Prof. Lipumba akerwa na Zitto Mtwara

Prof. Lipumba akerwa na Zitto Mtwara

Mtahangaika sana kumchafua zitto na mada za kijinga zisizokuwa na kichwa wala miguu kama hii lakin zzk anangozi ngumu na kamwe hamumuwezi Zitto.Mada kama hizi pelekeni kwa vilaza wenzenu c humu.
Prof. Lipumba akerwa na Zitto Mtwara.
Prof. Lipumba ambaye ni wenyekiti wa chama cha wananchi Cuf amekerwa na tabia isiyo ya kinidhamu wala staha iliyofanywa na mbunge wa kigoma kasikazini Bwana Zitto Kabwe,

Katika kikao cha dharula alichokiitisha usiku ule wa mkutano baada ya kumaliza kuhutubia, alitufokea viongozi wa Mtwara kuhusu alichokiona katika mkutano, alisema aliwaona wanachama wa ACT-Tanzania wakiwa na mavazi yao na bendera zao akahoji kwanini tuliwaalika wakaja wakiwa na bendera zao na kuzichomeka hewani?

Mmoja wetu aliinuka na kujibu vizuri kuwa wale vijana tuliwakamata baada ya kuwaona na bendera hizo katika viwanja vyetu, tulipotaka kuwapeleka polisi mmoja wao aliyejitambulisha kwa jina la Kaila alisema yeye ni afsa habari wa chama chao taifa,

Akadai kuwa walialikwa na zitto kuhudhuria mkutano ule,na wamekuja kwa gari lake alilowapatia waje nalo, ‘’Mh Mwenyekiti tunakuomba radhi sana kwa uliyoyaona pale uwanjani, wale vijana hatukuwaita sie, aliyewaleta toka dar es salaam ni swahiba wako uliyeongozana nae Zitto Kabwe, hata gari walilokuja nalo ni lake kawapatia’’

Lakini pia prof. lipumba alidai kuwa ‘’zitto hana heshima hata kidogo kwa sababu tumemwalika sisi katika jukwaa la chama chetu, amekosa jukwaa la kuhutubia siku nyingi, leo tumempa fadhila lakini ametufanyia vitimbi, amekodi mpaka waandishi wa habri wake bila hata kuniambia, kumbe hata wafuasi wake amewagharamikia waje wakiwa na bendera na mavazi ya chama kingine katika mkutano wetu”?alihoji Prof. Lipumba

‘Mbona asitumie jukwaa la hicho chama cha wapambe wake? ikiwa ana unafiki wa namana hii basi hafai kupewa hifadhi kabisa’ alimalizia Prof. Lipumba

Tarehe 31/12/2014 chama cha wananchi cuf kilifanya mkutano wake katika viwanja vya mashujaa hapa mjini Mtwara ambapo zitto kabwe alikuwa mgeni mwalikwa, pia watu wanaodaiwa kuwa wafuasi wa zitto walivamia mkutano huo wakiwa na bendera na mashati yenye chama kingine ambacho hakikuwa na makubaliano ya kufanya mkutano pamoja na cuf..
 
Acha uongo mkuu, CUF hawahitaji msaada wanapokuwa mtwara ile ni ngome yao ni sawa Na Ccm Dodoma au Cdm Arusha moshi, mwanza na shinyanga.Professor alitaka kuleta suluhu ndani ya upinzani kwa kuutambua ukweli kwamba zitto amekuwa Yatima kisiasa.Kizuri kilichojitokeza ni kwamba prof .ameupata ukweli wa kwa nini CDM hawataki kusikia kitu Zitto.prof sasa amepata ile eye witnessed evidence

nani kakwambia ukiwa na ngome huimarishi ngome ili iwe imara zaidi?
wewe unadhani shughuli pevu aliyoifanya Zitto Bungeni katika suala la Escrow mbele ya umma ni mtaji mdogo kisiasa?

Lipumba Mjanja alitaka kutumia nyota ya dogo kuimarisha ngome yake.
 
Hivi watu kama nyie huwa mnakula chakula gani kinawadhoofisha uwezo wa kufikiri kabla yakuropoka kwa kila jambo mnaloambiwa?
Kwanini? Huwezi kufukuzwa Chadema ukakubalika mahali pengine popote. Kwa uvumilivu wa Chadema, kwa malezi bora ya Chadema kisiasa hususan kwa vijana; labda mwanasiasa ahame mwenyewe kistaarabu ila ukifukuzwa maana yake tabia yako is so abnormal to fit anywhere politically. Tumbili the Sisimizi mwenyewe chupu chupu atimuliwe huko alikokimbilia.
 
Hivi watu kama nyie huwa mnakula chakula gani kinawadhoofisha uwezo wa kufikiri kabla yakuropoka kwa kila jambo mnaloambiwa?

Unahangaika Bure kumpaka manukato huyo mfu.bado ana ubinafsi wa kitoto na ujanja ujanja wa kitoto! Cdm walikuwa sahihi kabisa kukitosa hicho kirusi
 
Zitto ana akili kuliko hata hao maprofesa wenu
 
Last edited by a moderator:
Mtahangaika sana kumchafua zitto na mada za kijinga zisizokuwa na kichwa wala miguu kama hii lakin zzk anangozi ngumu na kamwe hamumuwezi Zitto.Mada kama hizi pelekeni kwa vilaza wenzenu c humu.

Tueleweshe ukweli ni upi, ukipiga tararira kama hizi bila kuweka fact kama alizoweka mtoa mada unampa kichwa Sana
 
watu wa kigoma wana asili ya unafki na usaliti,sina chuki ila fanyakautafiti kadogo kama una rafiki/marafiki wa kigoma hebu wachunguze tabia zao

VIOL. SHULE ULIYOSOMA inatakiwa ifungwe NA MWALIMU ALIYEKUFUNDISHA aachishwe kazi. Kama una watoto ni hasara na wewe mwenyewe ni hasara kwa taifa. Huwezi Generalize kwa sababu ya mtu mmoja.
KASOME SAIKOLOJIA YA MAKUZI YA MTOTO labda unaweza kuelewa kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Kwenye ESROW AKAGEUKA SHUJAA WENU SIYO??

AKILI ZA NGUCHIRO HIZI

Kipi alichokifanya kwenye escrow zaidi ya ripoti iliyojaa matobo yaliyoacha maswali Mengi yasiyo na majibu mpaka sasa.
 
Sikuwahi kufikiri kijana under 40 anaweza kuwa msaliti kama huyu jamaa
 
Chuki kwa ACT ni upuuzi wa mijitu isiyo fahamu maana pana ya demokrasia! Ni mijitu ya chadema ambayo inataka demokrasia isikue hapa Tanzania! Iacheni ACT kama itakataliwa na Watanzania ila sio wachawi kuipinga na kuichulia,kwani ninyi chadema uhalali wa kisiasa mnatoa wapi ACT wasiwe nao!???? Acheni ujinga wenu Chadema

We umefanywa kitu mbaya na cdm lazma hahahaaha sijui kihoro cha nin
 
Zitto ni joka la ndimu ila kichwa kimeshajitokeza nje ni kukitwanga tu kwa jiwe
 
Ripoti ya Tiss iliyokuwa inamuhusu Sheikh Ponda....ilishatoa majibu kwamba watu wa kigoma ni disqualified maana wengi sio watanzania ni waamiaji wakikongo,Burundi na Rwanda
Tabia yao kubwa ni umbea,uchonganishi na usaliti wapo wengi na faili zao zipo mbona...
Anaitwa zito ze dog.
 
Chuki kwa ACT ni upuuzi wa mijitu isiyo fahamu maana pana ya demokrasia! Ni mijitu ya chadema ambayo inataka demokrasia isikue hapa Tanzania! Iacheni ACT kama itakataliwa na Watanzania ila sio wachawi kuipinga na kuichulia,kwani ninyi chadema uhalali wa kisiasa mnatoa wapi ACT wasiwe nao!???? Acheni ujinga wenu Chadema

Hapa CHADEMA imeingiaje mkuu? Acha hasira
 
Niliona kiburi na dharau yake pale alipokuwa anasalimiana na Lipumba huku hajachomeka shati,Baadae anahutubia hajavaa mkanda,ile ni jeuri tu ya kitoto. Ana marafiki wengi wa face book watoto wa f2,3,4 nae yupo hivo.Akasema mbowe akiniomba nitamsaidia issue ya bomba la gesi. Hivi yeye alimuomba mbowe amsaide issue ya escrow na ripoti yake nyepesi.Huyo ndie litaka uraisi na uenyekiti wa chama kubwa

Huyu dogo hana credibility ya kujiita mzalendo, ni mnafiki mwenye laana ya usariti
 
Back
Top Bottom