Mkuu Kimbunga,
Kuna tofauti kubwa kumiliki kadi kati ya Prof. Lipumba na Dr.Slaa.
Tofauti kubwa iliyopo ni kwamba Prof Lipumba tayari amefunga ndoa (ameolewa) na CCM. Ndiyo maana hutamsikia Nape Nauye (CCM) akimsema mke MUPENZI
Mkuu Kimbunga,
Kuna tofauti kubwa kumiliki kadi kati ya Prof. Lipumba na Dr.Slaa.
Tofauti kubwa iliyopo ni kwamba Prof Lipumba tayari amefunga ndoa (ameolewa) na CCM. Ndiyo maana hutamsikia Nape Nauye (CCM) akimsema mke MUPENZI