyoandaliwa na Zitto na kusema ni matapishi. Sasa inakuwa leo anamsifia na kumtetea?
Huu ni unafiki mkubwa
Da kweli mkuu! Siku hiyo nilikuwa dukani nimetune TV,da Mwigulu alikashifu sana lakini sikujua kama iliandaliwa na Zitto.
 
we mostly welcomes prof.mbele to join "chadema tusk force" in the war against "devils" in the satan kingdom of theft,egoism,corruption, 10%,and much much worsest
 
Mwigulu leo anamwona Zitto ana akili?kweli wanasiasa wa Tanzania wanaishi kwa misingi ya kilaghai ZeMarcopolo 2013 with amendment
 
Last edited by a moderator:
CCM ni sawa na band ya taarab, Mwigulu, Nape na Kinana ndio waimbaji jukwaani, ni mambingwa wa mipasha hao jamaa. Useless
 
Hebu tulia kidogo mkuu!!!!

Mwanachama wa chadema akawe mwenyekiti wa ccm!!!!????
Hapa umeandika bila kutafakari mkuu!!!!

Hii inaonyesha jinsi ulivyo na uwezo mdogo wa kuelewa na kuchanganua mambo kilichoandikwa kinatokana na uhalisia kwani wanaCCM wengi ndio wapo nyuma ya ZITTO kutaka awe Mwenyekiti wa CDM kwa hiyo umeulizwa kama mnaona ZITTO anafaa kwa uenyekiti wa chama TAIFA si mumbebe aje kwenu huko CCM na awe mwenyekiti wenu? kwani huku CHADEMA nafasi hiyo hana.
 
Kwani Dj alifika hata hiyo high school?

Au kupiga disco nako ni high school

Lukosi box.jpg Lukosi box3.jpg

Pole sana ndugu ndio unatekeleza ile kauli ya nafuu kuwa mfungwa Uingereza kuliko kuishi Tanzania
 
Hii imetokea baada ya Mwigulu kuanza kupinga mabadiliko yaliyofanywa na CDM kwenye blog yake akisema" KUVULIWA VYEO ZITTO NI AKILI NDOGO INATAWALA AKILI KUBWA
Soma aliyoandika Mwigulu ambacho kinaonyesha kumkere sana Prof.
MWIGULU NCHEMBA BLOG: KUVULIWA VYEO ZITTO KABWE"NDANI YA CHADEMA AKILI NDOGO INATWALA AKILI KUBWA"


Joseph MbeleMwigulu NchembaKwanza kabisa, zingatia kuwa maamuzi hayo yamefanywa kidemokrasia. Hakuna mtu katika chama makini ambaye yupo juu ya utaratibu huu

Chama kina wanachama maelfu, hao ndio CHADEMA; sio mtu fulani au mtu fulani. Ungekuwa na akili kubwa ungetambua hilo.

Yawezekana umesoma shule, lakini hujaelimika. Uwezo wako wa kuchambua mambo ni mdogo. Unadhani kuwa na vyet na digirii ndio sifa sana.

Ngoja nikueleze. Mimi ninayeandika hapa ni profesa Mtanzania hapa Marekani. Nilihitimu B.A (First Class, UDSM, 1973), M.A. 1978, UDSM) nikiwa nimepata "A" katika masomo yote, Nikahitimu M.A. (1982) na PhD (1986) katika Chuo Kikuu cha Wisconsin-Madison, Marekani, tena niliibuka na tuzo ya mwanafunzi bora.

Nasikitika kueleza yote haya, na sijawahi, isipokuwa kwa sababaau ya maringo unayoleta hapa, kuwadharau watu waliomaliza high school, imebidi nikupe vidonge.

Pamoja na shahada zangu zote, nawaheshimu watu wote, wakiwemo wazee kule kijini, ambao walinilea na wanaendelea kunilea kwa busara zao. Mtu aliyemaliza hiyo high school anaweza akawa kiongozi mzuri na mwenye busara kuliko yule mwenya Masters au PhD.

Kama kweli unaheshimu shahada za vyuoni anza utafiti huko huko CCM uone wenzako ambao wanaringia shahada ambazo zina utata. Kwa mfano Mary Nagu hakusoma chuo na kupata shahada yake katika chuo kinachotambuliwa na taasisi yoyote ya kitaaluma inayotathmini na kuidhinishaa shughuli za vyuo. Hapa Marekani tunaita "accreditation agencies."

Anza kwanza kuisafisha CCM, ambayo ina watu wanaodai wana PhD kumbe hazijatoka kwenye vyuo vyenye sifa.

Unacholeta hapa ni kile kinachoitwa "intellectual arrogance," ambayo kwa mtazamo wangu ni dalili ya kutoelimika.

Mtu aliyeelimika anapaswa kufahamu kuwa elimu haiko vitabuni au shuleni tu. Inapatikana pia kwa wazee vijijini.

Halafu nashangaa mambo ya CHADEMA yanakuhusu nini. Mimi sio mwachama wa chama chochote cha siasa, ila nimeona nirekebishe dosari katika kauli yako.
your right professor several times I used to ask myself ''who taught the first professor?'' mwache huyo mwehu mwigulu na first yake fake ambayo haisaidii hata familia yake nini jimbo lake
 
CCM Mbebe mtu wenu tumeisha mlipua fanya mpango mwingine hiki ni chama makini.Mzuri kwa ccm ni hatari kwa chadema.CCM jipange upya.
 
Mwanachama wa chadema akawe mwenyekiti wa ccm!!!!????
Hapa umeandika bila kutafakari mkuu!!!!

Kwani mwanachama wa chadema akiamua hawezi kuwa mwanachama wa ccm, mtela alikuwa chadema sasa ni ccm na mmempa sijui cheo gani huko uvccm, yule jamaa yetu wa mby aliewauzia ubunge mara mbili, alikuwa chairman chadema mkoa now ccm damu, wapo wengi tu walikuwa makamanda lakini sas hivi magamba, so the same to zitto, kama mnaona anaakili kubwa kushinda akili ndogo mpen kadi awe chair wenu hata wa kata
 
wewe ni zaidi ya punguani jiangalie vizuri.
Huna lolote,vitu vilivyoachwa na mkoloni vyote mashamba makubwa,reli,bandari,elimu ccm imeviua halafu unakuwadia ccm bila aibu hata chembe
 
Hii imetokea baada ya Mwigulu kuanza kupinga mabadiliko yaliyofanywa na CDM kwenye blog yake akisema" KUVULIWA VYEO ZITTO NI AKILI NDOGO INATAWALA AKILI KUBWA
Soma aliyoandika Mwigulu ambacho kinaonyesha kumkere sana Prof.
MWIGULU NCHEMBA BLOG: KUVULIWA VYEO ZITTO KABWE"NDANI YA CHADEMA AKILI NDOGO INATWALA AKILI KUBWA"


Joseph Mbele Mwigulu NchembaKwanza kabisa, zingatia kuwa maamuzi hayo yamefanywa kidemokrasia. Hakuna mtu katika chama makini ambaye yupo juu ya utaratibu huu

Chama kina wanachama maelfu, hao ndio CHADEMA; sio mtu fulani au mtu fulani. Ungekuwa na akili kubwa ungetambua hilo.

Yawezekana umesoma shule, lakini hujaelimika. Uwezo wako wa kuchambua mambo ni mdogo. Unadhani kuwa na vyet na digirii ndio sifa sana.

Ngoja nikueleze. Mimi ninayeandika hapa ni profesa Mtanzania hapa Marekani. Nilihitimu B.A (First Class, UDSM, 1973), M.A. 1978, UDSM) nikiwa nimepata "A" katika masomo yote, Nikahitimu M.A. (1982) na PhD (1986) katika Chuo Kikuu cha Wisconsin-Madison, Marekani, tena niliibuka na tuzo ya mwanafunzi bora.

Nasikitika kueleza yote haya, na sijawahi, isipokuwa kwa sababaau ya maringo unayoleta hapa, kuwadharau watu waliomaliza high school, imebidi nikupe vidonge.

Pamoja na shahada zangu zote, nawaheshimu watu wote, wakiwemo wazee kule kijini, ambao walinilea na wanaendelea kunilea kwa busara zao. Mtu aliyemaliza hiyo high school anaweza akawa kiongozi mzuri na mwenye busara kuliko yule mwenya Masters au PhD.

Kama kweli unaheshimu shahada za vyuoni anza utafiti huko huko CCM uone wenzako ambao wanaringia shahada ambazo zina utata. Kwa mfano Mary Nagu hakusoma chuo na kupata shahada yake katika chuo kinachotambuliwa na taasisi yoyote ya kitaaluma inayotathmini na kuidhinishaa shughuli za vyuo. Hapa Marekani tunaita "accreditation agencies."

Anza kwanza kuisafisha CCM, ambayo ina watu wanaodai wana PhD kumbe hazijatoka kwenye vyuo vyenye sifa.

Unacholeta hapa ni kile kinachoitwa "intellectual arrogance," ambayo kwa mtazamo wangu ni dalili ya kutoelimika.

Mtu aliyeelimika anapaswa kufahamu kuwa elimu haiko vitabuni au shuleni tu. Inapatikana pia kwa wazee vijijini.

Halafu nashangaa mambo ya CHADEMA yanakuhusu nini. Mimi sio mwachama wa chama chochote cha siasa, ila nimeona nirekebishe dosari katika kauli yako.

Mwana CDM at work!
 
Hajajishusha hata kidogo kwani Vikizidi kama vya Mwigu huwa ni mno hivyo kuna wakati vinatakiwa kupunguzwa kama visipojipunguza.
na pia mwambie prof kajua hilo ndio maana kaweka angalizo ''sikutaka kufika hapa''
 
Back
Top Bottom