Halafu kauli kama hii inatolewa Na waziri........nchi hii bhana.!alisema hatutaki watalii wanaogombania chips mtaani na wabongo
laana ya wajasiliamali sekta ya utalii imempiga,sasa atakionaalisema hatutaki watalii wanaogombania chips mtaani na wabongo
........Wasiwasi wangu haukutokana na location ambayo Prof Maghembe anatoka .....
Akitumbuliwa Sumaye kwenye issue za ardhi Magufuli anaonekana anaukandamiza upinzani!!
Huyo mtu kafukuzwa lini? Unaonekana mbulumundu kukimbilia kuandika usichokijua.... huyo amesimamishwa kazi.....Wadau, amani iwe kwenu.
Binafsi nilikuwa ni miongoni mwa watu ambao tulionesha wasiwasi wetu mara tu baada ya Prof Maghembe kuteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii. Wasiwasi wangu haukutokana na location ambayo Prof Maghembe anatoka bali ni kutokana na ugumu wa Wizara hiyo na uwezo wa Maghembe kukabiliana na changamoto za Wizara.
Hakika nilikuwa sahihi kumjudge negatively. Huko Kagera, Mhifadhi Mkuu wa Pori amefukuzwa
kutokana na kuwaondoa watu waliovamia pori hilo kwa kukata miti na kuingiza mifugo mingi. Mhifadhi huyo amefukuzwa kutokana na amri ya Mamlaka ya Juu ya Wizara.
Kama hiyo haitoshi, kuna operesheni inayoendelea ya kuwakamata vibompa wa Meno ya Tembo. Operesheni hiyo imeanza juzi. Hata hivyo, mamlaka ya Juu ya Wizara ya Maliasili na Utalii ikaingilia kati ili wanaohusika na biashara hiyo akiwemo jamaa mmoja anayejulikana kwa jina la Mpemba asikamatwe. Bahati nzuri Mheshimiwa Rais aliinyaka hiyo hewani na akasimama yeye mwenyewe kuongoza Operesheni hiyo. Hivi tunavyozungumza hali ni mbaya sana kwa hao jamaa ambao walidhani kuwa kwa nguvu ya pesa waliyonayo hawawezi kukamatwa.
Kwa mifano hii michache, sioni wapi ataponea Prof Maghembe. Jipu tayari limeiva na litatumbuliwa soon.
Sijuwi mnatumwa nyie . mko kama wachawi.Kwa vile mnaanza kufundisha kazi mh rais mitandaoni hivo bas sina shaka mh rais atakuprove wrong kwa kumpa suport kubwa sana wazir na maneno ya kumpamba na mifano kedekede tunayo.....
Mh RC mmoja wa hapa nchini naye kapanda cheo hivi hiv sasa sijui maghembe atakuwa WM??
Kamuonea kabisa huyo mhifadhi wa mapori maana kafata sheria.hii ya kagera imetia simanzi sana,rais anasema tufate sheria,ukifata sheria mawaziri wanakutumbua,pole mhifadhi pori.
Halafu kauli kama hii inatolewa Na waziri........nchi hii bhana.!
Mbona umejibu kwa maskitiko hivo??Wapo wengi wanaoweza kupambana
laana ya wajasiliamali sekta ya utalii imempiga,sasa atakiona