Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,298
- 33,624
Lukuvi jembeLukuvi nilimdharau ila kumbe inategemeana anakimbizwa na nani, naona anapiga mzigo fresh!
Lukuvi jembeLukuvi nilimdharau ila kumbe inategemeana anakimbizwa na nani, naona anapiga mzigo fresh!
Wilaya yake ya Mwanga amekuwa mbunge huu ni msimu wa tatu kama sijakosea ila mpaka leo kuna shida ya maji sana pako vile vile na bado walimchagua tena though wengi walionekana kumpinga Sana.
Wilaya tu imemshinda kwa muda wote aliokaa hata kwa jambo moja tu la shida ya maji hiyo wizara ataiweza vipi jaman japo sijafuatilia sana taarifa za utendaji wake ni wazi lazima ashindwe.
Mkuu Lizabon, mimi kanishangaza hasa. Badala ya kumpongeza yeye anamsimamisha.
Labda kama kamsimamisha nje ya sababu iliyotajwa, kama ni kwa sababu ya kufuata sherua, basi naona Mh Waziri kakosea sana, na kwa hiyo hatoshi kwenye nafasi yake.
Tusubiri tuone, kama itatajwa sababu zingine. Mkuu Lizabon tuliwahi kuandika humu, viongoz waandamiz wanaiga ayafanyayo Mh JPM ya kusimamisha watu kazi lakini hawajui yeye anakua na data nyingi. Wao wanaiga lakini unakuta makosa makubwa kwani unaweza kufuatilia kumbe mtumishi hana kosa na tayari jina lake limeshatangazwa na anaonekana mtu asiyefaa kwenye jamii.
Akitumbuliwa utapewa wewe
Kwani ubaya uko wapi akipewa yeye?Akitumbuliwa utapewa wewe
Asiri zetu huwa ni kama ngozi, hawa watu mpaka leo bado wanafikiria kuiba tu na ujanja ujanja halafu wasipoteuliwa utawasikia ..ohoo, mkabila!Ukiangalia vizuri ni kwa nini Prof. Maghembe alitoa waraka wenye utata wa kutetea wavamizi wa mapori, unapata mashaka wa fikra za Wazri. Hili jengine la kutetea wahalifu wa pembe za ndovu, ndo kabisaa inaashiria kwamba ni Waziri Mzigo. Huyu anatakiwa akae kando fasta na uchunguzi ufanyike ili kuangalia kwa nini alikuwa anatoa maamuzi yenye utata.
kweli hakuna msafi tzWapare wenzake washaanza kumtetea bila kujali msalahi ya Umma kama Waha walivyomtetea Zito na kashfa ya Nssf/leks dutigite
Tujuzwe wale ng'ombe ni wa nani. Na Maghembe alitoa amri kwa mamlaka ya nani.Wadau, amani iwe kwenu.
Binafsi nilikuwa ni miongoni mwa watu ambao tulionesha wasiwasi wetu mara tu baada ya Prof Maghembe kuteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii. Wasiwasi wangu haukutokana na location ambayo Prof Maghembe anatoka bali ni kutokana na ugumu wa Wizara hiyo na uwezo wa Maghembe kukabiliana na changamoto za Wizara.
Hakika nilikuwa sahihi kumjudge negatively. Huko Kagera, Mhifadhi Mkuu wa Pori amefukuzwa kazi kutokana na kuwaondoa watu waliovamia pori hilo kwa kukata miti na kuingiza mifugo mingi. Mhifadhi huyo amefukuzwa kutokana na amri ya Mamlaka ya Juu ya Wizara.
Kama hiyo haitoshi, kuna operesheni inayoendelea ya kuwakamata vibompa wa Meno ya Tembo. Operesheni hiyo imeanza juzi. Hata hivyo, mamlaka ya Juu ya Wizara ya Maliasili na Utalii ikaingilia kati ili wanaohusika na biashara hiyo akiwemo jamaa mmoja anayejulikana kwa jina la Mpemba asikamatwe. Bahati nzuri Mheshimiwa Rais aliinyaka hiyo hewani na akasimama yeye mwenyewe kuongoza Operesheni hiyo. Hivi tunavyozungumza hali ni mbaya sana kwa hao jamaa ambao walidhani kuwa kwa nguvu ya pesa waliyonayo hawawezi kukamatwa.
Kwa mifano hii michache, sioni wapi ataponea Prof Maghembe. Jipu tayari limeiva na litatumbuliwa soon.
Wadau, amani iwe kwenu.
Binafsi nilikuwa ni miongoni mwa watu ambao tulionesha wasiwasi wetu mara tu baada ya Prof Maghembe kuteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii. Wasiwasi wangu haukutokana na location ambayo Prof Maghembe anatoka bali ni kutokana na ugumu wa Wizara hiyo na uwezo wa Maghembe kukabiliana na changamoto za Wizara.
Hakika nilikuwa sahihi kumjudge negatively. Huko Kagera, Mhifadhi Mkuu wa Pori amefukuzwa kazi kutokana na kuwaondoa watu waliovamia pori hilo kwa kukata miti na kuingiza mifugo mingi. Mhifadhi huyo amefukuzwa kutokana na amri ya Mamlaka ya Juu ya Wizara.
Kama hiyo haitoshi, kuna operesheni inayoendelea ya kuwakamata vibompa wa Meno ya Tembo. Operesheni hiyo imeanza juzi. Hata hivyo, mamlaka ya Juu ya Wizara ya Maliasili na Utalii ikaingilia kati ili wanaohusika na biashara hiyo akiwemo jamaa mmoja anayejulikana kwa jina la Mpemba asikamatwe. Bahati nzuri Mheshimiwa Rais aliinyaka hiyo hewani na akasimama yeye mwenyewe kuongoza Operesheni hiyo. Hivi tunavyozungumza hali ni mbaya sana kwa hao jamaa ambao walidhani kuwa kwa nguvu ya pesa waliyonayo hawawezi kukamatwa.
Kwa mifano hii michache, sioni wapi ataponea Prof Maghembe. Jipu tayari limeiva na litatumbuliwa soon.
Wewe????!!!! humjui huyo jamaa? Uliza halmashauri alivyokuwa akitishia ili watoe.......Apewe Mwanry. Nadhani bado kuna nafasi ya Rais kuteua Mbunge hivyo basi amteue Mwanry akamate hii Wizara na naamini ataiweza bila shaka yoyote.