Prof. Lipumba akerwa na Zitto Mtwara

Prof. Lipumba akerwa na Zitto Mtwara

Mimi naamini Zitto Kabwe huwa, unapitia hili jukwaa kwa heshima na taadhima, twambie ukwel kuhusu haya katika mkutano ulio alikwa na CUF huko Mtwara tarehe 31/12/2014
1. Je ni kweli wewe ndie ulie waleta wafuasi wa ACT toka Dar es salaam
2. Kweli walitumia gari lako kusafiri hadi Mtwara.
3. Ni kweli ulileta waandishishi wa habari kutoka ACT.
 
Hawezi akaja akijibu maana anahusika, na hata kama atajibua basi mutasikia viswahili vya kigoma.
 
Mimi naamini @Zitto Kabwe huwa, unapitia hili jukwaa kwa heshima na taadhima, twambie ukwel kuhusu haya katika mkutano ulio alikwa na CUF huko Mtwara tarehe 31/12/2014
1. Je ni kweli wewe ndie ulie waleta wafuasi wa ACT toka Dar es salaam
2. Kweli walitumia gari lako kusafiri hadi Mtwara.
3. Ni kweli ulileta waandishishi wa habari kutoka ACT.

sina uhakika kam atakuja -------------------------------Am very sorry to say this word Washikaji wanuwezo mdogo san wa kufikiri

  1. they are very poor in logic thinking
  2. inter person skills zao ziko chini na ndio maana every where wanapofanya mambo yao yanabumburuka
  3. Wako vizuri kwenye mashairi ya Udaku
 
Ni Msolemba huyo mkae tayari kuachwa solemba na 'Zuberi Ruyagwa '.Double agent and corrupted corrupt young politian hafurahishwi na juhudi za UKAWA kuwaletea maendeleo.
 
watu wa kigoma wana asili ya unafki na usaliti,sina chuki ila fanya kautafiti kadogo kama una rafiki/marafiki wa kigoma hebu wachunguze tabia zao
 
Tusubiri kauli ya Lipumba. Walikuwa wanataka kumtumia Zitto kisiasa kwa manufaa yao ya kisiasa

Mkuu,
Alichokifanya Lipumba ni sawa kabisa kuhoji juu ya uwepo wa chama cha ACT katika mkutano wake.

Lipumba alitambua, atapeleka picha mbaya kwa washirika wake wa UKAWA. Kama wangeona ushiriki wa ACT na siyo CHADEMA wala NCCR.

Ni kitu cha ajabu kwa Lipumba, kwa nini hakuwaalika washirika wake. Hatukuona bendera za NLD wala wana UKAWA.

Na Zitto alifanya jitihada sahihi kuwalipia hao wanachama, akitumaini awe na watu wake mapema ndani ya ACT. Kwa sababu uchaguzi mkuu ndani ya chama hicho.
 
Rangi nyekundu kwenye bendera za cuf na chadema zinaashiria vurugu na vita
 
kwa nini mnakimbilia kuiamini hii habari!!!

Na kwa nini mnakimbia kuiamini habari hii? Kila habari iletwayo hapa tunaipokea na kuanza kuichunguza ukweli wake sio kukimbilia kuikana kuwa ni uongo. JF ni mahali pa ukweli ndio maana aletaye habari za uongo akigundulika anakula red card toka kwa Mods
 
Tusubiri kauli ya Lipumba. Walikuwa wanataka kumtumia Zitto kisiasa kwa manufaa yao ya kisiasa
Mkuu tafadhali sana usihamishe goli,hapa mshangao ni Zito kuleta ACT(wakati sio mwanachama),na msimamo wa ACT kuhusu UKAWA unajulikana
 
Back
Top Bottom