Prof. Maghembe amekalia kuti kavu

Prof. Maghembe amekalia kuti kavu

Alikwisha ongoza wizara hii na kuboronga saaana na kusababisha matatizo mengi,bahati mbaya Rais Magufuli hakuwa na kumbukumbu kumhusu Maghembe ,sasa amemjua !!!
 
Hana muda mrefu naye anaweza kuwekwa benchi kusubiri kupangiwa kazi nyingine
 
Kwanini wamkuze kazi huyo mhifadhi huko kagera.? Rais tumbuwa limeiva hilo haiwezekani waziri anashindwa kutetea maslahi ya umma .
 
HATA MIMI NAUNGA MKONO MAGHEMBE HAENDANI NA KASI YA MAGUFULI, NI MZITO HAPA MHE. RAIS ALICHEMKA KWA HUYU BWANA, NINGESHAURI RAIS AMPUMZISHE
 
Kwa vile mnaanza kufundisha kazi mh rais mitandaoni hivo bas sina shaka mh rais atakuprove wrong kwa kumpa suport kubwa sana wazir na maneno ya kumpamba na mifano kedekede tunayo.....

Mh RC mmoja wa hapa nchini naye kapanda cheo hivi hiv sasa sijui maghembe atakuwa WM??
 
Akitumbuliwa Sumaye kwenye issue za ardhi Magufuli anaonekana anaukandamiza upinzani!!

Sumaye anaingiaje hapa futeni hizo hati zake kwani mimi zinanihusu nini? Magufuri anaogelea kwenye tope kama anataka kuishinda hii vita aruhusu maoni ya katiba ya mzee Warioba ipitishwe bila hivyo kila siku atakuwa mtumbua majipu mwishowe aambukizwe hayo majipu
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Binafsi nilikuwa ni miongoni mwa watu ambao tulionesha wasiwasi wetu mara tu baada ya Prof Maghembe kuteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii. Wasiwasi wangu haukutokana na location ambayo Prof Maghembe anatoka bali ni kutokana na ugumu wa Wizara hiyo na uwezo wa Maghembe kukabiliana na changamoto za Wizara.

Hakika nilikuwa sahihi kumjudge negatively. Huko Kagera, Mhifadhi Mkuu wa Pori amefukuzwa
Huyo mtu kafukuzwa lini? Unaonekana mbulumundu kukimbilia kuandika usichokijua.... huyo amesimamishwa kazi.....
kutokana na kuwaondoa watu waliovamia pori hilo kwa kukata miti na kuingiza mifugo mingi. Mhifadhi huyo amefukuzwa kutokana na amri ya Mamlaka ya Juu ya Wizara.

Kama hiyo haitoshi, kuna operesheni inayoendelea ya kuwakamata vibompa wa Meno ya Tembo. Operesheni hiyo imeanza juzi. Hata hivyo, mamlaka ya Juu ya Wizara ya Maliasili na Utalii ikaingilia kati ili wanaohusika na biashara hiyo akiwemo jamaa mmoja anayejulikana kwa jina la Mpemba asikamatwe. Bahati nzuri Mheshimiwa Rais aliinyaka hiyo hewani na akasimama yeye mwenyewe kuongoza Operesheni hiyo. Hivi tunavyozungumza hali ni mbaya sana kwa hao jamaa ambao walidhani kuwa kwa nguvu ya pesa waliyonayo hawawezi kukamatwa.

Kwa mifano hii michache, sioni wapi ataponea Prof Maghembe. Jipu tayari limeiva na litatumbuliwa soon.

Naona safari hii ampe Leonidas Gama au siyo?
 
Kwa vile mnaanza kufundisha kazi mh rais mitandaoni hivo bas sina shaka mh rais atakuprove wrong kwa kumpa suport kubwa sana wazir na maneno ya kumpamba na mifano kedekede tunayo.....

Mh RC mmoja wa hapa nchini naye kapanda cheo hivi hiv sasa sijui maghembe atakuwa WM??
Sijuwi mnatumwa nyie . mko kama wachawi.
 
With the President we have, ile katiba ya Warioba ni muhimu sana....
 
Huyu Magembe anatetea wavamizi wa mapori atumbuliwe tu hamna namna
 
Huyu Mh. Wampumzishe tu! Mh. Rais tunakuomba uteue waziri atakayeitendea haki hii wizara!
 
Back
Top Bottom