Prof. Lipumba ndani ya WAPO FM 98.1

Prof. Lipumba ndani ya WAPO FM 98.1

Kiby

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2009
Posts
6,932
Reaction score
4,697
Yupo sasa hivi live akianza na historia yake ikiwa ni pamoja na ukweli wa uraia wake. Mfuatilie fm 98.1
Wakuu namsikiliza Prof. Lipumba sasa hivi kupitia WAPO Radio. Anasema alikuwa mwanachama wa TANU/CCM na hakuwahi kurudisha kadi yake alichofanya ni kutolipia Ada!

WAPO RADIO FM 98.0 - Dar es Salaam - Listen Online

My Take: Inawezekana Viongozi wote wa vyama vya upinzani wana kadi za Chama Tawala. Kwamba kwa sasa wao ni kama volkano iliyolala kwa kuwa tu hawalipii kadi. Hivyo wakisha lipia siku moja basi wanakuwa volkano hai!
 
Wakuu namsikiliza Prof. Lipumba sasa hivi kupitia WAPO Radio. Anasema alikuwa mwanachama wa TANU/CCM na hakuwahi kurudisha kadi yake alichofanya ni kutolipia Ada!

WAPO RADIO FM 98.0 - Dar es Salaam - Listen Online

My Take: Inawezekana Viongozi wote wa vyama vya upinzani wana kadi za Chama Tawala. Kwamba kwa sasa wao ni kama volkano iliyolala kwa kuwa tu hawalipii kadi. Hivyo wakisha lipia siku moja basi wanakuwa volkano hai!
 
Prof. Anakiri kuwa anayo kadi ya cCCM na hakuwahi kuirudisha.
Katika uchaguzi prof anadai kuwa CUF ndio chama kinachoongoza kwa kuchakachuliwa.
 
Acha Ujinga, mbona hata mimi ninayo hiyo kadi ya CCM lakini si ilipii. Nini cha ajabu sasa.

Katiba inasema usipolipia kadi kwa muda fulani umejifuta uanachama.
 
prof amejaribu saaaana na ameshindwa asepe amuachia yahee na chama cha upemba aje udsm apige chalk
 
Ndiko walikotoka mkuu,
kwani nyie zile nyumba za msonge mlizibomoa? Si unaacha tu kuifanyia matengenezo mwisho inaanguka.
 
Kama unaweza msikilize Mh. Lipumba live Wapo radio mda huu.
 
Kadi bila kuilipia haimaanishi wewe bado mfuasi, mbona sisi wengine
tumetunza kadi zetu za utotoni za kuendea kliniki na haimaanishi kuwa
bado tunakwenda kliniki kupimwa uzito. Hiyo ni kumbukumbu tu...
 
Acha Ujinga, mbona hata mimi ninayo hiyo kadi ya CCM lakini si ilipii. Nini cha ajabu sasa.

Katiba inasema usipolipia kadi kwa muda fulani umejifuta uanachama.

Mkuu wewe mjanja. Tatizo ni kwamba viongozi wao wanakuwa na kadi zao lakini wafuasi wao wanazirudisha na wao kuzichoma moto hadharani! Hapo ndipo penye shida. Charity begins at home, kwa nini wao wasichane za kwao wanabaki kuzikumbatia?
 
Kadi bila kuilipia haimaanishi wewe bado mfuasi, mbona sisi wengine
tumetunza kadi zetu za utotoni za kuendea kliniki na haimaanishi kuwa
bado tunakwenda kliniki kupimwa uzito
. Hiyo ni kumbukumbu tu...

Wao wakitaka kurudi wataambiwa kulipia tu ada kwa miaka ambayo hawakulipa na wataendelea ku retain namba ya kadi ns mwaka wa kujiunga. Ila ukichana ya kwako itabidi ukaombe upya na kupewa kadi mpya na mwaka mpya! Kama ni kumbukumbu basi wasingekuwa wanarubuni wanaojiunga na vyama vyao kuchoma kadi zao, kwani wao hawataki hizo kumbukumbu?
 
Wakuu namsikiliza Prof. Lipumba sasa hivi kupitia WAPO Radio. Anasema alikuwa mwanachama wa TANU/CCM na hakuwahi kurudisha kadi yake alichofanya ni kutolipia Ada!

WAPO RADIO FM 98.0 - Dar es Salaam - Listen Online

My Take: Inawezekana Viongozi wote wa vyama vya upinzani wana kadi za Chama Tawala. Kwamba kwa sasa wao ni kama volkano iliyolala kwa kuwa tu hawalipii kadi. Hivyo wakisha lipia siku moja basi wanakuwa volkano hai!

Hahahaa eti wakishalipia tuu wanakua volcano hai..
 
Mkuu wewe mjanja. Tatizo ni kwamba viongozi wao wanakuwa na kadi zao lakini wafuasi wao wanazirudisha na wao kuzichoma moto hadharani! Hapo ndipo penye shida. Charity begins at home, kwa nini wao wasichane za kwao wanabaki kuzikumbatia?
mkuu hata mimi ninayo kadi ya CCM na ntamkabidhi mwanangu ajue nilikotoka!
 
Prof. Lipumba ana mambo! Ati anasema wanaobeza muafaka wanaongea kama wametoka disco!
 
Prof. Lipumba ana mambo! Ati anasema wanaobeza muafaka wanaongea kama wametoka disco!

Mkuu Kimbunga,
Kuna tofauti kubwa kumiliki kadi kati ya Prof. Lipumba na Dr.Slaa.
 
Last edited by a moderator:
mkuu wewe mjanja. Tatizo ni kwamba viongozi wao wanakuwa na kadi zao lakini wafuasi wao wanazirudisha na wao kuzichoma moto hadharani! Hapo ndipo penye shida. Charity begins at home, kwa nini wao wasichane za kwao wanabaki kuzikumbatia?

kwani wanalazimishwa kuzirudisha?
 
bishp .acha utani mbona za wengine mnazichoma moto na kujisifu zenu za kumbkumbu.af una linganisha kadi ya chama na klinik .unalinganisha kuzaliwa na kujiunga na kujiunga na cha.muuli mama yatu kama bado mungu kamjalia uhai.mtazamo wangu tu.
 
bishp .acha utani mbona za wengine mnazichoma moto na kujisifu zenu za kumbkumbu.af una linganisha kadi ya chama na klinik .unalinganisha kuzaliwa na kujiunga na kujiunga na cha.muuli mama yatu kama bado mungu kamjalia uhai.mtazamo wangu tu.

Mh! Nahisi ulinikusudia mimi, lakini mbona jina langu umeliandika kihuni?
Hata hivyo, kulinganisha kadi ya chama na ya kliniki sioni tatizo kwa kuwa
zote hizi kwangu ni karatasi tu. Labda kwa kuwa sijawahi kuwa mwanachama
au kumiliki kadi ya chama chochote cha siasa kwa hiyo sijui umuhimu wake...
 
Mkuu wewe mjanja. Tatizo ni kwamba viongozi wao wanakuwa na kadi zao lakini wafuasi wao wanazirudisha na wao kuzichoma moto hadharani! Hapo ndipo penye shida. Charity begins at home, kwa nini wao wasichane za kwao wanabaki kuzikumbatia?
Duuuu,CCM mnaogopa sana watu wanaorudisha kadi mnajua warudisha kadi wengi wao ni ccm,na mtu akirudisha kadi ya ccm siyo rahisi kuturn back tena ccm,tutaendelea kuwahimiza watu wazirudishe hizo kadi kwa wingi na kuzichoma.
 
Back
Top Bottom