Dr. Ngwazi
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 723
- 289
Mkuu nipe namba ya sm ya huyo rafiki yake na Lipumba kuna kitu nataka kumshauri.
Hakuna cha rafiki yake Lipumba, wala namba ya rafiki yake, hii ni habari ya kutunga tu watu wapate cha kujadili
Mkuu nipe namba ya sm ya huyo rafiki yake na Lipumba kuna kitu nataka kumshauri.
Ivi huyu Propesa mbona anazingua sana hivi.
Halafu watu wakorofi mara nyingi wanaishi miaka kibao aisee
Awafukuze uanachama aone kama hatakufa njaa maana haitapatikana hata senti kipande ya ruzuku, fala sana huyu mzee.
Hilo ndio litakuwa jambo la kiume then uitishwe uchaguzi halafu aone kama atashinda bila support ya ukawa!Yaani CUF hadi 2020 kikipata japo jimbo moja bara watakuwa na bahati ya mtende.Nadhani akiwafukuza ndiyo itakuwa pouwa zaidi
Ndio yule yule aliyetoka bungeni na kuwaita wabunge wa CCM interahamwe..Jamani hivi huyu Profesa ndo huyu tunayemfaham ama mwingine?Huyu mzee kiukweli anatia hasira sana basi tu
Hilo ndio litakuwa jambo la kiume then uitishwe uchaguzi halafu aone kama atashinda bila support ya ukawa!Yaani CUF hadi 2020 kikipata japo jimbo moja bara watakuwa na bahati ya mtende.
Mimi sina kadi ya chama chochote cha siasa.Kwani nyie chadema kinawauma nini? Ugomvi wa ndugu nyie mnachagua upande!!
Kaweka history,naona CUF ya Maalim Seif na wabunge wake kufutwa.Ndio ni huyuhuyu ambaye hapo zamani CUF walimsifia sana.
Kuwa,
Ni msomi kuliko Watanzania wote.
Anafaa kufanya kazi Benki ya Dunia.
Raisi Museveni wa Uganda anamtegemea ktk kuimarisha uchumi wa Uganda.
Anafaa kuwa Raisi wa Tanzania.
Ndiye pekee anayeweza kuiinua nchi ya Tanzania kiuchumi na kidemokrasia.
Ndiye pekee mtetezi wa haki sawa kwa wote
nk.
Ni huyuhuyu Prof. Lipumba.
Na CUF ni hii hii.
Achana naye huyo mkuu. Sie huku tunasubiri SULTANI aapishwe "hivi karibuni"Habari wana jamvi.
Mnyetishaji wa karibu sana na huyu jamaa amenieleza kuwa huyu Bwana anakusudia kuwaandikia barua za onyo kali wabunge wote wa CUF waliotoka nje ya Bunge leo wakiungana na wenzao wa UKAWA kwa kile walichodai kutowatambua wabunge wa Profesa wanaoapishwa leo hii.
Hii habari ni kweli, alienipa habari hizi ni mtu wa karibu sana na Bwana yule. Taarifa zaidi zinasema Bwana yule amekuwa Trained toka pande zile za Ufukwe wa Bahari pembeni ya Soko kuu la Samaki. Ni lazima ahakikishe CUF inakufa kabla ya 2020.
Get tunned!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipate shida mkuu. Seif si katwambia ataapishwa "hivi karibuni"?Jamani hivi huyu Profesa ndo huyu tunayemfaham ama mwingine?Huyu mzee kiukweli anatia hasira sana basi tu
kureconcile na jamaa ni sawa na kutafta suluhu na aliyezini na mkeoKwa navyouona Mchezo ni wazi kua Li Pumba ndio kashika mpini, na Maalim kwenye makali. kadiri wanavyovutana basi Maalim ndio anaumia zaidi. Sababu ni kua Vyombo vyote vya dola pamoja na Bunge, Mahakama, Msajili, NEC wako nyuma ya Li Pumba.
Maalim afanye tu maamuzi magumu ya ku-reconcile na Li Pumba, otherwise aondoke na wabunge wake kuhamia CDM au kuanzisha chama kingne. Ni wazi kua kutafanyika uchaguzi mwengine ksha wananchi ndio watakaoamua