Tetesi: Prof. Lipumba kuwaandikia barua ya onyo wabunge wa CUF waliotoka nje Bungeni

GJHariohay

JF-Expert Member
Oct 24, 2013
1,041
1,160
Habari wana jamvi.

Mnyetishaji wa karibu sana na huyu jamaa amenieleza kuwa huyu Bwana anakusudia kuwaandikia barua za onyo kali wabunge wote wa CUF waliotoka nje ya Bunge leo wakiungana na wenzao wa UKAWA kwa kile walichodai kutowatambua wabunge wa Profesa wanaoapishwa leo hii.

Hii habari ni kweli, alienipa habari hizi ni mtu wa karibu sana na Bwana yule. Taarifa zaidi zinasema Bwana yule amekuwa Trained toka pande zile za Ufukwe wa Bahari pembeni ya Soko kuu la Samaki. Ni lazima ahakikishe CUF inakufa kabla ya 2020.

Get tunned!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana jamvi.

Mnyetishaji wa karibu sana na huyu jamaa amenieleza kuwa huyu Bwana anakusudia kuwaandikia barua za onyo kali wabunge wote wa CUF waliotoka nje ya Bunge leo wakiungana na wenzao wa UKAWA kwa kile walichodai kutowatambua wabunge wa Profesa wanaoapishwa leo hii.

Hii habari ni kweli, alienipa habari hizi ni mtu wa karibu sana na Bwana yule. Taarifa zaidi zinasema Bwana yule amekuwa Trained toka pande zile za Ufukwe wa Bahari pembeni ya Soko kuu la Samaki. Ni lazima ahakikishe CUF inakufa kabla ya 2020.

Get tunned!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Nadhani akiwafukuza ndiyo itakuwa pouwa zaidi
 
Habari wana jamvi.

Mnyetishaji wa karibu sana na huyu jamaa amenieleza kuwa huyu Bwana anakusudia kuwaandikia barua za onyo kali wabunge wote wa CUF waliotoka nje ya Bunge leo wakiungana na wenzao wa UKAWA kwa kile walichodai kutowatambua wabunge wa Profesa wanaoapishwa leo hii.

Hii habari ni kweli, alienipa habari hizi ni mtu wa karibu sana na Bwana yule. Taarifa zaidi zinasema Bwana yule amekuwa Trained toka pande zile za Ufukwe wa Bahari pembeni ya Soko kuu la Samaki. Ni lazima ahakikishe CUF inakufa kabla ya 2020.

Get tunned!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
penye msiba wa masikini na tajiri yupo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ivi huyu Propesa mbona anazingua sana hivi.

Halafu watu wakorofi mara nyingi wanaishi miaka kibao aisee
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Habari wana jamvi.

Mnyetishaji wa karibu sana na huyu jamaa amenieleza kuwa huyu Bwana anakusudia kuwaandikia barua za onyo kali wabunge wote wa CUF waliotoka nje ya Bunge leo wakiungana na wenzao wa UKAWA kwa kile walichodai kutowatambua wabunge wa Profesa wanaoapishwa leo hii.

Hii habari ni kweli, alienipa habari hizi ni mtu wa karibu sana na Bwana yule. Taarifa zaidi zinasema Bwana yule amekuwa Trained toka pande zile za Ufukwe wa Bahari pembeni ya Soko kuu la Samaki. Ni lazima ahakikishe CUF inakufa kabla ya 2020.

Get tunned!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa navyouona Mchezo ni wazi kua Li Pumba ndio kashika mpini, na Maalim kwenye makali. kadiri wanavyovutana basi Maalim ndio anaumia zaidi. Sababu ni kua Vyombo vyote vya dola pamoja na Bunge, Mahakama, Msajili, NEC wako nyuma ya Li Pumba.

Maalim afanye tu maamuzi magumu ya ku-reconcile na Li Pumba, otherwise aondoke na wabunge wake kuhamia CDM au kuanzisha chama kingne. Ni wazi kua kutafanyika uchaguzi mwengine ksha wananchi ndio watakaoamua
 
Kwa navyouona Mchezo ni wazi kua Li Pumba ndio kashika mpini, na Maalim kwenye makali. kadiri wanavyovutana basi Maalim ndio anaumia zaidi. Sababu ni kua Vyombo vyote vya dola pamoja na Bunge, Mahakama, Msajili, NEC wako nyuma ya Li Pumba.

Maalim afanye tu maamuzi magumu ya ku-reconcile na Li Pumba, otherwise aondoke na wabunge wake kuhamia CDM au kuanzisha chama kingne. Ni wazi kua kutafanyika uchaguzi mwengine ksha wananchi ndio watakaoamua
Unafikiri ni kwanini wabunge wa Cuf wametoka, hawamwogopi mshika mpini?
 
Jamani hivi huyu Profesa ndo huyu tunayemfaham ama mwingine?Huyu mzee kiukweli anatia hasira sana basi tu
Ndio ni huyuhuyu ambaye hapo zamani CUF walimsifia sana.
Kuwa,
Ni msomi kuliko Watanzania wote.
Anafaa kufanya kazi Benki ya Dunia.
Raisi Museveni wa Uganda anamtegemea ktk kuimarisha uchumi wa Uganda.
Anafaa kuwa Raisi wa Tanzania.
Ndiye pekee anayeweza kuiinua nchi ya Tanzania kiuchumi na kidemokrasia.
Ndiye pekee mtetezi wa haki sawa kwa wote
nk.
Ni huyuhuyu Prof. Lipumba.
Na CUF ni hii hii.
 
Hao nao watapoteza ubunge kirahisi rahisi tu.....nimemsikia Ndugai asubuhi akiwakejeli wanaomwita yeye dhaifu...amesema sasa watauona udhaifu wake vizuri
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Habari wana jamvi.

Mnyetishaji wa karibu sana na huyu jamaa amenieleza kuwa huyu Bwana anakusudia kuwaandikia barua za onyo kali wabunge wote wa CUF waliotoka nje ya Bunge leo wakiungana na wenzao wa UKAWA kwa kile walichodai kutowatambua wabunge wa Profesa wanaoapishwa leo hii.

Hii habari ni kweli, alienipa habari hizi ni mtu wa karibu sana na Bwana yule. Taarifa zaidi zinasema Bwana yule amekuwa Trained toka pande zile za Ufukwe wa Bahari pembeni ya Soko kuu la Samaki. Ni lazima ahakikishe CUF inakufa kabla ya 2020.

Get tunned!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nipe namba ya sm ya huyo rafiki yake na Lipumba kuna kitu nataka kumshauri.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom