Magu hayuko makini katika uteuzi wake na haya ndio matokeo yake.
Historia ya Maghembe alikuwa haijui?Huyu si alikuwa mmoja wa mawaziri mizigo enzi za Kikwete?Haya alikuwa hayajui wakati anampa uwaziri?
Magu nae ni tatizo tena kubwa tu
Nilishitushwa sana nilipoona kwenye tv Rais anampa pole Katibu mkuu mali asili kwamba kuna watu walijaribu kumzuia asitekeleze majukumu yake ya kuwakamata majangiri.Wadau, amani iwe kwenu.
Binafsi nilikuwa ni miongoni mwa watu ambao tulionesha wasiwasi wetu mara tu baada ya Prof Maghembe kuteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii. Wasiwasi wangu haukutokana na location ambayo Prof Maghembe anatoka bali ni kutokana na ugumu wa Wizara hiyo na uwezo wa Maghembe kukabiliana na changamoto za Wizara.
Hakika nilikuwa sahihi kumjudge negatively. Huko Kagera, Mhifadhi Mkuu wa Pori amefukuzwa kazi kutokana na kuwaondoa watu waliovamia pori hilo kwa kukata miti na kuingiza mifugo mingi. Mhifadhi huyo amefukuzwa kutokana na amri ya Mamlaka ya Juu ya Wizara.
Kama hiyo haitoshi, kuna operesheni inayoendelea ya kuwakamata vibompa wa Meno ya Tembo. Operesheni hiyo imeanza juzi. Hata hivyo, mamlaka ya Juu ya Wizara ya Maliasili na Utalii ikaingilia kati ili wanaohusika na biashara hiyo akiwemo jamaa mmoja anayejulikana kwa jina la Mpemba asikamatwe. Bahati nzuri Mheshimiwa Rais aliinyaka hiyo hewani na akasimama yeye mwenyewe kuongoza Operesheni hiyo. Hivi tunavyozungumza hali ni mbaya sana kwa hao jamaa ambao walidhani kuwa kwa nguvu ya pesa waliyonayo hawawezi kukamatwa.
Kwa mifano hii michache, sioni wapi ataponea Prof Maghembe. Jipu tayari limeiva na litatumbuliwa soon.
Sijui kwanini maprofesa wengi wanafanya mambo ya ajabu kuliko hata division five ona lipumba.profesa huyo jaman!!.. ... maoni yangu mtu anpokua na level ya uprofesa bac asipewe mamlaka yoyote yale...,,
source. elimu , cuf, maliasil.....
Kwa hiyo kama ulionyesha wasiwasi ktk uteuzi wa prof maghembe Mbona ulikuwa kimya ukawa unashabikia uteuzi wa mtukufu. Si maghembe tu kuna wengine kati ya wale waliitumbuliwa kwenye sakata la escrow, domo kaya, yule wa viwanda anayewaambia wanafunzi waliokosa mikopo ya elimu ya juu wajenge viwanda vidogovidogoWadau, amani iwe kwenu.
Binafsi nilikuwa ni miongoni mwa watu ambao tulionesha wasiwasi wetu mara tu baada ya Prof Maghembe kuteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii. Wasiwasi wangu haukutokana na location ambayo Prof Maghembe anatoka bali ni kutokana na ugumu wa Wizara hiyo na uwezo wa Maghembe kukabiliana na changamoto za Wizara.
Hakika nilikuwa sahihi kumjudge negatively. Huko Kagera, Mhifadhi Mkuu wa Pori amefukuzwa kazi kutokana na kuwaondoa watu waliovamia pori hilo kwa kukata miti na kuingiza mifugo mingi. Mhifadhi huyo amefukuzwa kutokana na amri ya Mamlaka ya Juu ya Wizara.
Kama hiyo haitoshi, kuna operesheni inayoendelea ya kuwakamata vibompa wa Meno ya Tembo. Operesheni hiyo imeanza juzi. Hata hivyo, mamlaka ya Juu ya Wizara ya Maliasili na Utalii ikaingilia kati ili wanaohusika na biashara hiyo akiwemo jamaa mmoja anayejulikana kwa jina la Mpemba asikamatwe. Bahati nzuri Mheshimiwa Rais aliinyaka hiyo hewani na akasimama yeye mwenyewe kuongoza Operesheni hiyo. Hivi tunavyozungumza hali ni mbaya sana kwa hao jamaa ambao walidhani kuwa kwa nguvu ya pesa waliyonayo hawawezi kukamatwa.
Kwa mifano hii michache, sioni wapi ataponea Prof Maghembe. Jipu tayari limeiva na litatumbuliwa soon.
Hiyo wizara Kagasheki aliimudu sana
Kama ingekuwa ni wewe ungefanyaje? Maana katika safu zake alikuwa amebaki yeye. Najua asingemteua mgezungumzia uteuzi wake umewatenga kanda ya kaskazini. Haya bora liende. Leo tena mnaanza kelele. Kwakuwa rais ni msikivu Anaweza kulichukua. Ila nimesikitika kuwasimamisha maafisa wanaosimamia sheria
usimkumbushe mzee wa watu misukosuko alopata mpaka akajiona Tz sio nchi yakeHiyo wizara Kagasheki aliimudu sana
Hakuna,, tatizo siyo Maghembe bali ni mamlaka ya uteuzi ndo ina matatizo. Yeye mwenyewe si ndo alitamba kwamba yuko makini kwenye uteuzi? Mbona mambo yanazidi kuharibika tu!! Ila ngoja wamtumbue akalalamike tena huko nje na kuanza kumponda mteuzi wake kwamba hana uwezo!! Yetu macho wacha tushuhudie match kubwa hapa!!Hakika Mkuu. Kuna watu wanaendekeza maslahi yao binafsi. Wakitumbuliwa eti watu wanajitokeza kuwatetea