Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Mwanaharakati Che Guevara alikua na salamu yake akisema" peoplesssssss........"
Baada ya kuwasalimu hapo ki-che guevara basi leo nawasanua na iwe kama elimu kwenu kuwa wabunge wale waliokua upinzani na waliokua na maneno meengi sana, jazba, ngebe na ashki kumbe nje ya ubunge ni weupe peeeh.
Ipo hivi
- Sasa hivi yule mbunge wa upinzani aliyewahi kuwa mbunge kwenye jiji lililopo nyanda za juu kusini. Baada ya kukosa ubunge mambo yalikua mabaya upande wake na hata biashara ya hotel aliyokua ameanzisha haikwenda vizuri.
Hapa na pale mambo yakawa magumu, akaomba wizara ya afya afanye kazi ya kutembea mtaa kwa mtaa kuhamasisha watu wapate chanjo ya corona, Malipo.
- mbunge ambae alisema anaongoza watu na wanyama, huyu kwanza mambo yalikua magumu sana tena ni miezi kadhaa tu tokea apokee kiinua mgongo cha ubunge(sijui alifanyia nn hii pesa ikaisha). Hali ikazidi kuwa mbaya kiuchumi Akaenda kuomba kazi ya kuwa mtangazaji kituo kimoja cha radio maarufu sana hapa jiji la lawama. Akapata kazi ila viongozi wa chama na washkaji zake wakaja juu kuwa atadharaulika na kujishushia hadhi(Sasa hadhi gani bila pesa). Akaachana na hiyo kazi kabla ya kuanza japo alishatambulishwa. Mshahara ilikua apewe 1m. Imagine kutoka 12m hadi 1m tena akipewa probation
- Mbunge aliyekua mkoa ambao watu wanasema wanakula mbwa huko, huyu ni kama alichanganyikiwa kabisa maana alianza na mguu mbaya. Baada ya kukosa ubunge akawa anapita na michango ya chama chake kwenye mkoa huo tena michango ya kina mama wa chama. Huko wakamshtukia Ila yakaisha, mambo yakawa magumu zaidi akaongea na mmoja wa viongozi wa sasa apewe hata ubalozi wa masuala ya utalii kwa kuwa anasema analifahamu eneo hilo la utalii vizuri. Kakubaliwa?? , Au je alikakataliwa?
- mbunge kutoka lile jiji la wagumu, wazee wa hiphop. Yeye baada ya kuona mambo hayakuwa sawa akatengeneza drama akakimbia kama mkimbizi. Na ndio alikua anawaongopea watu kua alikua na biashara nyingi. Biashara karibu zote zilikua mufilisi, alikua anadaiwa kila kona na ubunge ndio uliweza kumfanya kulipa lipa kidogo. Sasa ubunge akakosa, akaona isiwe tabu akatia mpira kwapani. Atakubali kurudi huku ikiwa huko alipo anakula na kulala bure? Sijui
- Mbunge kutoka mkoa wa kanda maalum, kule mpakani kabisa. Huyu mwanzo alionekana kuwa mbishi anaweza kumudu maisha yaleyale nje ya ubunge. Weeeh, mambo yakaanza kumbadilikia, kila akiangalia huku na huku haoni mwanga. Wakamshauri pesa aliyopata awekeze kwenye kilimo, kilimo gani? Kumbe kilimo cha parachichi. Sasa hadi parachichi uvume ni miaka mitatu, itakuwaje hapo katikati?
Na je huko shambani mambo yanamuendea vizuri? Ntawajuza siku nikiamua au nikiona analeta ngebe
Swali linaweza kuwa si wahamie tu huko waunge juhudi wapewe nafasi?
Jibu; Chama tawala kwa Sasa tumekubaliana kama hujapita chipukizi hupati nafasi. Kwani wao walipita chipukizi?
Mwisho
Nawapongeza sana wale wabunge wanawake waliyajua yote hayo wakakubali lawama kuliko fedheha.
Baada ya kuwasalimu hapo ki-che guevara basi leo nawasanua na iwe kama elimu kwenu kuwa wabunge wale waliokua upinzani na waliokua na maneno meengi sana, jazba, ngebe na ashki kumbe nje ya ubunge ni weupe peeeh.
Ipo hivi
- Sasa hivi yule mbunge wa upinzani aliyewahi kuwa mbunge kwenye jiji lililopo nyanda za juu kusini. Baada ya kukosa ubunge mambo yalikua mabaya upande wake na hata biashara ya hotel aliyokua ameanzisha haikwenda vizuri.
Hapa na pale mambo yakawa magumu, akaomba wizara ya afya afanye kazi ya kutembea mtaa kwa mtaa kuhamasisha watu wapate chanjo ya corona, Malipo.
- mbunge ambae alisema anaongoza watu na wanyama, huyu kwanza mambo yalikua magumu sana tena ni miezi kadhaa tu tokea apokee kiinua mgongo cha ubunge(sijui alifanyia nn hii pesa ikaisha). Hali ikazidi kuwa mbaya kiuchumi Akaenda kuomba kazi ya kuwa mtangazaji kituo kimoja cha radio maarufu sana hapa jiji la lawama. Akapata kazi ila viongozi wa chama na washkaji zake wakaja juu kuwa atadharaulika na kujishushia hadhi(Sasa hadhi gani bila pesa). Akaachana na hiyo kazi kabla ya kuanza japo alishatambulishwa. Mshahara ilikua apewe 1m. Imagine kutoka 12m hadi 1m tena akipewa probation
- Mbunge aliyekua mkoa ambao watu wanasema wanakula mbwa huko, huyu ni kama alichanganyikiwa kabisa maana alianza na mguu mbaya. Baada ya kukosa ubunge akawa anapita na michango ya chama chake kwenye mkoa huo tena michango ya kina mama wa chama. Huko wakamshtukia Ila yakaisha, mambo yakawa magumu zaidi akaongea na mmoja wa viongozi wa sasa apewe hata ubalozi wa masuala ya utalii kwa kuwa anasema analifahamu eneo hilo la utalii vizuri. Kakubaliwa?? , Au je alikakataliwa?
- mbunge kutoka lile jiji la wagumu, wazee wa hiphop. Yeye baada ya kuona mambo hayakuwa sawa akatengeneza drama akakimbia kama mkimbizi. Na ndio alikua anawaongopea watu kua alikua na biashara nyingi. Biashara karibu zote zilikua mufilisi, alikua anadaiwa kila kona na ubunge ndio uliweza kumfanya kulipa lipa kidogo. Sasa ubunge akakosa, akaona isiwe tabu akatia mpira kwapani. Atakubali kurudi huku ikiwa huko alipo anakula na kulala bure? Sijui
- Mbunge kutoka mkoa wa kanda maalum, kule mpakani kabisa. Huyu mwanzo alionekana kuwa mbishi anaweza kumudu maisha yaleyale nje ya ubunge. Weeeh, mambo yakaanza kumbadilikia, kila akiangalia huku na huku haoni mwanga. Wakamshauri pesa aliyopata awekeze kwenye kilimo, kilimo gani? Kumbe kilimo cha parachichi. Sasa hadi parachichi uvume ni miaka mitatu, itakuwaje hapo katikati?
Na je huko shambani mambo yanamuendea vizuri? Ntawajuza siku nikiamua au nikiona analeta ngebe
Swali linaweza kuwa si wahamie tu huko waunge juhudi wapewe nafasi?
Jibu; Chama tawala kwa Sasa tumekubaliana kama hujapita chipukizi hupati nafasi. Kwani wao walipita chipukizi?
Mwisho
Nawapongeza sana wale wabunge wanawake waliyajua yote hayo wakakubali lawama kuliko fedheha.