Prof. Lipumba ajiuzulu Uenyekiti CUF

Prof. Lipumba ajiuzulu Uenyekiti CUF

Status
Not open for further replies.
Lipumba ni MUISLAM safi. hawezi changamana na fisadi LOWASA.

Wewe ni mjinga saana, unagawa wa Tanzania kidini, hakika unastahili hata kupigwa risasi, huwezi sema sababu nyingine mpaka uweke udini..ila ipo siku utalipwa haya, kama si wewe ni kizazi chako.
 
Ningewashangaa sana WAISLAMU wangeunganga na MAFISADI chadema. Dini yao inakataza hata riba ktk mikopo.

Acha udini wewe gamba acha kuchafua dini na mambo ya siasa
 
Kama wapinzani hamjajipanga basi bakini na wake zenu vyumbani. Mnajifanya mnataka kuitoa CCM madarakani halafu mnaishia kujiuzulu. Mara Slaa mara leo Lipumba. Mnatupotezea muda wajinga nyie
 
Ningewashangaa sana WAISLAMU wangeunganga na MAFISADI chadema. Dini yao inakataza hata riba ktk mikopo.

Sasa Kikwete na Andrew change na Abdu kinena na Pombe makufulu na Samia sululu na Mramba na Yona Mbona naona ni Mchanganyiko wa mafisadi na Waislam wakiwemo mafisadi wa Kiislam na kikristo.
 
Naona wamejaribu kila njama kuhakikisha muungano haufiki kokote wamegonga mwamba,sasa wamerudia zikipendwa za udini!Umemsikia Maalim Seif akimuunga mkono lowasa au ndio unajifanya kipofu!
 
Sasa Kikwete na Andrew change na Abdu kinena na Pombe makufulu na Samia sululu na Mramba na Yona Mbona naona ni Mchanganyiko wa mafisadi na Waislam wakiwemo mafisadi wa Kiislam na kikristo.

Kumbuka FISADI EL, kawafuata UKAWA ambao walikuwa wameshajiwekea misingi ya muungano wao na miiko. Mchaga kawauza.
 
hakuna charushwa nikwamba mmeshachemsha sasa mnatafuta visingiziotu
 
wakati mwenyekiti mwenza wa ukawa james mbatia akiudanganya umma kwamba mwenyekiti wa cuf prof. Ibrahim lipumba anashughulikia kesi yake mahakamani na huenda ndio sababu ya kutohudhuria mkutano wa leo, imebainika tayari lipumba hayupo tena cuf.
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya chama hicho zinasema, lipumba amekusanya kila kitu kinachomuhusu kwenye ofisi za chama hicho na kuondoka. Inaelezwa, wakati anaondoka lipumba alitoa maneno makali dhidi ya katibu mkuu wa cuf maalim seif na kumuita mhuni huku akisisitiza hawezi kufanya nae kazi.
Taarifa zaidi zinasema, lipumba anatarajia kuzungumza na waandishi wa habari wakati wowote kuanzia sasa kuelezea sakata hilo.

wana ccm wengi nahisi ni wapagani maana
wanapenda kusema uongo na kufanya
propaganda za maji taka halafu
hawana aibu hivi mmelishwa nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom