Pelekaroho
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 1,602
- 378
Yaani ajiuzuru kwa sababu ya ukawa, huo upuuzi. Kwani alichaguliwa kuongoza cuf au ukawa. Kama shida inaanzia ukawa suluhu ya hilo ni kujitoa ukawa na sio kujitoa cuf.
Mkuu Mbowe anajifanya mjanja yule kijana wa kichagga. Dr.Slaa na Professa Lipumba wamemshtukia
Wewe gamba acha kuchafua uislam na udini wako wapi na wapi dini na siasa
Hatimaye Profesa Lipumba aamua kubwaga manyanga.
Shime wanapenda Mageuzi Kesho mjitokeze kwa wingi saa nne asubuhi makao makuu ya CUF buguruni.
Kesho Lipumba ataeleza mbivu na mbichi za UKAWA.
Na Kisha atajivua uenyekiti na uanachama wa CUF.
Lete source ya habari yako ikiwa katibu mkuu alikuwa nae jana mpaka saa nne usiku na hajui hilo pia katiba ya cuf siyo kama magamba mwenyekiti hujitoi mpaka uandike barua ya kujiuzuru kwa katibu wako
Ivi hii profile picture yako AK 47 kipind hiki cha uchaguzi unaashiria nini....nyie ndio wachochezi
aliileta hii mambo jamaa mmoja anaitwa manyerere kumhusu slaa akasema source ni yeye mwenyewe (manyerere) mkamtukana sana ila mwisho wa siku ilikua!
Hata kwa Slaa mlibisha hivi hivi.
Lipumba ndo aliitisha Press conference ya kumkaribisha Lowassa akiwa na Kina Mbowe na Mbatia. Leo Pia Maalim kasema alikuwa na Prof jana mpaka uck Mwingi wakiwa pamoja na Lowassa, taarifa hizi hazina ukweli. TUJIFUNZE kuwa Wakweli hata kwenye Siasa za Kampeni.
hivi mbona naona huwa mnabisha tu, afu mwisho wasiku mnabaki kulia lia. Dr.slaa yupo wap leo? nae simlibisha pia
unless umesahau ulichokiandika! ulisema hv 'ungewashangaa sana waislamu wangeungana na mafisadi chadema..' sasa hapo ulikuwa unaongelea makundi ya watu! kwamba kundi flani la waislam na lingine umeliita mafisadi chadema....na habari inamhusu Lipumba....kwa logic ya kawaida hilo kundi ulimaanisha CUF coz ndo wanaongozwa na Lipumba! Ungekuwa unamrefer Lipumba peke yake ungetumia umoja!BT HAIPENDEZI KUENDEKEZA UDINI...hainaga faida
aliileta hii mambo jamaa mmoja anaitwa manyerere kumhusu slaa akasema source ni yeye mwenyewe (manyerere) mkamtukana sana ila mwisho wa siku ilikua!
Kama ni kweli basi ni rushwa hiyo imempitia kutoka magambani!!! Wananchi wakikosea wakairudisha CCM madarakni tena basi wajilaumu wenyewe!