Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Nasema akipata kura zaidi ya 2,000 Mkuu nitakusaidia kunya kwa 3km zaidi😂😂Anasindikiza wagombea huyu mzee, akipata kura laki 1 nitakunya njia nzima kwa umbali wa 2km
Nasema akipata kura zaidi ya 2,000 Mkuu nitakusaidia kunya kwa 3km zaidi😂😂Anasindikiza wagombea huyu mzee, akipata kura laki 1 nitakunya njia nzima kwa umbali wa 2km
Lipumba kaimaliza cuf kabisa dadeeeki sijui hata kama atapata kura 500000.
Atapokelewa na watu wa chama pendwa waliovalishwa mavazi ya haki sawaNasubiri kuona mapokezi yake Dar,Unguja na Pemba
Ndukiiiii
Rais ni Magufuli, wengine wote ni wasindikizaji tu.Anasindikiza wagombea huyu mzee, akipata kura laki 1 nitakunya njia nzima kwa umbali wa 2km
Utamchagua wewe na familia yako, mimi siwezi kufanya huo ujingaRais ni Magufuli, wengine wote ni wasindikizaji tu.
Lipumba ni level ya ccmHana tofauti na CHADEMA
yupo kumbe huyu??Mgombea wa Urais kupitia chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba na mgombea mwenza Hamida Abdallah Huweishi, leo Agosti 11, 2020, wamechukua fomu zakugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi za NEC, zilizopo Dodoma.
View attachment 1533853
Na mimi naengeza 0.1km ya kwangu.Nasema akipata kura zaidi ya 2,000 Mkuu nitakusaidia kunya kwa 3km zaidi😂😂
Nasubiri kuona mapokezi yake Dar,Unguja na Pemba🤣🤣
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️