Prof. Lipumba ajiuzulu Uenyekiti CUF

Prof. Lipumba ajiuzulu Uenyekiti CUF

Status
Not open for further replies.
Acha udini wewe gamba acha kuchafua dini na mambo ya siasa

Mkuu mimi wala sio gamba ila nimeumia sana MCHAGA alivyokiuza chama na kumtupia jalalani MPIGANAJI SLAA. HE MUST PAY.
 
Anaenda kuungana na Slaa kwenye mapumziko.
 
Prof.Lipumba athibitishe ili kuondoa sintofahamu hii,na km ni kweli kwa hali hii CCM itatawala milele
 
Source? Gazeti la magamba Uhuru la leo.
Lakini ulisikia hotuba ya Maalim seif ktk mkutano wa Chadema kuhusu suala hilo hilo la uongo kabisa!!!!

hata kwa slaa mlisema hivi hivi,,, malizeni magoli yenu tuu!! jamaa wakianza kufunga watawatia nyingi sana kudadadensa
 
Mkuu mimi wala sio gamba ila nimeumia sana MCHAGA alivyokiuza chama na kumtupia jalalani MPIGANAJI SLAA. HE MUST PAY.

Kuumia kwako na dini kunausiana gani wewe gamba siasa usiziusishe na imani za watu gamba wewe
 
Hatimaye Profesa Lipumba aamua kubwaga manyanga.
Shime wanapenda Mageuzi Kesho mjitokeze kwa wingi saa nne asubuhi makao makuu ya CUF buguruni.
Kesho Lipumba ataeleza mbivu na mbichi za UKAWA.
Na Kisha atajivua uenyekiti na uanachama wa CUF.

Lete source ya habari yako ikiwa katibu mkuu alikuwa nae jana mpaka saa nne usiku na hajui hilo pia katiba ya cuf siyo kama magamba mwenyekiti hujitoi mpaka uandike barua ya kujiuzuru kwa katibu wako
 
Kweli humu kuna watu ni bendera fuata upepo.mmehama kwa Dr Slaa na sasa uwongo wenu umehamia kwa proff Lipumba???
 
Last edited by a moderator:
Lipumba ni mkristo?

unless umesahau ulichokiandika! ulisema hv 'ungewashangaa sana waislamu wangeungana na mafisadi chadema..' sasa hapo ulikuwa unaongelea makundi ya watu! kwamba kundi flani la waislam na lingine umeliita mafisadi chadema....na habari inamhusu Lipumba....kwa logic ya kawaida hilo kundi ulimaanisha CUF coz ndo wanaongozwa na Lipumba! Ungekuwa unamrefer Lipumba peke yake ungetumia umoja!BT HAIPENDEZI KUENDEKEZA UDINI...hainaga faida
 
Kuna watu wana maono Mzee Wa watu aliposema mpinzani wa ukweli atatoka Ccm alionekana kama kituko hivi ,ila sasa naanza kuamini alichokisema
R.I.P mwl J K Nyerere
 
Ningewashangaa sana WAISLAMU wangeunganga na MAFISADI chadema. Dini yao inakataza hata riba ktk mikopo.

Comment yako haijakaa vizuri, hususani kuingiza suala la dini. Samahani lakini.
 
Ni uongo maana katibu kasema hajapokea barua na alikuwa nae hadi saa nne usiku. Ni majungu tu.

Hata Dr.Slaa mpaka leo mnakanusha mnasema yupo likizo. Mbowe anajifanya muhuni sana ila wenzake wamemshtukia.
 
Ningewashangaa sana WAISLAMU wangeunganga na MAFISADI chadema. Dini yao inakataza hata riba ktk mikopo.

sio riba tu hata siasa yenyewe tunakataa na hatutaki Waislam waliojiingiza kwenye siasa wahusishe siasa na dini...Kwani kufanya hivyo ni kugawa waislam pili ni kuhatarisha usalama wa nchi....Angalizo:lipumba na wenzako kuweni makini msije mkasababisha chama chenu kikaonekana ni ktk dini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom