Prof. Kitila Mkumbo, umeanza kwa kuchemka

Prof. Kitila Mkumbo, umeanza kwa kuchemka

PhD ya Psychology na mambo ya maji wapi na wapi? Dunia inavituko hii hatariiii
 
Nilipitia juu juu wasifu wa Prof Kitila, alishawahi kuwa Mwenyekiti wa UDASA, Mkuu wa kitivo cha Elimu, mjumbe wa kamati ya chedema, mshauri wa chama cha ACT, nk.

Sijaona tofauti ya majukumu hayo hapo juu na nafasi aliyoteuliwa. Unless kwa mtizamo wenu mnataka/ mnadhani angepelekwa huko Wizara ya Elimu basi ataenda kushika chaki na huku Wizara ya maji na umwagiliaji hawezi kushika spana ya bomba au drill ya kuchimba visima.

Tulitakiwa kujiuliza/ kufahamu ni nini haswa majukumu ya msingi ya Katibu Mkuu wa Wizara.[/QUO
Thanks,
Katibu mkuu wa wizara ndiye mtendaji mkuu wa wizara. Sasa neno mtendaji hapa kama civil servant litasimama kama mtu aliyebobea katika eneo hilo. maana chini yake kuna makamishana, kuna wakurugenzi na wakuu wa idara. kwa civil service inabidi uanzie chini ukue ufike huko. ili uweze kushauri na kutoa maamumuzi ya kitalaaam . sasa ikitokea mkwamo wa maamuzi ya kitalaam katibu mkuu atakimbilia wapi? na je atamshauri vipi waziri ili hali mwenyewe hajabobea? ukatibu mkuu sio wiziri. ingawa ni za kiksiasa zaidi kwetu huku!! Hope rafiki umaneipata. fuatilia government stucture uone makatibu wakuu wawe watu wa aina gani.
 
Katika hotuba yake ya kwanza amezungumzia Kilimo cha umwagiliaji kama ndio kipaumbele chake katika kutimiza majukumu yake katika wizara ya maji.

Swali langu, toka lini kipaumbele cha wizara ya maji ni kilimo cha umwagiliaji? Kilimo cha umwagiliaji ni kipaumbele cha wizara ya kilimo kimkakati.

Wizara ya maji tunahitaji utwambie tutapataje maji safi na salama . Kwani hujui ni kiwango gani cha wanchi hawana maji salama?

Hicho sio cheo cha kisiasa.

Brother ulikuwa unamcheki tu..
 
Kwa taarifa yako Wizara ya maji ndiyo wamiliki wa maji yote hapa nchini ,wizara ya kilimo haiwezi kuanzisha mradi wa umwagiliaji bila kibali cha wizara ya maji.
Halafu wizara yake inaitwa wizara ya maji na umwagiliaji unafikiri neno umwagiliaji limewekwa hapo kimakosa?
Hahahaaaa, unakunywa soda gani? Ndiyo maana ya wizara ya maji na umwagiliaji.
 
Saikoloji na maji wapi na wapi? Bora angepewa kazi parole awe anasoma akili za wafungwa kama ameshabadilika kitabia.

Unaanza kumwagilia wakati ubungo tu hamna maji, nchi nzima imeenea makopo ya dasani kilimanjaro na uhai. Hata hayo maji kidogo yaliyopo nayo ni machafu.

Unawaza umwagiliaji wakati bukoba watu wamesombwa na mafuriko, bwawa la chalinze limesombwa na maji, kweli nimeamini ukimwona mtu amekomalia upinzani ujue kichwani hazimtoshi.
 
Back
Top Bottom