Prof. Lipumba ajiuzulu Uenyekiti CUF

Prof. Lipumba ajiuzulu Uenyekiti CUF

Status
Not open for further replies.
Mjenga nchi ni mwananchi na mbomoa nchi ni mwananchi fanya maamuzi sasa usiangalie mtu au chama sera na dira je inalikomboa taifa


Kapuku mimi
 
Gazeti la kufungia maandaz at work!!!

Akijiuzulu jua litachomoza magharib na kuzama mashariki.

Huku niliko kuna mtu alisema gazeti hilo hata wakifungia maandazi hawezi kula.
 
Hivi habari kama hii ni ya kuandikwa na gazeti moja tu!
 
Huku niliko kuna mtu alisema gazeti hilo hata wakifungia maandazi hawezi kula.

Hahahaaaaa
...yupo sahihi kabisa huyo, hivi kuna watu huwa wanatoa hela yao kwa ajili ya kulinunua??????
 
Taarifa za gazeti la Uhuru la leo ni kuwa Profesa Lipumba kajiuzulu uenyekiti CUF baada ya shinikizo kali kutoka kwa wanachama na viongozi wa CUF wasiotoa rushwa wala kupokea rushwa wa upande wa Zanzibar kutokana na sekeseke la yeye na al-maruhuni wenzie kumbeba Lowasa na kutaka awe mgombea UKAWA.

Kwa kujiuzulu kwake kunaonyesha wazi kuwa Lowasa kupitishwa na UKAWA itakuwa kazi ngumu kama CUF watatia ngumu UWEZEKANO AMBAO KWA SASA NI MKUBWA MNO.

Kama atakatwa basi safari yake ya Matumaini hewa sijui itaelekea wapi. Lakini taarifa zilizopo ni kuwa atatimkia ACT wazalendo kwa zitto kabwe kujaribu karata yake ya mwisho.
uh1.jpg

Porojo @ work
Mtajitekenya sana mwaka huu
 
Maana ya Gamba (Magamba) ni sehemu ya nje iliyo kasa AFYA Gazeti la UHURU limechoka limekosa afya so nalenyewe ni GAMBA
 
Taarifa za gazeti la Uhuru la leo ni kuwa Profesa Lipumba kajiuzulu uenyekiti CUF baada ya shinikizo kali kutoka kwa wanachama na viongozi wa CUF wasiotoa rushwa wala kupokea rushwa wa upande wa Zanzibar kutokana na sekeseke la yeye na al-maruhuni wenzie kumbeba Lowasa na kutaka awe mgombea UKAWA.

Kwa kujiuzulu kwake kunaonyesha wazi kuwa Lowasa kupitishwa na UKAWA itakuwa kazi ngumu kama CUF watatia ngumu UWEZEKANO AMBAO KWA SASA NI MKUBWA MNO.

Kama atakatwa basi safari yake ya Matumaini hewa sijui itaelekea wapi. Lakini taarifa zilizopo ni kuwa atatimkia ACT wazalendo kwa zitto kabwe kujaribu karata yake ya mwisho.
uh1.jpg

​haya sasa dua zenu mashetani.zimeshindwa.sasa mgombea ni MH LOWASSA na MH JUMA DUNI HAJI. mtakufa mwaka uhu.
 
Fokonola huyo hana mbwembe wala hajasomea sana yuko kikazi msubiri site
 
PROF. LIPUMBA AMEJIUZURU.

TAARIFA NILIZOZITHIBITISHA HIVI PUNDE NI KUWA KWELI PROF. IBRAHIM H. LIPUMBA ALIJIUZURU NAFASI YAKE YA KUWA MSHAURI WA MASUALA YA UCHUMI KATIKA SERIKALI YA CCM YA AWAMU YA PILI BAADA YA KUJIRIDHISHA KUWA HAKUTAKUWA NA MABADILIKO YA KIUCHUMI KUTOKANA NA KUTOFANYIWA KAZI USHAURI WA KITAALAMU ULIOKUWA UKITOLEWA NA JOPO LAO KWA WAKATI HUO, AIDHA, PROF LIPUMBA ALIJIUNGA NA HARAKATI ZA UKOMBOZI WA KISIASA NA KIUCHUMI NCHINI NA KUTEULIWA NA CUF KUWA MGOMBEA URAIS KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 1995.
HIVI SASA PROF. LIPUMBA NI MWENYEKITI MWENZA WA UKAWA NA AMESHAFANYA MAAMUZI YA MSINGI YA KUMKARIBISHA MHE. EDWARD LOWASSA KATIKA UKAWA NA KUNA KILA DALILI ZA KUKUBALIANA KUMTANGULIZA MHE. LOWASSA KUWA MGOMBEA PEKEE WA URAIS KWA TIKETI YA CHADEMA KUWAKILISHA UMOJA WA UKAWA.
WANAOUTAKIA MABAYA UKAWA WATAENDELEA KUSUBIRI SANA.
HABARI MUHIMU NDIO HIYO.


By Mbarala Maharagande via his facebook page
 
Nani kakudanganya wewe,, CUF inawanachama wengi sana huku bara kuliko uifikiliavyo,,,, tena inawezekana wewe ni mgeni kwenye siasa za Bongo,, CUF ina wanachama tofauti sana na CDM,, CUF inawale wanachama kama wazee wa simba na yanga maana wanalishana mpaka yamini waulize CDM wanalifanyaga hili,, CUF hakuna wanachama maslahi kama vyama vingine.. Muungano hata ukivunjika huku CUF itaendelea kuwepo huku bara maana ndiko kwenye wanachama wake wengi kuliko visiwani...
Hoja yako ipo wapi hasa? Labda nikukumbushe tu hata kama unadhani unazifahamu siasa za Tanzania kuliko wenzako! Alianza James Mapalala... si tu kwamba alikuwa ndo mwasisi wa CUF ambayo baadae iliungana na ZUF na hatimae jina ZUF (for Zanzibar) kufa na kubaki CUF lakini pia ni mmoja wa wanamageuzi wa awali kabisa wa nchi hii wakati akina Lipumba wanakula mikate ya Ikulu! Ni fitina za akina Maalimu Seif na Shaaban Mloo ndio zilisababishwa kutimuliwa kwa James Mapalala 1994 na hatimae CUF kutamalaki zaidi Zanzibar ukilinganisha na bara kiasi cha kila mtu kuamini 1995 CUF walishinda kule Zanzibar! Hata hivyo, Mapalala nae alifanya kazi kubwa sana kuijenga CUF huku bara kiasi cha kuwa ndio chama kikubwa kabisa kabla ya ujio wa Mrema NCCR! Pamoja na yote hayo, Mapalala alitimuliwa mchana kweupe kwa tuhuma za kupika!

Kuna nani huyu... Ahmadi Rashid! Pamoja na ushawishi wake wote ndani ya CUF lakini ni juzi tu hapa katimuliwa kwa sababu za kipumbavu kabisa... halafu unakuja kusema Lipumba!!! Kwa CUF ipi iliyo bara yenye ubavu wa kushindana na Maalim Seif? Unazungumza hii CUF ya kuwa na wabunge wawili tu tena kutoka kutoka mkoa mmoja, au?
 
Hatimaye Profesa Lipumba aamua kubwaga manyanga.
Shime wanapenda Mageuzi Kesho mjitokeze kwa wingi saa nne asubuhi makao makuu ya CUF buguruni.
Kesho Lipumba ataeleza mbivu na mbichi za UKAWA.
Na Kisha atajivua uenyekiti na uanachama wa CUF.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom