Prof. Kitila Mkumbo, umeanza kwa kuchemka

Prof. Kitila Mkumbo, umeanza kwa kuchemka

Tabutupu, nimesema humu kuwa Kitila ni Nguin per se! This is a technical department, inahitaji mwanasayansi, siyo mwanasiasa... political scientist!

Stop this nonsense..Hao wanasayansi ambao wamejazana serikalini wametufanyia nini mpaka sasa hivi? Last time I checked...most of key departments serikalini zimeshikiliwa na the so called wanasayansi. What have they got to show for it? Zaidi ya wao kulia lia njaa tuu na kujipendekeza kwa wakubwa.......

Agghhhhh......Post nyingine mpaka zinatia mpaka ukakasi kuzisoma!
 
FB_IMG_1487912383786.jpg
 
Shame shame shame kwahuyu kitila mkumbo njaa zitatuuwa sisi watanzania tatizo tunaweka maslahi ya matumbo yetu mbele kuliko Taifa
 
Nani asiejua hapa mjini kwamba Kitila Mkumbo na Zitto Kabwe ni TISS Agents lini umesikia wamepewa misukosuko na Polisi kama wanavyofanyiwa kina Lema na Lissu?
 
Katika hutuba yake ya kwanza amezungumzia Kilimo cha umwagiliaji kama ndio kipaumbele chake katika kutimiza majukumu yake katika wizara ya maji.

Swali langu, toka lini kipaumbele cha wizara ya maji ni kilimo cha umwagiliaji? Kilimo cha umwagiliaji ni kipaumbele cha wizara ya kilimo kimkakati.

Wizara ya maji tunahitaji utwambie tutapataje maji safi na salama . Kwani hujui ni kiwango gani cha wanchi hawana maji salama?

Hicho sio cheo cha kisiasa.
Eeeee ndiyo faida ya kuwa na Profesa gwiji wa Saikolojia. Ameanza kutumia ujuzi wa Saikolojia kushughulikia suala la kilimo na maji. Haki ya Mungu, Afrika si bure, huenda kweli ipo laana. Hajui chochote katika masuala ya maji na umwagiliaji halafu umpe wizara hiyo kama Mtendaji Mkuu akiboronga mnataka atumbuliwe, atamsumbua Waziri huku akidai yeye ni Profwesa wa Saikolojia na hiki na kile. Kwa vile mlimpenda sana mngempa angalau Wizara ya Elimu au angekuwa Msajili wa Vyama vya Siasa. Hii imekaaje?
 
Unategemea nini prof wa sikolojia akawa bwana maji ndiyo haya ya kuingilia wizara ya kilimo.
 
Kwa taarifa yako Wizara ya maji ndiyo wamiliki wa maji yote hapa nchini ,wizara ya kilimo haiwezi kuanzisha mradi wa umwagiliaji bila kibali cha wizara ya maji.
Halafu wizara yake inaitwa wizara ya maji na umwagiliaji unafikiri neno umwagiliaji limewekwa hapo kimakosa?
No perfection...might be true
 
Katika hutuba yake ya kwanza amezungumzia Kilimo cha umwagiliaji kama ndio kipaumbele chake katika kutimiza majukumu yake katika wizara ya maji.

Swali langu, toka lini kipaumbele cha wizara ya maji ni kilimo cha umwagiliaji? Kilimo cha umwagiliaji ni kipaumbele cha wizara ya kilimo kimkakati.

Wizara ya maji tunahitaji utwambie tutapataje maji safi na salama . Kwani hujui ni kiwango gani cha wanchi hawana maji salama?

Hicho sio cheo cha kisiasa.
Unategemea nini prof wa saikolojia akawa bwana maji ndiyo haya ya kuingilia wizara ya kilimo.

Labda inawezekana ameanza kazi kwa kuwajenga kwanza wananchi kisaikolojia.
 
Katika hutuba yake ya kwanza amezungumzia Kilimo cha umwagiliaji kama ndio kipaumbele chake katika kutimiza majukumu yake katika wizara ya maji.

Swali langu, toka lini kipaumbele cha wizara ya maji ni kilimo cha umwagiliaji? Kilimo cha umwagiliaji ni kipaumbele cha wizara ya kilimo kimkakati.

Wizara ya maji tunahitaji utwambie tutapataje maji safi na salama . Kwani hujui ni kiwango gani cha wanchi hawana maji salama?

Hicho sio cheo cha kisiasa.
Hujui umuhimu wa umwagiliaji kwa njia ya matone vs traditional like furrow na sprinkler. Laiti ungekuwa unajua usingehoji waziri wa Maji kuongelea suala la umwagiliaji kwa njia ya matone, pia nini maana ya umwagiliaji?
 
mpyachojuawizaranizara sio mvipaumbelematavikutatwizarani hapo wizarani kwa hiyo vipaumbele atavikuta wizarani.
 
Hujui umuhimu wa umwagiliaji kwa njia ya matone vs traditional like furrow na sprinkler. Laiti ungekuwa unajua usingehoji waziri wa Maji kuongelea suala la umwagiliaji kwa njia ya matone, pia nini maana ya umwagiliaji?
sio kipaumbele cha wizara , hiyo ni department inayo support wizara ya kilimo, kipaumbele cha wizara ya maji ni maji safi na salama kwa watanzania
 
Huyo mtu anayesemwa hapa utafikiri labda ni std 7 vile kumbe ni msomi kabisa,ila Leo anaonekana kama hajui anachofanya kisa tu kateuliwa na Rais.
 
Kwa taarifa yako Wizara ya maji ndiyo wamiliki wa maji yote hapa nchini ,wizara ya kilimo haiwezi kuanzisha mradi wa umwagiliaji bila kibali cha wizara ya maji.
Halafu wizara yake inaitwa wizara ya maji na umwagiliaji unafikiri neno umwagiliaji limewekwa hapo kimakosa?

Labda nyumbuz wanadhan ni kumwagilia vibustani vyao makwao huko
 
Hiz wizara 2 znafanya kaz kwa muingiliano mkubwa, kuingiliana kwa majukumu huku ndiko watu kunatuchanganya kimsingi Kitila yuko sahihi ila hawez kutimiza hicho kipaumbele chake bila ku consult wizara nyingne.
 
Kwa taarifa yako Wizara ya maji ndiyo wamiliki wa maji yote hapa nchini ,wizara ya kilimo haiwezi kuanzisha mradi wa umwagiliaji bila kibali cha wizara ya maji.
Halafu wizara yake inaitwa wizara ya maji na umwagiliaji unafikiri neno umwagiliaji limewekwa hapo kimakosa?
Sio wamiliki bali wasimamizi wa maji na sera zake.
 
Back
Top Bottom