Prof. Lipumba ajiuzulu Uenyekiti CUF

Prof. Lipumba ajiuzulu Uenyekiti CUF

Status
Not open for further replies.

East African Eagle

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
3,759
Reaction score
2,209
Taarifa za gazeti la Uhuru la leo ni kuwa Profesa Lipumba kajiuzulu uenyekiti CUF baada ya shinikizo kali kutoka kwa wanachama na viongozi wa CUF wasiotoa rushwa wala kupokea rushwa wa upande wa Zanzibar kutokana na sekeseke la yeye na al-maruhuni wenzie kumbeba Lowasa na kutaka awe mgombea UKAWA.

Kwa kujiuzulu kwake kunaonyesha wazi kuwa Lowasa kupitishwa na UKAWA itakuwa kazi ngumu kama CUF watatia ngumu UWEZEKANO AMBAO KWA SASA NI MKUBWA MNO.

Kama atakatwa basi safari yake ya Matumaini hewa sijui itaelekea wapi. Lakini taarifa zilizopo ni kuwa atatimkia ACT wazalendo kwa zitto kabwe kujaribu karata yake ya mwisho.
uh1.jpg


================================

Updates;

Makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar na Katibu Mkuu wa CUF, Maalimu Seif amekana habari hizi kwenye Mkutano mkuu wa CHADEMA unaoendelea Mlimani City Dar es Salaam
.
 
Subutu yao!. Kama hawajui nguvu ya mwenyekiti kwenye vyama vyetu wakawaulize 'afulila,Zitto na Hamad Rashid...watakuwa wamejifukuzisha uaanachama wenyewe
 
Mwaka huu wapinzania watajamba cheche, cha kufurahisha ni kwamba mpaka wajipange tena itakuwa 2030 wakati huo CCM ipo mbali sana kimikakati
 
Hahahaaaaa CCM mtawaonga sana
wapinzani..lakini sikuzenu zimefika.Ni bora kuchagua chizi kuliko mgombea yoyote wa ccm.sbb hata huyo magufuli hatakuwa na jipya sbb yumo ndani ya mfumo wa ccm.baraza la maziri ndiyo walewale... Jamani ccm tokeni.

hahah ETi Waziri Mkuu December Marope
 
Si tuliambiwa walikaa kikao na kukubaliana kama CUF na alichokitamka na maamuzi aliyoyatoa ya kumpokea Lowasa yalikuwa ya pamoja?
 
Taarifa za gazeti la Uhuru la leo ni kuwa Profesa Lipumba kajiuzulu uenyekiti CUF baada ya shinikizo kali kutoka kwa wanachama na viongozi wa CUF wasiotoa rushwa wala kupokea rushwa wa upande wa Zanzibar kutokana na sekeseke la yeye na al-maruhuni wenzie kumbeba Lowasa na kutaka awe mgombea UKAWA.

Kwa kujiuzulu kwake kunaonyesha wazi kuwa Lowasa kupitishwa na UKAWA itakuwa kazi ngumu kama CUF watatia ngumu UWEZEKANO AMBAO KWA SASA NI MKUBWA MNO.

Kama atakatwa basi safari yake ya Matumaini hewa sijui itaelekea wapi. Lakini taarifa zilizopo ni kuwa atatimkia ACT wazalendo kwa zitto kabwe kujaribu karata yake ya mwisho.


Suala la Slaa limechuja sasa mmekuja na single mpya ya Lipumba, nayo itachucha na UKAWA wataendelea kusonga mbele.

Mkuu tupe updates za Magufuli kuchukua fomu,UKAWA waache .
 
Taarifa za gazeti la Uhuru la leo ni kuwa Profesa Lipumba kajiuzulu uenyekiti CUF baada ya shinikizo kali kutoka kwa wanachama na viongozi wa CUF wasiotoa rushwa wala kupokea rushwa wa upande wa Zanzibar kutokana na sekeseke la yeye na al-maruhuni wenzie kumbeba Lowasa na kutaka awe mgombea UKAWA.

Kwa kujiuzulu kwake kunaonyesha wazi kuwa Lowasa kupitishwa na UKAWA itakuwa kazi ngumu kama CUF watatia ngumu UWEZEKANO AMBAO KWA SASA NI MKUBWA MNO.

Kama atakatwa basi safari yake ya Matumaini hewa sijui itaelekea wapi. Lakini taarifa zilizopo ni kuwa atatimkia ACT wazalendo kwa zitto kabwe kujaribu karata yake ya mwisho.

Source: Uhuru
 
magamba muuneeni huruma Dr. Magufuli maana nyie mnaandika UKAWA na EL tu, hebu muandikeni basi naye.
 
CCM wamechanganyikiwa vibaya sana ..Hivi kumbe imewauma eeeh Lowassa kuhama chama
 
Taarifa za gazeti la Uhuru la leo ni kuwa Profesa Lipumba kajiuzulu uenyekiti CUF baada ya shinikizo kali kutoka kwa wanachama na viongozi wa CUF wasiotoa rushwa wala kupokea rushwa wa upande wa Zanzibar kutokana na sekeseke la yeye na al-maruhuni wenzie kumbeba Lowasa na kutaka awe mgombea UKAWA.

Kwa kujiuzulu kwake kunaonyesha wazi kuwa Lowasa kupitishwa na UKAWA itakuwa kazi ngumu kama CUF watatia ngumu UWEZEKANO AMBAO KWA SASA NI MKUBWA MNO.

Kama atakatwa basi safari yake ya Matumaini hewa sijui itaelekea wapi. Lakini taarifa zilizopo ni kuwa atatimkia ACT wazalendo kwa zitto kabwe kujaribu karata yake ya mwisho.

Uhuru nalo gazeti au toilet paper ya kutumia msalani(ofisi ndogo ya msalani). inaonyesha ni jinsi gani mafisadi n pango la wezi lilivyoshikiwa chini na Mh. Lowasa mpaka mmeanza kutunga ngonjera za kigambani badala kumpa promo mtia nia wenu makofuli... subirini dawa ingie vizuri mafuriko ya lowasa na ukawa yanakuja.
 
Nahisi mhariri wa hilo gazeti huwa anacheka sana kimoyomoyo wakati akihariri habari zake kabla hajapeleka kuchapisha.
 
Gazet la nape limezeeka kama chama chao ukawa mnawapa jambajamba wazee wa lumumba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom