TANZIA Mchumi Mkongwe wa Elimu Profesa Teddy Maliyamkono, amefariki dunia

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,609
8,753
Tumepoteza msomi wa kujivunia Tanzania. Professor Maliyamkono ni kati ya wasomi wachache waliobobea kwenye kuandika vitabu na kufanya research za uhakika kwa nchi nyingi za Afrika
RIP Prof

====
FB_IMG_1697416893093.jpg

Mchumi Mkongwe wa Elimu Profesa Teddy Maliyamkono, amefariki dunia leo jijini Dar es Salaam.

Profesa Maliyamkono alifanya kazi na kuongoza Mashirika mbalimbali Kitaifa na Kimataifa ikiwemo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Aliandika vitabu mbalimbali peke yake na kwa ushirikiano kitabu cha “The Challenge for Tanzania’s Economy" (1986) pamoja na kitabu cha “Viwanda: Moving Tanzania Forward” kilichozinduliwa mwaka 2019 na Dr. Tulia Ackson Bungeni jijini Dodoma.

Pumzika kwa amani Msomi Maliyamkono🙏

ADC1FB92-2E03-4E58-9E78-F6944DAFE324.jpeg
75A62A59-2E9B-4F92-AFD3-20B3E14D0F23.jpeg
 
Tumepoteza msomi wa kujivunia Tanzania. Professor Maliyamkono ni kati ya wasomi wacheche waliobobea kwenye kuandika vitabu na kufanya researcher za uhakika kwa nchi nyingi za Africa
RIP Prof


View: https://youtu.be/gPQr5PFfc_w?si=qzqCsYAZxF4nCMma

Naunga mkono hoja, Prof. Ted Luta Maliyamkono ameandika vitabu kadhaa vya research kuhusu Uchaguzi Mkuu na siasa za Tanzania. Ndio muanzilishi wa Redet kabla kina Prof. Bana hawajai politicised na kuifanya chawa wa CCM!.

Sijui hawa Wahaya majina ya Kiswahili kama hili Maliyamkono, waliyatoa wapi?, anayejua Prof. Ted Luta Maliyamkono, kirefu cha Luta yake ni Luta nini?, maana Luta ni kifupi!.

Kuna Mhaya mwingine akiitwa Katto, baada ya kupose kwa kabila lingine, jina la Katto alilifuta kabisa!. Mkuu britanicca hii issue anaijua sana!.

RIP Prof. T.L Maliyamkono.
P
 
Kinachosikitisha wasomi hawa hawataki kabisa kutoa mihadhara katika majukwaa ya kidigitali tofauti na maprofesa wa Kenya, Nigeria, South Africa, Ghana hivyo wanaondoka na elimu na ujuzi wao

Video: Magufuli The Game Changer - Mahojiano na Prof. Ted Maliyamkono


View: https://m.youtube.com/watch?v=w7dK1lzMSxs



Prime Minister Kassim Majaliwa has launched a book 'The Game Changer', chronicling President John Magufuli's first term in office between 2015 and 2020.
Describing it as a firstclass reference, the Premier said the book attempts to explain why Tanzanians were lock downed by poverty amid abundant natural resources.


"It is very essential to the Government, individuals and Tanzanians within and outside Tanzania," he said at the Ceremony held yesterday at the Chimwaga hall of the University of Dodoma (UDOM).

The book published by the Eastern and Southern African Universities Research Programme (ESAURP) details how President Magufuli's reforms in Tax Collection, Energy sector, Environment, Education, Infrastructure, Water and Health has spearheaded social and economic transformation in the East African country.

According to Majaliwa, 'The Game-Changer' also highlights the important virtue that Tanzania is a democratic state, clearing doubts among local and foreign investors but further recommending the involvement of the private sector and entrepreneurs in its economy.

"There are other recommendations... Let me emphasize that the Government will continue fighting corruption, embezzlement of public funds, and support creation of job opportunities," he said.

The Editor in-Chief, Prof. Ted Maliyamkono said Magufuli took office when the country was faced with challenges fuelling the demand for a new constitution.

He said some members of his political party-CCM joined the opposition, fuelling his struggle to reform the state.

"He had a difficult start. He hoped to clean the country in which a lot didn't support him ... but today we are all enjoying his effort," said the editor of the 629-pages book containing 30 different chapters.

The renowned Academician said President Magufuli's sweeping measures, including interrupting contracts, firing senior government officials, renegotiating investment terms with a large multinational corporation and intensifying investment in infrastructures had propelled the country into greater heights.

"The only problem is lack of patriotism," he said, adding that the President was angered by gross sabotage and slowness of people adopting to his pace.

The editor said all the 47 researchers and contributors have lauded the President's approach which contributed to raising revenue collection by at least 48 percent.

ESAUP Executive Director, Ruta Mutakawa noted that the book is one among several publications. He said it was printed in South Africa and Tanzania.

Some previously published works include 'The Roof of Peace in Zanzibar' that suggested the establishment of the Government of National Unity, 'Why pay Tax' that recommended a moderate approach in tax collection, and 'The Promise' that narrates 10 years of President Benjamin Mkapa in office.

Prof. Joyce Ndalichako, Minister for Education, Science and Technology described the new book as a prime resource towards enhancing the country's history- one of President Magufuli's latest directive to education authorities.

Chief Secretary and UDOM Vice-Chancellor, Eng. John Kijazi said a similar plan is being organized by the university to write Magufuli's autobiography.

Meanwhile, the Prime Minister offered a 20m/- donation to help print more copies but also directed the Minister of State, Prime Minister's Office Jenista Muhagama to facilitate printing of 3,000 copies that will be sold to government institutions as well as local government authorities

Source : Ubalozi wa Tanzania Tel Aviv Israel PM Majaliwa Launches Book On Magufuli | Embassy of Tanzania in Tel Aviv, Israel
 
Professor Maliyamkono ni kati ya wasomi wacheche waliobobea kwenye kuandika vitabu

Amebobea kuandika vitabu kuhusu mafanikio ya marais

TOKA MAKTABA :
28 January 2023
The Roadmap to success for President Samia Suluhu Hassan” wakiongozwa na Mhariri Mkuu wa Kitabu hicho Prof Ted Maliyamkono , mazungumzo yaliofanyika leo tarehe 28 Januari 2023 Ikulu Jijini Dar es salaam. Amesema ni vema kuendelea kuwapa moyo wasomi wa nchi hii ili kutambua kwamba wanao wajibu wa kufanya tafiti na kuandika mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kisayansi katika taifa letu.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa viongozi wa vyuo hapa nchini kuchukulia kwa umuhimu jukumu la kuandika na kuielezea vema Tanzania katika vitabu kwa maslahi ya taifa.

View: https://m.youtube.com/watch?v=gPQr5PFfc_w
 
Another Yes Man intellectual kicked off the bucket.

Sasa alikuwa anaogopa nini kusema ukwel, kulamba kote viatu na kufa kupo pale pale.

A waste of resource intellectual.
 
Hawa ndio wasomi waliotuangusha kwa kujipendekeza kwa watawala na kukubali kutumika. Wasomi machawa. RIP
Huyu alikuwa rubbish professor hata ukifanya naye kazi ni TAPELI wa kutupa - dhulumati ktk kila kona. Ndiyo sababu ya taasisi yake ya ESURP ilikufa. However RIP prof.....
 
Tumepoteza msomi wa kujivunia Tanzania. Professor Maliyamkono ni kati ya wasomi wachache waliobobea kwenye kuandika vitabu na kufanya research za uhakika kwa nchi nyingi za Afrika
RIP Prof

====
View attachment 2783307
Mchumi Mkongwe wa Elimu Profesa Teddy Maliyamkono, amefariki dunia leo jijini Dar es Salaam.

Profesa Maliyamkono alifanya kazi na kuongoza Mashirika mbalimbali Kitaifa na Kimataifa ikiwemo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Aliandika vitabu mbalimbali peke yake na kwa ushirikiano kitabu cha “The Challenge for Tanzania’s Economy" (1986) pamoja na kitabu cha “Viwanda: Moving Tanzania Forward” kilichozinduliwa mwaka 2019 na Dr. Tulia Ackson Bungeni jijini Dodoma.

Pumzika kwa amani Msomi Maliyamkono🙏

View attachment 2783271View attachment 2783272
Pole kwa familia yake, vichwa kama hivi vinafahamikaga vikifa, ila wapuuzi kama akina Amba Rutty, giggy Money wanafahamika nchi nzima.
 
Back
Top Bottom