Prof. Maghembe amekalia kuti kavu

Ni aibu sana kwa wote waliotaka kuikwamisha operesheni ya kuwadaka maharamia wa meno ya tembo....
Nilipokuwa nasikia Rais akisema kila siku aombewe mwanzoni sikumuelewa. Ila sasa namuelewa. Hali ilikuwa mbaya sana huko serikalini. Mijitu bado ipo kwenye hang over za kupiga deal. Sasa kweli hadi Rais aingilie si hatari sana hii. Waziri na wasaidizi wake walikuwa wapi au wamekuwa compromised? Wakuu wa vyombo vya usalama wapo wapi?
 
Tukijua mmiliki wa hao ng'ombe 400 Ni nani, tutapata jibu kuhusu hatua ya Maghembe
 
Nasikia walimpigia Diwani aue "muvu",mkuu kainyaka akataka kuwasha vx mwenyewe,wazee wakamwambia mzee lala kutakucha tu
 
Kuna Msomali mmoja haguswi ila yeye ndiye kinara wa meno ya Tembo na ujangili mwingi umefanyika kupitia yeye
kibaya zaidi tulivyomuuliza abuu kwanin unamaliza ndovu zetu kajibu kwani mwawakatia majan
 
We upo dunia gani? Katiba ya warioba ilishasahaulika,tunasubiri katiba ya binge la katiba tuipigie kura,una haki ya kuikataa ili tuendelee na katiba hii
 
abaa nangera emoghie mweti mi niwakinya tha nguku
 
Bashe asingekuwa Team Lowassa angefaa sana kwa wizara hii!
 
Waziri huyu sijui end result yake - USHIROMBO MASHINE zinachana shehena ya magogo yaliyozuiwa ndani ya mji. Kusema kweli watendaji wake ndo wapiga deal
 
Ndio maana tumeanza na DCI
 
Tatizo ni chama cha ccm wala sio Maghembe, Magufuri atapata shida sana kwenye haya mapambano atajikuta anapambana na chama chake
Ni kweli kabisa bt aliapa kukisafisha nafikiri anaelekea huko, Kikubwa tumuombee huyu mkuu wa kaya maana kazi anayo mafisadi, majangili na wahujumu uchumu wamo ndani ya Chana chake.
 
Hizo chuki za kikabila peleka kwenu. Ng'ombe zilikuwa detained kwa kosa gani..?
Huna haja ya kuhamaki. Kutaja Watutsi ni sawa tu na kutaja jamii zingine za kifugaji kama Wamaasai au Wasukuma. kua na amani mkuu. Umeuliza ng'ombe wana kosa gani nadhani una maana hadi kukamatwa. Jibu: ng'ombe hawajaingia kwenye hifadhi wenyewe ila wamepelekwa na wachungaji. Wachungaji ndio wenye makosa. Tofauti na raia mwenye uhuru kwenda popote nchini ngombe sio raia.
 
Reactions: WFM
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…