Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,171
- 3,893
CUF walikuwa wanampokea airport wakimuita wa kimataifa. Yaliyofuata baada ya pale wanajuana wenyewe kina Prof wa kimataifaLipumba yule ni feki, mimi nilistukia tu baada ya kuanza kuvuruga wenzie hadi nikaanza kujiuliza mwenyewe huyu ni Prof kweli